Hivi Tundu Lissu kwa sasa anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato inayoweza kumfanya akisaidie hata Chama Kama ilivyo kwa Mwamba?

Hivi Tundu Lissu kwa sasa anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato inayoweza kumfanya akisaidie hata Chama Kama ilivyo kwa Mwamba?

Ndugu zangu Watanzania,

Sitaki Mimatusi wala mikelele wala mimaneno mingi wala blaa blaa wala porojo wala Mihemuko wala ukurupukaji katika andiko hili ambalo lipo wazi kabisa .

Nauliza hivi Tundu lissu kwa sasa anafanya kazi gani ya kumpatia kipato .inayoweza kumfanya akisaidie hata chama kama ambavyo amekuwa akifanya Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini?

Maana kukaa bila shughuli ya kumuingiza kipato ni rahisi sana hata kununuliwa na mabeberu kwa mambo yaliyo kinyume na sheria za Nchi yetu.

Soma Pia: Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe

Swali lipo wazi na wala haihitaji maelezo marefu wala matusi.Kwa hiyo ningependa Wafuasi wa lissu mjibu swali hilo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe kabla ya kuwa CHAWA BWABWA ,PUNGA ulikuwa unafanya kazi Gani???
 
Kwanini umeshindwa kujibu swali? Kweli nimeamini uwezo na upeo wako ni mdogo sana
Una upeo mdogo sana wa kifikiri, kijana. Hilo swali unatakiwa umuulize mhusika mwenyewe. Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kupoteza muda wake kufuatilia maisha ya mtu mwingine.
 
"Imemchukua karibia miezi nane lissu kutafuta milioni 80 kwa ajili ya michango ya gari,lakini mbowe ndani ya dakika 0 alichangia chama milioni 250 fedha zake kutoka mfukoni" - Wenje
Wewe ndugu chawa ulichsngia shingi ngapi?
 
Kwakweli shuguli hana labda shughuli. af utani pm unpe cv yako upande wa elimu. af pia huyo ndiyo mwanasheria anaeweza ku deal na mafisadi wa Zanzibar na Tanganyika without lubricunts
 
Anauza Vitabu UN

Hata Boss wako Yericko Nyerere ugomvi wake na Lisu ni Wivu wa kibiashara Maana Yeriko anawauzia Makaratasi yake Watindiga wa Makongorosi akina nyie 😂😂😂😂
Huyu Yericko Kwa kweli mumemchoka na makalatasi yake - sijui atajistukia lini Mzee wa Alfa na Omega
 
Mpaka utakapoeleza mbowe ni lini alitoa fedha yake bure bure kugaia chama, yawezekana mbowe anazo fedha kwenye account yake binafsi lakini kwenye chama mbowe hadai ata shilingi 1.

Trump ni tajiri mkubwa sana, lakini hatatumia ata $ moja kutoka kwenye account yake binafsi kusaidia kuendesha serikali ya marekani na badala yake Trump atalipwa mshahara na Serikali ya Marekani kama Rais.

Wewe shida yako uongozwe na mtu mwenye hela tu ndio uone raha, fanya kazi kwa bidii ubwanyenye utakupeleka kule kule tusikokutaka LGBTQ
Hilo biriani watu wanajipakulia tu.
 
Hakuna kizazi kinacho paswa kulindwa kwa nguvu zote kwa sasa kama kizazi Cha watoto wa kiume.

Mwanaume uliyekamili unapata wapi muda wa kuuliza shughuli za kumuingizia kipato mwanaume mwingine ?

Bure kabisa LM
 
Kwakweli shuguli hana labda shughuli. af utani pm unpe cv yako upande wa elimu. af pia huyo ndiyo mwanasheria anaeweza ku deal na mafisadi wa Zanzibar na Tanganyika without lubricunts
Maelezo marefu halafu umeshindwa kujibu swali.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Sitaki Mimatusi wala mikelele wala mimaneno mingi wala blaa blaa wala porojo wala Mihemuko wala ukurupukaji katika andiko hili ambalo lipo wazi kabisa .

Nauliza hivi Tundu lissu kwa sasa anafanya kazi gani ya kumpatia kipato .inayoweza kumfanya akisaidie hata chama kama ambavyo amekuwa akifanya Mheshimiwa Mbowe Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini?

Maana kukaa bila shughuli ya kumuingiza kipato ni rahisi sana hata kununuliwa na mabeberu kwa mambo yaliyo kinyume na sheria za Nchi yetu.

Soma Pia: Itakuwa ni uwendawazimu mkubwa kwa CHADEMA kumpa Lissu uenyekiti na kumuacha mwamba Mbowe

Swali lipo wazi na wala haihitaji maelezo marefu wala matusi.Kwa hiyo ningependa Wafuasi wa lissu mjibu swali hilo.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi viongozi wa ccm, waliopita na aliyepo, walikuwa na/ana kazi gani iliyowapatia/inayompatia kipato kilchowawezesha/kinachomwezesha kukisaidia chama, hivyo kufanya kuwa vigumu kwao/ kwake kununuliwa na mabeberu?
 
Back
Top Bottom