SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Hii ni Kenya !? Mbona huwa wanatamba sana hao watu ooh we are rich ,we have got a high currency ,we speak english na kejeli nying kumbe pyeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni Kenya !? Mbona huwa wanatamba sana hao watu ooh we are rich ,we have got a high currency ,we speak english na kejeli nying kumbe pyeee
South Africa wana nyambizi ya kivita, na hamna nyambizi inatumika kuvua samaki, uvuvi huwa inatumika trawler.Nyambizi walizonazo ni ndogo za uvuvi na utafiti tu sio za kivita.
Zenji yenyewe kuna nyambizi ya utaliiNyambizi walizonazo ni ndogo za uvuvi na utafiti tu sio za kivita.
Leo ndo nimegundua kwann tunang'ang'ania kuungana na wapemba[emoji23], kumbe tumewafanya chambo na pia hata tukiwacha wawe huru wanaweza kutumika na maadui zetuchambo wetu sisi uku bara si visiwa vya karafuu,
Kwa hiyo unabisha au?? Najua ninachoongeaSouth Africa wana nyambizi ya kivita, na hamna nyambizi inatumika kuvua samaki, uvuvi huwa inatumika trawler.
Kitendo cha kusema nyambizi inatumika kuvua samaki inadhihirisha hujui chochote kuhusu nyambizi ni sawa na mtu akwambie power tiller inatumika kuchimba madini. Epuka aibu ndogondogo.
Nigeria wanagekua nayo kitambo kama wangetaka, sema ufisadi unatafuna utajiri wao.Mnigeria mwenyewe hana
We utakuwa nazo hizo deadly vessels
Ova
Bas na Tz ufisadi nd unatafuna utajiri wetu.Nigeria wanagekua nayo kitambo kama wangetaka, sema ufisadi unatafuna utajiri wao.
Hata hizi nuclear powered submarine unaweza kuzinasa kwa hiyo neti ?Unafahamu kitu kikiitwa ant? Kwa mfano vifaru bora kabisa kule kwa wasoviet vilipigwa na Javelin sio? Basi hiyo javelin ndio ant-tank ( against) hivyo basi hilo dubwana kukabiliana nalo sio lazima uwe na sub marine unaweza kuwa tu na rada bora kabisa ukalinasa kisha ukalisukumizia makombora huko huko lakini pia kuna net maalum huwa zinategwa baharini ( ant submarine net) hizo hilo dubwana mara nyingi likishaingia kwenye maji husika hujikuta limenaswa na nyavu hiyo maalum ambayo wakati mwingine inakuwa na mabomu maalum ya baharini ,mabomu hayo yanaelewa majini na huwa na mfumo kama wa sumaku hivyo hilo dubwana likipita tu basi ile sumaku hunasa kisha? boooom hivyo sio lazima sana kuwa nalo hilo dubwana na ukizingatia ni gharama sana sana hilo
Zile neti huwa hazibagui hazichagui,ingawa kiukweli pia ni mbinu ya muda kidogo nilichotaka kusema ni kwamba mara nyingi kwenye hizi mambo ikiwa mwenzako ana kifaru cha kisasa zaidi ,haiitaji wewe kuwa na kifaru cha kisasa pia bali utahitaji ant yake ili kuweza kukipiga pasipo wewe kuwa na kifaru kama kile au kuzidi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna maskini yyte anamiliki bastola hapo mtaani kwako?...
Maskini hana cha kupoteza
Mkenya vipi kwenu? Kuna submarine ngapi?Jifunze kushirikisha ubongo unapojadili hoja, mleta mada kahoji masuala ya usalama na je kama nchi imejiandaaje kujikinga dhidi ya nyambizi, hilo ni suala mtambuka na haliwezi kujadiliwa utakavyo wewe, great thinkers lazima wajiongeze na kujadili zaidi ya hapo.
Waondoke naye watuachie tu hiyo bandari yetu.Na magogoni kulivyo karibu na bahari adi raha yani watu wanakuja wanamchukua mtu wao aoooooo
Hukumbuki popobawa zilivotangazwa!Tutatakuwa tunayo,ila hatuna kawaida ya kujidai na kutangaza...
Be serious 🤣.Sio ipo ni zipo tena za kutosha ....
Katika zile zilizopitapita pale ziwani (kwa joysi banda alipotaka kuleta fyokofyoko) moja ilikuwepo.
Jua ya kwenu kibera we ng'ombeHivi ilitokeaje Tanzania ifanye ikulu karibu na bahari, mliskia au kuona wapi kitu kama hicho.
Narudia. Ondoa mbwembwe za kikenya hapa na kutaka ufahari. Hoja yako iliyosabaabisha nikujibu inahusu ikulu kuwa karibu na bahari.Jifunze kushirikisha ubongo unapojadili hoja, mleta mada kahoji masuala ya usalama na je kama nchi imejiandaaje kujikinga dhidi ya nyambizi, hilo ni suala mtambuka na haliwezi kujadiliwa utakavyo wewe, great thinkers lazima wajiongeze na kujadili zaidi ya hapo.