GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Hata Wazazi wako nao Waliokuzaa Mpumbavu Wewe ni Mbwa kama Mimi.Wewe ni mbwa km umbwa wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Wazazi wako nao Waliokuzaa Mpumbavu Wewe ni Mbwa kama Mimi.Wewe ni mbwa km umbwa wengine
Ulibakia tu Juha Mmoja Wewe kutokujua kuwa hao kwa 99.9% ni Watu wa UWT.Kama unaamini wale ni wauza madafu kweli basi we bado sana kwenye game
Mimi nahisi, jamaa zetu walikodisha baiskeli za madafu zinazozagaa kule fukwe ya Agakhan.Mnaacha kutumia muda wenu mwingi kufikiria kwa Akili Kubwa jinsi ya kutatua Changamoto lukuki zinazowakabili Watanzania na Taifa la Tanzania nyie Kutwa mpo katika kutengeneza Maigizo ya Kipumbavu na Kishamba (kama mlivyo) ili tu muonekane Mnapenda na kujali kila Mtu, Wanyenyekevu na mno Huruma na Hambagui Mtu.
Mtatumia mno Nguvu ili mkubalike ila Ukweli utabaki palepale kuwa HAMPENDWI hata kama tumenunua Mafuta ya Mzaituni kutoka Israeli ili kuyapaka kila Siku, kila Jumamosi kuombewa na Tapeli wa Tanganyika Packers Kawe (kwa Kuitwa Feri) na tunatumia Waganga Wakubwa (kutoka nchi Tatu za Afrika) ili kuzing'arisha Nyota zetu ambazo pamoja na juhudi zote hizi bado hazijang'aa na ndiyo Kwanza tu Kuchukiwa, Kutoaminika na Kudharaulika nao kunazidi huku Wanafiki wakiendelea Kudanganya ili wale Fedha zako zisizo na Kazi.
Tunakumbushana tu kuwa Yanga SC itacheza na Mamelodi Sundowns FC na Simba SC itacheza na Al Ahly FC ambapo kwa Lugha nyepesi tunasema kuwa Warembo wamejipeleka wenyewe Maghettoni mwa Wanamume wa Kizulu na wa Kiarabu Kudadadeki.
Kwani anayekaa katika hilo Jumba ana Akili?Mimi nahisi, jamaa zetu walikodisha baiskeli za madafu zinazozagaa kule fukwe ya Agakhan.
Nimeniuliza sana sana how come ikaja?
Madafu namna ile Ikulu badala ya kuyaserve kwenye manner inayopromote hadhi ya jumba leu... kha
We mzee usinitie maneno kinywani nikafungiwa bureee 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kwani anayekaa katika hilo Jumba ana Akili?
Hiyo outro umepiga hapo mwishoni, sio tu inachekesha ila ukifikiri kwa upana inatisha sana aiseeMnaacha kutumia muda wenu mwingi kufikiria kwa Akili Kubwa jinsi ya kutatua Changamoto lukuki zinazowakabili Watanzania na Taifa la Tanzania nyie Kutwa mpo katika kutengeneza Maigizo ya Kipumbavu na Kishamba (kama mlivyo) ili tu muonekane Mnapenda na kujali kila Mtu, Wanyenyekevu na mno Huruma na Hambagui Mtu.
Mtatumia mno Nguvu ili mkubalike ila Ukweli utabaki palepale kuwa HAMPENDWI hata kama tumenunua Mafuta ya Mzaituni kutoka Israeli ili kuyapaka kila Siku, kila Jumamosi kuombewa na Tapeli wa Tanganyika Packers Kawe (kwa Kuitwa Feri) na tunatumia Waganga Wakubwa (kutoka nchi Tatu za Afrika) ili kuzing'arisha Nyota zetu ambazo pamoja na juhudi zote hizi bado hazijang'aa na ndiyo Kwanza tu Kuchukiwa, Kutoaminika na Kudharaulika nao kunazidi huku Wanafiki wakiendelea Kudanganya ili wale Fedha zako zisizo na Kazi.
Tunakumbushana tu kuwa Yanga SC itacheza na Mamelodi Sundowns FC na Simba SC itacheza na Al Ahly FC ambapo kwa Lugha nyepesi tunasema kuwa Warembo wamejipeleka wenyewe Maghettoni mwa Wanamume wa Kizulu na wa Kiarabu Kudadadeki.
Nadhani hana maana kuwa wauza madafu hawawezi / hawapaswi kuingia ikulu, ila kwa jinsi hii Tanzania ilivyo hicho kitu ni hakiwezekaniki / ni ngumu kama gereza la Sona la Lachero.Daah watu weusi mna roho mbaya sana na dharau za ajabu muuza Madafu nae si raia ana haki kama mtu mwingine...ninyi ndio mkipata visent kidogo tu mnachagua mpaka ndugu wa kuja kuwasalimia huo ni Umasikini unakua kwenye damu hautoki hata uwe tajiri kiasi gani...
Stenographers huwa wanakuwa Intelligent?We mzee usinitie maneno kinywani nikafungiwa bureee 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Na nimeiweka kwa Makusudi tu Mkuu.Hiyo outro umepiga hapo mwishoni, sio tu inachekesha ila ukifikiri kwa upana inatisha sana aisee
We Genta wewe khaa😃😂😂Ulibakia tu Juha Mmoja Wewe kutokujua kuwa hao kwa 99.9% ni Watu wa UWT.
Ndiyo Mimi Mkuu hakutatokea Mwingine.We Genta wewe khaa😃😂😂
Appreciates big broo🫶🫶Ndiyo Mimi Mkuu hakutatokea Mwingine.
uchaguzi wa 2025 umewachanganyaYaan wauza madafu waingie ikulu hawa jamaa sijui wanatuonaje.
Thanks my Dear. Be blessed I love you.Appreciates big broo🫶🫶
Kwani wao sio watuYaan wauza madafu waingie ikulu hawa jamaa sijui wanatuonaje.
Majuha bado mpo / wapo wengi nchini.chama cha mapinduzi kimekua msaada na msikilizaji mkuu wa wanyonge
imani yangu ikulu ni mahali patakatifu na nikimbilio ya myonge yoyote nchini
Kuna manners na protocols za Ikulu na Wageni kuingia Ikulu. Acheni kuwa Wapumbavu na kuutetea Upumbavu.Kwao
Kwani wao sio watu
🤗🤗Thanks my Dear. Be blessed I love you.
Wanaingia wasanii sembuse wauza madafu.Kuna manners na protocols za Ikulu na Wageni kuingia Ikulu. Acheni kuwa Wapumbavu na kuutetea Upumbavu.