Hivi tatizo kubwa la Wakoloni lilikuwa ni nini mpaka tukaamua waondoke?

Hivi tatizo kubwa la Wakoloni lilikuwa ni nini mpaka tukaamua waondoke?

Sasa wewe si mwalimu , wachina wanatumia kingereza ?
Duu wewe usiwe na akili mgando, hao wachina unao wasema matumuzi ya computer walianza zamani kwa kutumia herufu kwenye mbao zipo nadhani 53 kama sikosei,sisi tunatumia herufi 26.

Wachina wanajua kwamba mtoto wa miaka 6-8 anatumia asilimia 80 ya ubongo wake kwa kuligundua hilio watoto wenye umri huo ambao wanauwezo mzuri wa kutafsiri kumbumbuku huwaweka pamoja na kuwapa ujuzi wa elimu mbali, (incubate them), matokeo yake wanakuwa wabobezi wakiwa na umri mdogo,

1979 kwenye maonesho ya science fair songea nilitengeneza radio transmitter nilipata kibali polisi nakumbuka marehemu Sokoine alikuwa mgeni rasmi aliponikuta na kuni hoji kuhusu transistor nilizo zitumia nimezitoa wapi na kunishauri nizitengeneze mwenyewe, kitu ambacho nisingeliweza bila kushikwa mkono.

Sisi hatuja jipanga kulea vipaji kwahiyo usifananishe Tanzania na china kumbuka tumetoka kujadili vizuri kuhusu mada ya ukoloni kumbe hata mwenyewe una ukoloni, unataka unacho fikiri wewe kiwe hivyo

Hitimisho hizi Lugha tafsiri zake inategemea pia uelewa wa anaye tafsiri
 
Kwa hiyo pamoja na kukuandikia reli ya TAZARA kwa herufi kubwa bado hujaelewa? wapi nimetaja Kigoma! Au haujui hata majina ya reli za Tz! Wasted my time!
Swali nimekuuliza lip? yaani unaulizw huku unajibu huku ?
 
Duu wewe usiwe na akili mgando, hao wachina unao wasema matumuzi ya computer walianza zamani kwa kutumia herufu kwenye mbao zipo nadhani 53 kama sikosei,sisi tunatumia herufi 26.

Wachina wanajua kwamba mtoto wa miaka 6-8 anatumia asilimia 80 ya ubongo wake kwa kuligundua hilio watoto wenye umri huo ambao wanauweze mzuri wa kutafsiri kumbumbuku huwaweka pamoja na kuwapa ujuzi wa elimu mbali, (incubate them), matokeo yake wanakuwa wabobezi wakiwa na umri mdogo,

1979 kwenye maonesho ya science fair songea nilitengeneza radio transmitter nilipata kibali polisi nakumbuka marehemu Sokoine alikuwa mgeni rasmi aliponikuta na kuni hoji kuhusu transistor nilizo zitumia nimezitoa wapi na kunishauri nizitengeneze mwenyewe, kitu ambacho nisingeliweza bila kushikwa mkono. sisi hatuja jipanga kulea vipaji kwahiyo usifananishe Tanzania na china kumbuka tumetoka kujadili vizuri kuhusu mada ya ukoloni kumbe hata mwenyewe una ukoloni, unataka unacho fikiri wewe kiwe hivyo

Hitimisho hizi Lugha tafsiri zake inategemea pia uelewa wa anaye tafsiri
Toa uongo wako hapa , endelea kufundisha hauna cha maana unachoweza kufanya ...Kaa hapo VETA ..Nimekuambia wachina unaleta porojo sisi tuko nyuma ndio maana tunatumia kama lugha yetu .

Kiufupi ni ukoloni.
 
Duu wewe usiwe na akili mgando, hao wachina unao wasema matumuzi ya computer walianza zamani kwa kutumia herufu kwenye mbao zipo nadhani 53 kama sikosei,sisi tunatumia herufi 26.

Wachina wanajua kwamba mtoto wa miaka 6-8 anatumia asilimia 80 ya ubongo wake kwa kuligundua hilio watoto wenye umri huo ambao wanauweze mzuri wa kutafsiri kumbumbuku huwaweka pamoja na kuwapa ujuzi wa elimu mbali, (incubate them), matokeo yake wanakuwa wabobezi wakiwa na umri mdogo,

1979 kwenye maonesho ya science fair songea nilitengeneza radio transmitter nilipata kibali polisi nakumbuka marehemu Sokoine alikuwa mgeni rasmi aliponikuta na kuni hoji kuhusu transistor nilizo zitumia nimezitoa wapi na kunishauri nizitengeneze mwenyewe, kitu ambacho nisingeliweza bila kushikwa mkono. sisi hatuja jipanga kulea vipaji kwahiyo usifananishe Tanzania na china kumbuka tumetoka kujadili vizuri kuhusu mada ya ukoloni kumbe hata mwenyewe una ukoloni, unataka unacho fikiri wewe kiwe hivyo

Hitimisho hizi Lugha tafsiri zake inategemea pia uelewa wa anaye tafsiri
Mkuu una kipaji lakini huku ulikozaliwa kwa weusi ni bahati mbaya.
Roho za kutu huyo kiongozi asingekusuport kwa sababu tu wewe sio Mwanaye na ungetoka kimaisha.
 
umeandika kitu kizuri kinachoweza kutusaidia kufikiri kuhusu nchi yetu na viongozi tuliowachagua na wao kubadilika kuwa watawala wakipora kila kitu kwa maslahi yao.
ni kama kioo tuangalie tulipo na tulikotoka.
ubinafsi umekuwa mkubwa siku hadi siku na kuna uwezekano ukitenda haki ukapotezwa.
Hilo liko wazi
 
Nadhani kosa la mada yako lipo hapa, mkuu 'Yoda'.

Jaribu kusoma historia za wapigania uhuru wa enzi hizo utazikuta sababu zilizo kuwa muhimu kwao nchi zao kupata uhuru.
Mkuu ni kweli kuna sababu nyingi wapigania uhuru walizitoa kwa wakoloni ili kupata uhuru wa nchi zao, naelewa pia sana aina ya ukoloni wa kikatili sana uliokuwepo South Africa, Zimbabwe na DRC lakini sina uhakika kama ukoloni wa sehemu nyingine ulikuwa na matatizo makubwa zaidi ya wazungu kutawala watu weusi.

Ukiangalia baada ya kupata uhuru ni kama tuliendeza mifumo ile ile ya wakoloni lakini watawala wakiwa less competent, pakazuka matatizo mengine makubwa zaidi ya rushwa, ufisadi na upendeleo ambayo hayakuwepo wakati wa ukoloni. Yani mambo ni kama yalianza kwenda mrama mapema tu baada ya watawala weusi kuingia mamlakani.
 
Mbona naona kama wakoloni walikuwa wanaleta maendeleo kwa kasi kwenye nchi zetu,

Walikuwa wanajenga reli, shule na vituo vya afya.

Walikuwa wanajenga viwanda muhimu vya uchakataji.

Walikuwa wanafungua ardhi kwa mashamba makubwa ya kilimo cha kisasa.

Walikuwa na mipango miji bora.

Walikuwa wakifanya uinjilishaji na kuendeleza dini.

Hakukuwa na rushwa au ufisadi,

Walitenga maeneo ya hifadhi na mbuga za wanyama kufanya utalii.

Walikuwa na chaguzi huru ambazo kura zinahesabiwa kihalali.

Ukiacha suala la siasa Waafrika kupata madaraka kuna mambo gani mengine muhimu yaliyotusukuma kuwakimbiza wazungu katika nchi zetu za Africa?

Hivi tofauti na Africa Kusini na Zimbabwe wakoloni wa nchi nyingine nao walikuwa na mfumo wa ubaguzi wa rangi wa kikatili kama wa hizo nchi mbili?
Hawakuwa na tatizo, wale wapigania uhuru walikuwa vihere here
 
Mbona naona kama wakoloni walikuwa wanaleta maendeleo kwa kasi kwenye nchi zetu,

Walikuwa wanajenga reli, shule na vituo vya afya.

Walikuwa wanajenga viwanda muhimu vya uchakataji.

Walikuwa wanafungua ardhi kwa mashamba makubwa ya kilimo cha kisasa.

Walikuwa na mipango miji bora.

Walikuwa wakifanya uinjilishaji na kuendeleza dini.

Hakukuwa na rushwa au ufisadi,

Walitenga maeneo ya hifadhi na mbuga za wanyama kufanya utalii.

Walikuwa na chaguzi huru ambazo kura zinahesabiwa kihalali.

Ukiacha suala la siasa Waafrika kupata madaraka kuna mambo gani mengine muhimu yaliyotusukuma kuwakimbiza wazungu katika nchi zetu za Africa?

Hivi tofauti na Africa Kusini na Zimbabwe wakoloni wa nchi nyingine nao walikuwa na mfumo wa ubaguzi wa rangi wa kikatili kama wa hizo nchi mbili?
Wakoloni hawajaondoka, Sasa wanatawala kwa remote control na Bado wanafaidi raslimali zetu. Ukikiuka maagizo unatandikwa vikwazo mpaka unachakaa
 
Itabidi tudai uhuru wa kuwarudisha wakoloni wazungu waje watuongoze tena.Maana wao walijali maendeleo ya Nchi kuliko Hawa weusi wanaojali matumbo Yao tu.mfano wakoloni wazungu walitujengea reli miaka ya 19012 na ilirahisisha sana usafirishaji lakini walipoondoka tu reli imekufa.Hivyo Hivyo na viwanda walivyotuachia vyote kizimkazi ameviuwa pamoja na bandari waliyotuachia ameiuza Kwa wajomba zake.
 
Yaani ni aheri tungeendelea kutawaliwa na mjerumani au muingereza kuliko shetani CCM.

Ufisadi - CCM
Wizi wa kura - CCM
Kuteka wakosoaji - CCM
Mauaji ya wakosoaji - CCM
Upendeleo - CCM
Mipango mibaya - CCM
Sera mbaya za uchumi - CCM
Matumizi ya hovyo ya serikali -CCM
Rushwa - CCM

Hii CCM ina nini lililo jema kwa Watanzania?
 
Wewe una umri gani? Si ajabu vitoto vya 90-2000 mnausifia ukoloni maana hamkuonja wala hamjui madhara yake, basi hata shule hamjajifunza?

Eti mkolon alikuwa na huruma, acheni ushenzi na ushetan wa kusahau maumivu na mateso waliyopitia bibi na babu zenu kipindi cha hao mashetani weupe.

Ni bora zaidi kuongozwa na muafrika mwenzio ambaye hata asipokuwa kiongozi mzuri bado hatokufanyia tabia za unyama ambazo hao Miungu wenu wazungu waliwafanyia babu zetu.

Ukoloni na wakaloni walibaka adharan,kulawiti, kuharibu makazi na maisha ya waafrika, kupola ardhi na resources, kujenga miundombinu waliyotumia kwa maslahi yao huku ktk nyanja za uongozi wa waafrika wakiwapandikiza puppets ambao watawatawala waafrika kupitia kivuli cha wazungu.

Amkeni enyi wajinga na wapumbavu mliokosa akili, hakuna maendeleo yanayoletwa na mgeni, kila nchi tajiri imejengwa na raia wa asili ya nchi hiyo.

Hata hiyo S.Afrika mnayoitolea mifano imejengwa na wazungu na mpaka sasa inamilikiwa na hao hao wazungu, ardhi kwa % inamilikiwa na wazungu, huku wazawa wakibaki kuishi kitumwa ktk ardhi yao, wakiishia kuuwana wao kwa wao au hasira zao kumalizia kwa wageni.

Enyi vitoto vya 2000 na baadhi ya wazee wapumbavu mliokimbia shule na kukosa elimu ya historia ya nchi yenu, kuweni na adabu mnapojadili mambo ya msingi adharani kama hivi mnajiaibisha.
Ni wajinga sana hawa watoto wa hiki kizazi kuwa na mwazo ya kishenzi namna hii.Ndio hawa wanasema bora wangezaliwa Mbwa huko Ulaya kuliko kuzaliwa Afrika.Na kwa mawazo kama haya ,hiki kizazi cha binaadam waliozalwa mwaka 2000 kurudi chini kikiisha chote,Wazungu wanarudi tena kutawala wapumbavu hawa.
 
Ni wajinga sana hawa watoto wa hiki kizazi kuwa na mwazo ya kishenzi namna hii.Ndio hawa wanasema bora wangezaliwa Mbwa huko Ulaya kuliko kuzaliwa Afrika.Na kwa mawazo kama haya ,hiki kizazi cha binaadam waliozalwa mwaka 2000 kurudi chini kikiisha chote,Wazungu wanarudi tena kutawala wapumbavu hawa.
Kama Watawala. Wanatembrlea magari ya 400milioni, wanagawa Bandari zetu kwa Wageni, ...Wanaishi Kiuchawa! Ili Hali Watawaliwa wanakufa kwa kukosa dawa, Utekaji unetamalaki! Sasa kuna tofauti gani ...nw ukoloni mweupe ! Wake tu....tuone itakuwaje?!
Mnakaririshwa ubaya wa Ukoloni wa Weupe ilhali yaliyofanywa na hao Wakoloni bado yoo na yamekua halafu mnachekelea, kisa tu yanafanywa na Weusi wenzetu!
 
Hili somo la Ubaya wa Ukoloni libadilishwe ...liwe Ubaya wa Kutawaliwa na Viongozi Wabovu! Tatizo la Afrika ni ....gorvance "
Ni aibu kiendelea kuamini kuwachukia Weupe na Ukoloni wao ...ilhali tunao Wakoloni Ndugu zetu wa Damu!
 
Wewe una umri gani? Si ajabu vitoto vya 90-2000 mnausifia ukoloni maana hamkuonja wala hamjui madhara yake, basi hata shule hamjajifunza?

Eti mkolon alikuwa na huruma, acheni ushenzi na ushetan wa kusahau maumivu na mateso waliyopitia bibi na babu zenu kipindi cha hao mashetani weupe.

Ni bora zaidi kuongozwa na muafrika mwenzio ambaye hata asipokuwa kiongozi mzuri bado hatokufanyia tabia za unyama ambazo hao Miungu wenu wazungu waliwafanyia babu zetu.

Ukoloni na wakaloni walibaka adharan,kulawiti, kuharibu makazi na maisha ya waafrika, kupola ardhi na resources, kujenga miundombinu waliyotumia kwa maslahi yao huku ktk nyanja za uongozi wa waafrika wakiwapandikiza puppets ambao watawatawala waafrika kupitia kivuli cha wazungu.

Amkeni enyi wajinga na wapumbavu mliokosa akili, hakuna maendeleo yanayoletwa na mgeni, kila nchi tajiri imejengwa na raia wa asili ya nchi hiyo.

Hata hiyo S.Afrika mnayoitolea mifano imejengwa na wazungu na mpaka sasa inamilikiwa na hao hao wazungu, ardhi kwa % inamilikiwa na wazungu, huku wazawa wakibaki kuishi kitumwa ktk ardhi yao, wakiishia kuuwana wao kwa wao au hasira zao kumalizia kwa wageni.

Enyi vitoto vya 2000 na baadhi ya wazee wapumbavu mliokimbia shule na kukosa elimu ya historia ya nchi yenu, kuweni na adabu mnapojadili mambo ya msingi adharani kama hivi mnajiaibisha.



Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. MJIBU KWA HOJA MWENZIO SIYO KUROHOJEKA TU HAPA.
 
Wewe una umri gani? Si ajabu vitoto vya 90-2000 mnausifia ukoloni maana hamkuonja wala hamjui madhara yake, basi hata shule hamjajifunza?

Eti mkolon alikuwa na huruma, acheni ushenzi na ushetan wa kusahau maumivu na mateso waliyopitia bibi na babu zenu kipindi cha hao mashetani weupe.

Ni bora zaidi kuongozwa na muafrika mwenzio ambaye hata asipokuwa kiongozi mzuri bado hatokufanyia tabia za unyama ambazo hao Miungu wenu wazungu waliwafanyia babu zetu.

Ukoloni na wakaloni walibaka adharan,kulawiti, kuharibu makazi na maisha ya waafrika, kupola ardhi na resources, kujenga miundombinu waliyotumia kwa maslahi yao huku ktk nyanja za uongozi wa waafrika wakiwapandikiza puppets ambao watawatawala waafrika kupitia kivuli cha wazungu.

Amkeni enyi wajinga na wapumbavu mliokosa akili, hakuna maendeleo yanayoletwa na mgeni, kila nchi tajiri imejengwa na raia wa asili ya nchi hiyo.

Hata hiyo S.Afrika mnayoitolea mifano imejengwa na wazungu na mpaka sasa inamilikiwa na hao hao wazungu, ardhi kwa % inamilikiwa na wazungu, huku wazawa wakibaki kuishi kitumwa ktk ardhi yao, wakiishia kuuwana wao kwa wao au hasira zao kumalizia kwa wageni.

Enyi vitoto vya 2000 na baadhi ya wazee wapumbavu mliokimbia shule na kukosa elimu ya historia ya nchi yenu, kuweni na adabu mnapojadili mambo ya msingi adharani kama hivi mnajiaibisha.



Nyie madogo wa miaka ya 2000s changamoto sana. MJIBU KWA HOJA MWENZIO SIYO KUROHOJEKA TU HAPA.
 
Wakoloni waliondoka baada ya kunyonya sana/vya kutosha. Sasa hivi tuna WATAWALA=CCM wabaya sana, hawana walijualo zidi ya UOVU, WIZI,DHULMA, na KUKAA MADARAKANI kwa NGUVU.
 
Back
Top Bottom