Hivi Tanzania tuna submarine kweli? Tukivamiwa kupitia chini ya maji itakuwaje?


Sasa ndio unakuja ipasavyo, unatoa hoja yako bila kejeli au kunipangia namna ya kujadili, sasa nikirudi kwenye hiyo hoja yako, haina mashiko tena maana kumbe hata sio nyie mliweka ikulu hapo karibu na fukwe, iliwekwa na wakoloni, na kwa mifumo ya kisasa, hatari sana kuwa na sehemu nyeti karibu na fukwe ukizingatia hamna nyambizi au hata jeshi lenu la wanamaji halipo advanced kivile, hamjatajwa hata kwenye kumi bora Afrika Top 20 Strongest Navy In Africa 2023

Ni wazo nzuri sana kuhamisha shughuli nyeti ziende Dodoma.
 

Afrika ni mataifa manne tu yenye nyambizi, Kenya haipo, na ni jambo la hatari sana maana tunapigika kizembe sana ikitokea tunatunishiana misuri na nchi kama Misri yenye nyambizi zake.
 
Afrika ni mataifa manne tu yenye nyambizi, Kenya haipo, na ni jambo la hatari sana maana tunapigika kizembe sana ikitokea tunatunishiana misuri na nchi kama Misri yenye nyambizi zake.
Nchi zenye nyambizi barani Afrika: Misri, South Africa, ...mkuu, malizia zilizobaki🙏
 
Unashindwa kuwaza tunapataje umeme wa uhakika, huduma za afya nzuri na kuboresha maisha, we unawaza kuvamiwa. Nan atuvamie naumaskini huuu? Labda tuvamiwe na magonjwa.

Hata akiwaza itasaidia nini?

Kwamba ndo wataacha kukata umeme au maji?

Kama wawakilishi tu hawana msaada sembuse member wa jamiifirums?

Kwa hiyo ni kosa kuwaza nje ya matatizo yanayotengezwa na mfumo?
 
Hata akiwaza itasaidia nini?

Kwamba ndo wataacha kukata umeme au maji?

Kama wawakilishi tu hawana msaada sembuse member wa jamiifirums?

Kwa hiyo ni kosa kuwaza nje ya matatizo yanayotengezwa na mfumo?
Nawewe unawaza hiyo submarine itakusaidia kitu? lile daraja jipya la salendar limekusaidia nn tangu limejengwa? soka apa
 
Hata kama tunayo itakuwa ya kizamani sana kiasi inaweza hata kupelekwa na mkondo wa maji na isijitetee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…