Murtaugh Warshawski
Member
- Apr 9, 2023
- 97
- 201
Kwa haraka haraka ukiwaangalia wale jamaa unadhani ni wauza madafu kweli mkuu changamsha ubongo huo😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wauza madafu nao wajipatie rizki, na wakutane na Rais wao.Mnaacha kutumia muda wenu mwingi kufikiria kwa Akili Kubwa jinsi ya kutatua Changamoto lukuki zinazowakabili Watanzania na Taifa la Tanzania nyie Kutwa mpo katika kutengeneza Maigizo ya Kipumbavu na Kishamba (kama mlivyo) ili tu muonekane Mnapenda na kujali kila Mtu, Wanyenyekevu na mno Huruma na Hambagui Mtu.
Mtatumia mno Nguvu ili mkubalike ila Ukweli utabaki palepale kuwa HAMPENDWI hata kama tumenunua Mafuta ya Mzaituni kutoka Israeli ili kuyapaka kila Siku, kila Jumamosi kuombewa na Tapeli wa Tanganyika Packers Kawe (kwa Kuitwa Feri) na tunatumia Waganga Wakubwa (kutoka nchi Tatu za Afrika) ili kuzing'arisha Nyota zetu ambazo pamoja na juhudi zote hizi bado hazijang'aa na ndiyo Kwanza tu Kuchukiwa, Kutoaminika na Kudharaulika nao kunazidi huku Wanafiki wakiendelea Kudanganya ili wale Fedha zako zisizo na Kazi.
Tunakumbushana tu kuwa Yanga SC itacheza na Mamelodi Sundowns FC na Simba SC itacheza na Al Ahly FC ambapo kwa Lugha nyepesi tunasema kuwa Warembo wamejipeleka wenyewe Maghettoni mwa Wanamume wa Kizulu na wa Kiarabu Kudadadeki.
Shangaa na wewe MkuuDaah watu weusi mna roho mbaya sana na dharau za ajabu muuza Madafu nae si raia ana haki kama mtu mwingine...ninyi ndio mkipata visent kidogo tu mnachagua mpaka ndugu wa kuja kuwasalimia huo ni Umasikini unakua kwenye damu hautoki hata uwe tajiri kiasi gani...
Nikiwa BAN ndiyo Utahaaira,. Upumbavu na Umasikini wako vilivyokutukuka vitapungua?Moderators pana mtu anataka Ban...
Ngoja ule Ban kwanza Moderators...Nikiwa BAN ndiyo Utahaaira,. Upumbavu na Umasikini wako vilivyokutukuka vitapungua?
You're a damn Fool.Ngoja ule Ban kwanza Moderators...
Lazima wale kichwa wanakuja...You're a damn Fool.
Kuna mmoja wao Umembebea Mimba?Lazima wale kichwa wanakuja...
Ukichelewa kuja mjini ukiandika hivi unajiona Mjanja kweli kweli...Kuna mmoja wao Umembebea Mimba?
Yaani uzaliwe Daslm halafu uwe umechelewa hivyo ni ngumu sana kuamini...Nimezaliwa Agha Khan Hospital iliyoko Mkoani Dar es Salaam huku Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyeree akiwa wa Kwanza kuja Kuniona akirokea Jirani Ikulu na kunipa Jina la mwana Mapinduzi mkubwa barani Afrika ninalotumia hadi leo.
Nilikuwa sijui kumbe Agha Khan Hospital iko / ilikuwa Kijijini ( Mikoani ) late 70"s?
Pumbavu.
Nimechelewa Kukukaza au Kukufukua?Yaani uzaliwe Daslm halafu uwe umechelewa hivyo ni ngumu sana kuamini...
Una utoto uliopitiliza...Nimechelewa Kukukaza au Kukufukua?
Ningeweza kukojoa na Mimba ikatunga?Una utoto uliopitiliza...