Hivi tatizo kubwa la Wakoloni lilikuwa ni nini mpaka tukaamua waondoke?

Hivi tatizo kubwa la Wakoloni lilikuwa ni nini mpaka tukaamua waondoke?

We jamaa acha ubishi , kodi iliyaoanzishwa na wakoloni unajua? kilifika kipindi kijana akifika umri fulani lazima alipe kodi ya kichwa tena kwa sarafu ndio maana waliacha mashamba yao na kwenda kulima kwa wakoloni .

Umesoma historia ipi ? Wasandawe, wasukuma, wapare , wazigua wachaga , waha walikuwa na kodi ipi kabla ya kuja wakoloni ?
Mzee huo utofauti wa aina ya kodi hauondoi maana nzima ya uwepo wa kodi! Elewa kwamba, dunia inaenda na resources zinapungua!

Hata nje ya Africa hawakuanza na kodi in monetary form bali kwa mazao au kazi!

Sasa resources zinapopungua na ushindani unaongezeka! Hata wasingekuja wazungu industrial revolution isingetuacha salama hata kwa kuchelewa!

Kuna nchi hazikuingiliwa/zikishindwa kutawalika na Wakoloni, je hazina kodi?
 
Mzee huo utofauti wa aina ya kodi hauondoi maana nzima ya uwepo wa kodi! Elewa kwamba, dunia inaenda na resources zinapungua!

Hata nje ya Africa hawakuanza na kodi in monetary form bali kwa mazao au kazi!

Sasa resources zinapopungua na ushindani unaongezeka! Hata wasingekuja wazungu industrial revolution isingetuacha salama hata kwa kuchelewa!

Kuna nchi hazikuingiliwa/zikishindwa kutawalika na Wakoloni, je hazina kodi?
Ishu ya migrant labor ilikujaje kama unajua ? Mtu wa kigoma alifikaje Tanga ua kilimanjaro ? waliokuwa wanaishi kigoma hawakuwa na haja ya kuja Tanga au kilimanjaro kufanya kazi kwa sababu walijitosheleza kulingana na mazingira yao .

Sasa wakoloni walipoanzisha mfumo wa pesa ni lazima ukafanye kazi kwenye miradi ya kikoloni ndio upate pesa , maeneo hayo ya miradi yao ilikuwa kama Nachingwea , kongwa , mkonge kule Kilimanjaro na Tanga ...Ndiyo kulifanya watu wahame hapo kwenda mfumo wa centralized na kuacha miji yao . Huo siyo mfumo sahihi kwa maisha yao kipindi kile .
 
Sasa kingereza ni lugha yako ? Yaani unalazimisha lugha ya kigeni kwako , machifu walikuwa wanatumia kingereza kweny tawala zao?
Machifu walikuwa wanatawala makabila yao, ukishakua na makabila mengi chini ya utawala mmoja unahitaji lugha moja ya kueleweka na makabila yote au wakalimani, Hivi uambiwe Kinyakyusa, Kizaramo, Kichaga, Kisukuma n.k mojawapo iwe lugha ya taifa ungechagua lugha ipi kati ya makabila 150?
 
Sasa kingereza ni lugha yako ? Yaani unalazimisha lugha ya kigeni kwako , machifu walikuwa wanatumia kingereza kweny tawala zao?
Soma na kuelewa nilicho andika ubishi hautakusaidia mimi nimeongea ninacho kijua kama unahitaji ufafanuzi naweza, kwa soma la basic electronics ambalo huwa nalifundisha wanafunzi ukitumia kimombo wanaelewa haraka tena vizuri
 
Bado tuna nafasi ya kujirekebisha na kufanya uchumi wetu uwe juu na kuondokana kabisa na mentality ya kuomba kutawaliwa na wakoloni weupe..
Hata Mimi ukiniuliza kama mtoa mada alivyoibua hili jambo nitasema ni Bora ya Muingereza/ Mjerumani kuliko jembe na nyundo..sababu zipo chungu mzima..
Lakini niseme tu,kama S.Korea, Thailand, Vietnam, Malaysia, Singapore zilipitia msoto in 60's ,70's lakini sasa zinafanya vizuri kiuchumi,naamini na sisi tunaweza bila ya influence from others, ishu ni kuamua tu..
Jembe na nyundo ni kikwazo kwa sisi kufika ambapo tulitakiwa kuwepo sasa..hili lipo wazi kabisa, tumewapa miaka 47 kutufikisha kwenye asali na maziwa lakini wameshindwa, sasa maadili kwa viongozi hakuna, watu wanajilimbikizia fedha na mali,wanapeana vyeo kiupendeleo,leo hii ukiwa huko kwao consider yourself as a safe being ( hukamatiki)
Kwa resources tulizonazo, tulitakiwa kuwa level sawa ya kiuchumi na Brazil au Mexico...I dare to say kwa Afrika tungekuwa nchi ya pili kwa uchumi mkubwa baada ya DRC 😡😡.
Mkoloni mweusi must go, miaka 47 inatosha sana, wameshindwa tuwape nafasi wengine nao watutumikie.
 
Ishu ya migrant labor ilikujaje kama unajua ? Mtu wa kigoma alifikaje Tanga ua kilimanjaro ? waliokuwa wanaishi kigoma hawakuwa na haja ya kuja Tanga au kilimanjaro kufanya kazi kwa sababu walijitosheleza kulingana na mazingira yao .

Sasa wakoloni walipoanzisha mfumo wa pesa ni lazima ukafanye kazi kwenye miradi ya kikoloni ndio upate pesa , maeneo hayo ya miradi yao ilikuwa kama Nachingwea , kongwa , mkonge kule Kilimanjaro na Tanga ...Ndiyo kulifanya watu wahame hapo kwenda mfumo wa centralized na kuacha miji yao . Huo siyo mfumo sahihi kwa maisha yao kipindi kile .
We mkuu hebu jipambanue zaidi! Jamii zilikuwa zina move wakati wote kutegemea na ukuaji wa koo, jamii za wafugaji zilikuwa zinahama kila msimu na ikitokea janga la ukame walikuwa wana move hata beyond nations, mifano ni mingi!

Huko kwenye kuhama kwao njiani walikutana na koo zingine na vita zilipigwa, wadhaifu walitekwa na baadhi kuwa watumwa.

Ukishaelewa kuwa dunia inakuwa, na resources zinapungua basi acha kuwalaumu wazungu!
 
We mkuu hebu jipambanue zaidi! Jamii zilikuwa zina move wakati wote kutegemea na ukuaji wa koo, jamii za wafugaji zilikuwa zinahama kila msimu na ikitokea janga la ukame walikuwa wana move hata beyond nations, mifano ni mingi!

Huko kwenye kuhama kwao njiani walikutana na koo zingine na vita zilipigwa, wadhaifu walitekwa na baadhi kuwa watumwa.

Ukishaelewa kuwa dunia inakuwa, na resources zinapungua basi acha kuwalaumu wazungu!
Wazungu huzitafuta fursa na kuzifuata
 
Soma na kuelewa nilicho andika ubishi hautakusaidia mimi nimeongea ninacho kijua kama unahitaji ufafanuzi naweza, kwa soma la basic electronics ambalo huwa nalifundisha wanafunzi ukitumia kimombo wanaelewa haraka tena vizuri
Sasa wewe si mwalimu , wachina wanatumia kingereza ?
 
We mkuu hebu jipambanue zaidi! Jamii zilikuwa zina move wakati wote kutegemea na ukuaji wa koo, jamii za wafugaji zilikuwa zinahama kila msimu na ikitokea janga la ukame walikuwa wana move hata beyond nations, mifano ni mingi!

Huko kwenye kuhama kwao njiani walikutana na koo zingine na vita zilipigwa, wadhaifu walitekwa na baadhi kuwa watumwa.

Ukishaelewa kuwa dunia inakuwa, na resources zinapungua basi acha kuwalaumu wazungu!
Rudi ukasome kwanza naona wewe ni mtu wa Mbeya hata hujui ile reli ilitokana na mradi gani ? 😀 😀
 
Sasa wewe si mwalimu , wachina wanatumia kingereza ?
Kwa hiyo kwako shida ni kiiengereza tu! Ndani ya Uchina kuna jamii zilikuwa haziongei kichina hiki unachosikia, lakini kutokana na udhaifu wa jamii husika walilazimika kuingia kwenye wengi! Kichina hakikuanza kama lugha moja kwa Wachina wote!
 
Ishu ya migrant labor ilikujaje kama unajua ? Mtu wa kigoma alifikaje Tanga ua kilimanjaro ? waliokuwa wanaishi kigoma hawakuwa na haja ya kuja Tanga au kilimanjaro kufanya kazi kwa sababu walijitosheleza kulingana na mazingira yao .

Sasa wakoloni walipoanzisha mfumo wa pesa ni lazima ukafanye kazi kwenye miradi ya kikoloni ndio upate pesa , maeneo hayo ya miradi yao ilikuwa kama Nachingwea , kongwa , mkonge kule Kilimanjaro na Tanga ...Ndiyo kulifanya watu wahame hapo kwenda mfumo wa centralized na kuacha miji yao . Huo siyo mfumo sahihi kwa maisha yao kipindi kile .
Wakoloni walipofika walikuwa wachache, wasingeweza kuanzisha mashamba, viwanda na migodi kila mahali kwa wakati mmoja, wangeendelea kukaa kwa muda mrefu kwa utulivu hata huko Kigoma wangefungua mashamba na ranchi kuajiri watu wa huko.
 
Rudi ukasome kwanza naona wewe ni mtu wa Mbeya hata hujui ile reli ilitokana na mradi gani ? 😀 😀
Hii reli ya TAZARA ya 1970? hauko serious wewe! Nadhani hapa nabishana na "a Primary school drop out" wa awamu ya 5 au 6!
 
Kwa hiyo kwako shida ni kiiengereza tu! Ndani ya Uchina kuna jamii zilikuwa haziongei kichina hiki unachosikia, lakini kutokana na udhaifu wa jamii husika walilazimika kuingia kwenye wengi! Kichina hakikuanza kama lugha moja kwa Wachina wote!
Hamna logic , kabla ya kuja wazungu waafrika walikuwa wanaongea lugha gani ?

Point yangu kingereza ni lugha ya kuja , sio kwamba naichukia huo ndio ukweli .
 
Wakoloni walipofika walikuwa wachache, wasingeweza kuanzisha mashamba, viwanda na migodi kila mahali kwa wakati mmoja, wangeendelea kukaa kwa muda mrefu kwa utulivu hata huko Kigoma wangefungua mashamba na ranchi kuajiri watu wa huko.
Wakoloni walikuwa na akili tena wakiwa na mifumo yao mpaka ya elimu na uongozi ..Ilikuwa ni rahisi kuwamata watu kwa mifumo yao .
 
Hii reli ya TAZARA ya 1970? hauko serious wewe! Nadhani hapa nabishana na "a Primary school drop out" wa awamu ya 5 au 6!
Ulisoma shule gani? Reli ya kigoma ilijengwa 1970 ? 😀 😀 imejengwa baada ya vita ya pili .

Weka mdahalo nikufundishe , unaowafaundisha ni wajinga kwa vile unakariri kingerez.

Rail ya Tanga mpaka Moshi ilikuwepo tangu 1893..
 
Mbona naona kama wakoloni walikuwa wanaleta maendeleo kwa kasi kwenye nchi zetu,

Walikuwa wanajenga reli, shule na vituo vya afya.

Walikuwa wanajenga viwanda muhimu vya uchakataji.

Walikuwa wanafungua ardhi kwa mashamba makubwa ya kilimo cha kisasa.

Walikuwa na mipango miji bora.

Walikuwa wakifanya uinjilishaji na kuendeleza dini.

Hakukuwa na rushwa au ufisadi,

Walitenga maeneo ya hifadhi na mbuga za wanyama kufanya utalii.

Ukiacha suala la siasa Waafrika kupata madaraka kuna mambo gani mengine muhimu yaliyotusukuma kuwakimbiza wazungu katika nchi zetu za Africa?

Hivi tofauti na Africa Kusini na Zimbabwe wakoloni wa nchi nyingine nao walikuwa na mfumo wa ubaguzi wa rangi wa kikatili kama wa hizo nchi mbili?
umeandika kitu kizuri kinachoweza kutusaidia kufikiri kuhusu nchi yetu na viongozi tuliowachagua na wao kubadilika kuwa watawala wakipora kila kitu kwa maslahi yao.
ni kama kioo tuangalie tulipo na tulikotoka.
ubinafsi umekuwa mkubwa siku hadi siku na kuna uwezekano ukitenda haki ukapotezwa.
 
Ulisoma shule gani? Reli ya kigoma ilijengwa 1970 ? 😀 😀 imejengwa baada ya vita ya pili .

Weka mdahalo nikufundishe , unaowafaundisha ni wajinga kwa vile unakariri kingerez.

Rail ya Tanga mpaka Moshi ilikuwepo tangu 1893..

Kwa hiyo pamoja na kukuandikia reli ya TAZARA kwa herufi kubwa bado hujaelewa? wapi nimetaja Kigoma! Au haujui hata majina ya reli za Tz! Wasted my time!
 
Back
Top Bottom