Hivi uharamu wa Gongo, Bangi na kitimoto ni nini?

Napata nitarudi baadae 🚶
 
Nyie jamaa huwa mnajitekenya ma kisha mnacheka wenyewe.....
Nna babu yangu amefariki mwaka 2019 akiwa na miaka 115 (iringa image)
Na alikuwa mlaji mzuri sana wa hii kitu...
Katika kupiga piga story nae anadae toka ujana wake karibia kila wiki lazima apate hii kitu ikizidi sana labda wiki 3 na kule upatikanaji wa hii kitu ni rahisi sana....
kama umeandikiwa miaka michache ya kuishi hata ufanyeje muda ukifika unadanja tu....
Sasa hapo ni kwamba mnataka kuaminisha kuwa asingekula kitimoto angeishi miaka zaidi ya hiyo?
 
Nani kasema kitimoto ni Haram? Hao wanaosema Haram huku mtandaoni mbona tunakula nao hapa!
 
Bado haujanisoma nimesema kuna watu haiwadhuru kwa sababu wanajua kui-dilute na wanajua kuishi nayo pasina kuwaletea madhara ila inawatafuna ndani kwa ndani, ushaelewa sijui?

Ila naona wewe kunielewa itakua ni ngumu sababu ushajilisha unachokiamini kuna maswali haukuwahi kumuuliza babu yako that's why ungemuuliza usingepinga nilichokueleza

Bangi mbaya
Gongo mbaya
Kitimoto mbaya

Tumia kwa kujihatarisha wewe binafsi hakuna anaekukataza ili hata km yakikukuta huna wa kumlaumu ni wewe na nafsi yako na usiseme hukuambiwa
 
Kumbe ngamia hana kwato hacheui
Mbona waislam wanakula??
 
Bangi sio haramu aiseh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…