Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

Asante sana,b blessed
 
Uchawi huo jarbu kwenda kumsalit mpenz wako alaf ukute anajihusisha na mambo ya ushirikina utajuta kwa kawaida c rahc mtu kunaniana hv hv chanzo ni ushirikina
kabisa
 
kuna watu wanajifanya wanasanyansi kila kitu wanazani ni sayansi ya shuleni hii nyingine ni African magic science na ina fanya kazi
wabishijeee
 
Pumba tu umeandika hapa, yaan hiyo misuli inasubiri mke/mume wa mtu tu?
 
We jamaa kamwe huwezi kuelewa sababu ubongo wako umekwisha ganda

Nawaonea huruma wanaokutegemea kimawazo hasa wale wadogo kiumri sababu utawarithisha mawazo yako ambayo hayana tija, yakishirikina etc
Bashite kingine hili la kukariri umedandia uzee, Dandia dushee utolowe marinda
 
Jidanganyeni tu! mkikamatika mtatafuta hizo scientific sources na hazitasaidia, siku hiyo mzizi utapata jina mjini...
 
Naunga mkono hoja
 
Sasa wewe mwelewa wa kukariri sisi tunakupa fact za Africa wewe unatuletea mambo ya kwenye maandishi ya kipuuzi . Utamaduni wetu ndio huyu sio kukariri kariri alafu unajiita mwelewa au mwelewa wa Inyee

Kuna mchepukaji mmoja waliwai natana .mpaja wakapelekwa polisi na kuchunguzwa kwenye hospt ya mbeya.
Jamaa waliwekewa tego la hatari.
 
Hiyo ya kisayansi watu wanagandana kwa seconds! Kijadi hata mwaka, kama unapinga jaribu ukamatike...
 
Ninyi wanasayansi kelele nyiiiingi wakati mnababaisha tu! Mimi nimewadharau kabisa tangu mliposhindwa kuipata ndege ya Malaysia (tena katika hii hii 21st Century!!), hata kwenye vingine siwaamini kabisa...
 
Sasa wewe mwelewa wa kukariri sisi tunakupa fact za Africa wewe unatuletea mambo ya kwenye maandishi ya kipuuzi . Utamaduni wetu ndio huyu sio kukariri kariri alafu unajiita mwelewa au mwelewa wa Inyee
Ni kwamba unasimuliwa, wenzio tuko ngomani tunacheza ngoma wewe unaangalia ngoma!! Usilishwe kila kitu. Kunatana kupo ila mmekuwa brainwashed kwamba ni sababu ya kitu fulani kumbe sio. Kama umenisoma comment zangu hapo juu utakuwa umeelewa!
Ukikamatwa na mtu wa mtu na wakakuamuru utulie hivyo hivyobuume wako ukiwa ndani ile hofu ya wewe na yeye mwanamke inapelekea ute kuganda fasta nankukunatisha ndani kwa ndani!
Hutako endelea kulishwa na utamaduni wa kiafrika.
 
uzungu mwiiingi kwani huwezi kuandika kiswahili tu ukaeleweka? au ukiandika kizungu ndio una thibitisha usomi wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…