Hivi Tanzania tuna submarine kweli? Tukivamiwa kupitia chini ya maji itakuwaje?

Hivi Tanzania tuna submarine kweli? Tukivamiwa kupitia chini ya maji itakuwaje?

Narudia. Ondoa mbwembwe za kikenya hapa na kutaka ufahari. Hoja yako iliyosabaabisha nikujibu inahusu ikulu kuwa karibu na bahari.
Nasema tena, sio kila kitu tuige au tuone sehemu nyingine. Ile ikulu imekuwepo pale mda wote wa taifa hili. So itaendelea kuwa salama.
Narudiia, toa arogacy hapa na tujadili mada.

Na sio ikulu tu, hata mambo mengi nyeti yapo huko Dar, yaani nyambizi moja inatosha kulemaza nchi, halafu usipangie watu wanavyotaka kujadili mada, una uhuru wa kukaa pembeni, kwenye huu uzi naona hata kunao wanaijadili CCM, hujawapelekea shobo zako kuwafundisha namana ya kujadili, sijui kiherehere gani kimekutuma kwangu.
 
Na sio ikulu tu, hata mambo mengi nyeti yapo huko Dar, yaani nyambizi moja inatosha kulemaza nchi, halafu usipangie watu wanavyotaka kujadili mada, una uhuru wa kukaa pembeni, kwenye huu uzi naona hata kunao wanaijadili CCM, hujawapelekea shobo zako kuwafundisha namana ya kujadili, sijui kiherehere gani kimekutuma kwangu.
Ni hivi, Ikulu iko pale baharini na itabaki kuwa pale. Ni yeye Mkazi wa ikulu kuamua leo yuko magogoni kesho yuko chamwino.

Kuhusu jinsi ya kujadili, hapa upo utaratibu wake. Ni muhimu ufuatwe. Kama hutaki mijadala yenya staha, nenda mathare utaikuta, au kule kawangware.
 
Ni hivi, Ikulu iko pale baharini na itabaki kuwa pale. Ni yeye Mkazi wa ikulu kuamua leo yuko magogoni kesho yuko chamwino.

Kuhusu jinsi ya kujadili, hapa upo utaratibu wake. Ni muhimu ufuatwe. Kama hutaki mijadala yenya staha, nenda mathare utaikuta, au kule kawangware.

Najua ikulu iko pale na huna uwezo wa kuihamisha labda serikali yenyewe iamue, na ndio imekua ikijaribu sana kuhamisha shughuli zote Dodoma, maana kuweka vyombo nyeti karibu na fukwe ni hatari sana kiusalama.

Kuhusu kujadili humu, huna jeuri ya kumpangia mtu, hamna taratibu nilizovunja, na nikivunja kuna mods wana uwezo wa kufuta mchango wangu na hata kunipiga ban.

Usichokielewa, uzi ukianzishwa, huwa ni jukumu la wachangiaji yaani great thinkers kutanua wigo, ingetosha kumjibu mleta mada kwamba Tanzania haina nyambizi na kisha uzi ufungwe, ila ukiangalia kwa sasa huu uzi unachezea kwenye ukurasa wa saba na maelfu ya views, maana kwamba watu humu wanashirikisha ubongo kwa kuujadili kwa namna yote, ndio desturi ya JF, na kila mmoja yuko huru kuingia kwenye uzi wowote na kuchangia almradi havunji kanuni za huu mtandao wa kijamii.
 
Kuhusu kujadili humu, huna jeuri ya kumpangia mtu, hamna taratibu nilizovunja, na nikivunja kuna mods wana uwezo wa kufuta mchango wangu na hata kunipiga ban.
Mimi nimekurejesha kwenye msingibwa mda ya majadiliano kati yangu na wewe. Ile kutwambia kisa hakuna sehemu ikulu iko karibu na fukwe basi na kwetu isiwepo, ndio nikasema sio lazima na tanzania tuige hivyo. Maana hiyo ikulu ipo tangu ukoloni hadi magufuli ndio kathubutu kutekeleza mpango wa nyerere wa kuweka masuala yote ya kiutawala dodoma na dar ibaki kwa biashara. Hivyo, rudi huko juu tulikotoka sio kutoka nje ya mada, ndicho mimi napinga hapa.

Siwezi kupoteza muda wangu kukwambia kuhusu kanuni za kujdili wakati mods wapo na ndio kazi yao.

Narudia msingi wa hoja yangu; "Hatuwezi kuwa tunaiga kila kitu sehemu nyingine. Mambo mengine yanaanza na kuishia hapa hapa".
 
Huwa najiuliza wewe ni Mtanzania? Kumbe hisia zangu zilikuwa sahihi.Watanzania hatuna roho mbaya kama yako hata kama unalipwa ili ueneze propaganda fulani.

Wewe una roho mbaya sana!
Huyo jamaa ni mkenya mbona, nainajulikana siku zote humu
 
Mimi nimekurejesha kwenye msingibwa mda ya majadiliano kati yangu na wewe. Ile kutwambia kisa hakuna sehemu ikulu iko karibu na fukwe basi na kwetu isiwepo, ndio nikasema sio lazima na tanzania tuige hivyo. Maana hiyo ikulu ipo tangu ukoloni hadi magufuli ndio kathubutu kutekeleza mpango wa nyerere wa kuweka masuala yote ya kiutawala dodoma na dar ibaki kwa biashara. Hivyo, rudi huko juu tulikotoka sio kutoka nje ya mada, ndicho mimi napinga hapa.

Siwezi kupoteza muda wangu kukwambia kuhusu kanuni za kujdili wakati mods wapo na ndio kazi yao.

Narudia msingi wa hoja yangu; "Hatuwezi kuwa tunaiga kila kitu sehemu nyingine. Mambo mengine yanaanza na kuishia hapa hapa".
Sawa....

Ehe kenya mnazo ngapi hizo nyambizi

Ova
 
Huwa najiuliza wewe ni Mtanzania? Kumbe hisia zangu zilikuwa sahihi.Watanzania hatuna roho mbaya kama yako hata kama unalipwa ili ueneze propaganda fulani.

Wewe una roho mbaya sana!
Huyu jamaa ana roho mbaya sana, nilijua tu atakua anatokea Mathare au Kibra slums so ana stress nyingi. Ukizingatia Kenya maisha ni magumu kuliko Tz, chuki na roho mbaya haziwezi muisha.
 
Huwa najiuliza wewe ni Mtanzania? Kumbe hisia zangu zilikuwa sahihi.Watanzania hatuna roho mbaya kama yako hata kama unalipwa ili ueneze propaganda fulani.

Wewe una roho mbaya sana!
Ukweli mchungu,mnapenda unafiki na kusifiwa pumba.
 
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawez kuandika ujinga kama huu!
Submarine moja ya kijeshi sio chini ya $25 billion dollars hakuna nchi yoyote ya afrika inaweza kununua
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawez kuandika ujinga kama huu!
Submarine moja ya kijeshi sio chini ya $25 billion dollars hakuna nchi yoyote ya afrika inaweza kununua
Una Almas, Dhahabu, gesi na Tanzanite (ipo Tz Pekee).
Halafu hauna hela ya kununua Submarine yenye $25 bilion.
Inabidi ukapimwe mkojo kwanza kijana
 
Huwa najiuliza wewe ni Mtanzania? Kumbe hisia zangu zilikuwa sahihi.Watanzania hatuna roho mbaya kama yako hata kama unalipwa ili ueneze propaganda fulani.

Wewe una roho mbaya sana!

Unechelewa sana kumfahamu huyu mkikuyu. Ana roho ya kutu kabisa.
 
Jeshi la Maji .... Nafikiri wameliunga na Zima Moto.
Submarine za nini ,?
 
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawez kuandika ujinga kama huu!
Submarine moja ya kijeshi sio chini ya $25 billion dollars hakuna nchi yoyote ya afrika inaweza kununua
Misri ina submarine ndugu....fanya utafiti
 
Submarine ya nini nchi hii? Manowari za juu ya maji hazijafua dafu dhidi ya DPW, itakuwa nyambizi?. 😲
 
Daah mnazungumzia submarine wakati waogeleaji tu hakuna majanga yakitoka tunaomba msaada Nchi zingine tutatue matatizo madogo madogo ili tuje kwenye hayo ya Msingi...
 
Kuivamia Tanzania wala huitaji submarine wala mavifaa mengi ya kivita...
 
Back
Top Bottom