Hivi TCRA wanaweza kutupa sababu za msingi kwa nini bei ya internet Tanzania ni zaidi ya mara kumi ya bei ya internet Rwanda?

Hivi TCRA wanaweza kutupa sababu za msingi kwa nini bei ya internet Tanzania ni zaidi ya mara kumi ya bei ya internet Rwanda?

Hujatoa maana ya wastani, umetafsiri neno wastani kwenda lugha ya kiingereza. Sasa hapo utaongeaje na mimi kama hata maana ya neno maana hujui?

amnot here ili tusumbuane na dictionary mpaka nmesema average naelewa hilo neno, ndo maana nmeweza kulitafsiri into a proper word:
 
amnot here ili tusumbuane na dictionary mpaka nmesema average naelewa hilo neno, ndo maana nmeweza kulitafsiri into a proper word:
Wewe ni mbishi wa kuzaliwa na huwezi kukiri unapoonyeshwa hujui hata ukijua kuwa ulikuwa hujui. Bone-mbishi and mjifanya mjuaji. Period.
 
Wewe ni mbishi wa kuzaliwa na huwezi kukiri unapoonyeshwa hujui hata ukijua kuwa ulikuwa hujui. Bone-mbishi and mjifanya mjuaji. Period.
una miaka mingap bro, maana mm mpaka nlishastaaafu cisco miaka mingi sasa: nini unachotaka kusema skijui kwamba sijafanya nacho kazi?
 
una miaka mingap bro, maana mm mpaka nlishastaaafu cisco miaka mingi sasa: nini unachotaka kusema skijui kwamba sijafanya nacho kazi?

Wewe ni mbishi wa kuzaliwa na huwezi kukiri unapoonyeshwa hujui hata ukijua kuwa ulikuwa hujui. Bone-mbishi and mjifanya mjuaji. Period.

maswali matatu kwanza ujibu:
1)nani anauza internet tanzania?
2)anaemuuzia muuzaji anatoa wap?
3) bei ya mauzo ni kiasi gan? bandwidth allowed per single company ni kiasi gan?

kama huna uelewa wa haya mambo tulia tu mdogo wangu maana haya ni maswali basics sana na hata sio technical
 
Lete reference mjomba
kenya.PNG

safari com ya kenya 1 ksh=22.63 tsh
uganda.PNG

Airtel uganda, 1 ush = 0.63 tsh
rwanda.PNG

airtel rwanda, 1rwanda franc = 2.5 tsh
tanzania.PNG

airtel tanzania.

Sasa naomba mniambie methodologies ambazo zimaetumika na hilo shirika kuonyesha Tanzania ina gharama kubwa za matumizi ya internet.

Nimechukua mitandao michache lakini hata tukienda kulinganisha kwa mitandao mingine bado price tz ipo chini.
 
thesym, Mkuu unaelewa kweli ulichoandika? Hizo ulizoweka ni vifurushi vya Smatika. Utafiti umefanyika kwa matumizi ya data bila Kujiunga na kifurushi chochote kile.

Hebu jaribu kuweka 5,000 Airtel halafu tumia data bila kujiunga na kifurushi, then weka kipimo cha matumizi ya Data then ulete mrejesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kifurushi cha Halotel? Mada hii iko mbali sana zaidi ya bei za vifurushi unavyonunua kama ofa za kampuni za simu ambazo lazima utumie ndani ya masaa kadhaa au kuanzia saa sita usiku hadi saa 12 asubuhi.
Hapana ni just comparison kwa mitandao yote, But unaeza kuwa sahihi kwani hii ni bei ya kifushi inayokuwa na limited time, Hapo sijafanya research kujua download and upload are equivalent to the data they offer.
 
Nadhani ungeweka wazi hiyo 1GB kwa 11,500 ina maanisha nini hasa.
Mimi kwa matumizi yangu shilingi mia tano tu napata wastani wa MB 500 - 1GB kupitia Halotel.
Nikiwa na 10,000 napata GBs za kumwaga za kutumia zaidi ya siku 30.
Mkuu hizo sio bei ni promo ukitaka kujua bei hasa unaangalia price per unit.Hio ndio gharama halisi
 
Hata huko ulaya na Marekani ni mwendo wa data plan bila kufanya hivyo utaliwa zaidi so sidhani kama unachosema ni sahihi
Kwa nini usifanye majaribio; nunua airtime ya kama Tshs 20,000 bila kuingia kwenye kifurushi cha data halafu download mziki mmoja tu ndio utajua uhalisi wa bei ya 1GB ndio utajua kama unaishi Tanzania au kitongoji huko Rwanda kinaitwa Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa we ulitaka ufocus kwa nan? mtumiaji wa mwisho ndo sisi wananchi? wewe unauziwa data gb 1 kwa tsh 1000 we ulidhan wao data ya 1gb walinunua kwa bei gan? 11,000 tsh?

Hebu tuambie kampuni za simu zinanunua data wapi ili kukuuzia wewe data bundles? Wewe umefanya hii kama biashara ya vitunguu, wauza jumla na wauza rejareja?

Yaani mtu mzima unadhani kampuni za simu zinanunua bundles mahali ili wauzie wateja wao halafu unakuja kubishana humu kama vile unaelewa mambo haya. Nimekuambia tatizo lako ni kwamba hujui na hujui kwamba hujui.

Hivi umewahi kusikia kitu kinaitwa satellite? Kama una akili angalau kidogo utaelewa nikitaja neno satellite tu
 
kwan ulidhan mitandao ya simu inatoa wap internet? si wananua kama makampuni mengine? sasa kama wao wakauuzia gb 1 tsh 1000 , haiwezekan wao wauziwe gb 1 kwa tsh 11,000: kwa sababu itakua ni hasara, ndo maaana nkasema hapo juu hakunaga taarifa sahihi zinazotokaga muunganiko wa nchi za nje: tatizo nyie kila taarifa mkishaona tu mtandaoni mnaruka nyo hivo hivo

Mkuu unapoteza muda wako. Anabishana na utafiti wewe ndio utamuelewesha?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha! Kweli Mkuu Pachanya. Kuna mahali kaandika eti kampuni za simu zinanunua data bunle mahali ndio zinatuuzia sisi, sasa mantiki yake ni kwamba kama wananunua kwa Shs 11,000 kwa nini wanatuuzia IGB kwa 1000? Nimebaki hoi, nikajua nampigia mbuzi gitaa.
 
maswali matatu kwanza ujibu:
1)nani anauza internet tanzania?
2)anaemuuzia muuzaji anatoa wap?
3) bei ya mauzo ni kiasi gan? bandwidth allowed per single company ni kiasi gan?

kama huna uelewa wa haya mambo tulia tu mdogo wangu maana haya ni maswali basics sana na hata sio technical


Acha upoyoyo wewe. Hebu tuambie kampuni za simu zinanunua data wapi ili kukuuzia wewe data bundles? Wewe umefanya hii kama biashara ya vitunguu, wauza jumla na wauza rejareja?

Yaani mtu mzima unadhani kampuni za simu zinanunua bundles mahali ili wauzie wateja wao halafu unakuja kubishana humu kama vile unaelewa mambo haya. Nimekuambia tatizo lako ni kwamba hujui na hujui kwamba hujui.

Hivi umewahi kusikia kitu kinaitwa satellite? Kama una akili angalau kidogo utaelewa nikitaja neno satellite tu


satelite😂😂😂😂😂😂😂: bora unyamaze tu hujui kitu na internet haitoki kwenye satelite na hakuna kampuni inafanya biashara ya satelite internet unless ni ile initial connection kutoka kwa mteja kufika head offices:


alafu hili swali nlishakuuliza mda mrefu sana huna jibu unapiga kelele tu
 
Hahahaha! Kweli Mkuu Pachanya. Kuna mahali kaandika eti kampuni za simu zinanunua data bunle mahali ndio zinatuuzia sisi, sasa mantiki yake ni kwamba kama wananunua kwa Shs 11,000 kwa nini wanatuuzia IGB kwa 1000? Nimebaki hoi, nikajua nampigia mbuzi gitaa.

tatizo kubwa lililopo apa forum mnafarijiana uongo ili mradi uchangie tu mada:hakuna kitu utaniambia skijui katika hii field

infact usishangae tu kwamba wananunua internet bali kuna tozo pia kutumia kitu kinaitwa mkongo wa taifa: LTE cables built across the whole country, it works this way: ukipiga simu a wave is sent to a tower then from the tower its sent underground, it depends sasa hapa some use LTE ila ikishapita hapa kuna ofisi zinaitwa MSC (Mobile Switching center),

sasa hapa ndo mkongo wa taifa unaingilia kati, kwakua hakuna kampuni ya simu imejenga fibre optics kutoka mikoa yote kufika dar ambapo ni control centre ttcl walishafanya hivo kitambo sana na land lines zao za nyuma, wanaingia ubia na hapo wanalipa tozo ingine ya kupiga simu kutumia, we ulikua unadhan ni internet tu wananunua ujue kuanzia leo na access ya kupiga simu wananunua pia,(upuuzi ni watu wanafikiria kwamba things travel over air) ni shida ya kubisha hovyo bila kuelewa mambo


hapo ni upande wa kupiga simu: upande wa internet kuna kampuni ambazo zinahusika na internet kulingana na location uliopo: ukituma post yako ya jamii forum inapita kwenye mtandao wako wa simu alafu inapita kwa muuzaji wake wa internet then inapita under the ocean kukutana na cables zingine chini ya bahari zilizotengenezwa na makampuni mbalimbali mpaka message ifike inapotakiwa kufika na message itarudi tena in form of packets mpaka kwa simu ya mlengwa ama computer ama kifaa chochote kinachotakiwa kupokea hio packet: so mpaka hapa, mitandao ya simu inanunua alafu anaemuuzia mitandao ya simu nae ananunua, alafu tena nae ananunua and the trend goes that way: kelele nyingi mnapiga hapa ila mnaonekana mazuzu tu maaana hamjui mnachoongea

japokua ni mengi sana watanzania hatutaki kujua ila tunataka kukariri maisha na kubaki kuwaambia watoto mimi nlikua nakuaga wa kwanza darasani ilihali unashindwa kujua mitandao ya simu inanunua data
 
thesym,
Tanzania peke yake ndo price ziko chini ukanda huu wetu: tatizo la hawa watu wanalalamika kitu ambaco ni cha kipuuzi, and ofcoure ni kweli usipoweka bundle utapigwa parefu lakini hakuna mtu anafanya hivo na hakuna reason ya kulalamika wala kubishana na hii mijamaa

tanzania kupitia TTCL ni wauzaji wapya wa internet Rwanda, some parts of uganda na kenya vile vile: ni kama watu wa Bukoba wanavonunua umeme kupitia Uganda kwa sababu TANESCO wameshindwa kufika huko
 

sina source lakini mahesabu yanaweza kufanyika easy: mfano kampuni moja wanaweza kununua internet for bussiness, wao hawana limitation cha msingi kila mwezi ulipe huduma isifungwe: cha msingi ni spidi tu ndo itakuangusha lakinihaiwezi kufungwa mpaka mwezi uishe


wewe unanunua data plan ya 1GB kwa 2000:
internet katika ofisi ya kawaida ni 500K - 800K kwa mwezi kwa high speed: inamaanisha unapewa zaidi ya 2000mb/s na unaweza kuigawa kwa ofisi yako yote kila mtu akatumia ni tafaut na matumizi ya personal ya kwenye simu ambayo hurange kuanzia mb1 - 10mb/s ,

ukiwa na 2000mb/s ukisema uifanyie biashara inamaanisha unaweza kuwauzia watu zaidi ya 1000 kwa spidi ya 1mb/s ambayo ni standard: kwakua sio kila mtu atakua anafanya streaming kwa pamoja inamaanisha the remaining itaenda kwa waliobaki na spidi itarange kuanzia 2-4mb/s ukisema uuze hizi kwa tsh 1000 kwa siku , mwisho wa siku unaishia na zaidi ya tsh ngap? ukifanya mahesabu apo utaona its more cheap than personal one ila kwa sababu hawatumii kwa ajili ya biashara bali kiofisi ndo maaana unaweza kuona ni kubwa sana ila internet ni one of the most profitable bussiness
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
satelite😂😂😂😂😂😂😂: bora unyamaze tu hujui kitu na internet haitoki kwenye satelite na hakuna kampuni inafanya biashara ya satelite internet unless ni ile initial connection kutoka kwa mteja kufika head offices:


alafu hili swali nlishakuuliza mda mrefu sana huna jibu unapiga kelele tu
Alla, kumbe. Hebu soma hapa;

Mobile Internet is a smaller Internet scaled down to fit the dimensions of a web browser on a mobile phone. The mobile phone network is an example of a cellular network. A cellular network has a cluster of geographic locations together known as a ‘cell’ which connect to the Internet through satellites. Each cell has a transmitting tower at its centre through which information is passed to and fro via digital radio waves.

Cell phones are called cell phones because the network they connect to is a system of cells, each cell defined by a tower at its center. These cells are then connected to the network by communication with satellites. Through this network information is passed to and from a wirelessly enabled device
 
Back
Top Bottom