CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Ooooh kumbe tatizo sia hisia tatizo ni machaguzi ya wenza utakao kuwa naoKupenda kupitiliza ni kuwa na hisia Na mwenzio Kwa kiwango chajuu kabisa ni nzuri kma utampata anakupenda Kwa kiwango hikohiko ila mbaya ukimpata asiekupenda Kwa kiwango hiko na ndicho alichozungumzia mtoa mada kuna kudharaulika kunyanyasa kihisia,n.k.
Hakika nisipoelewa hili bas sistahili kurudi Tena hapa yakinipata.....mi nashauri tu wazazi wawapende na kulea watoto wao was kike Kwa upendo was juu....msikatae watoto,msitupe watoto....waleeni Kwa upendo Jamani.....wakikua wanaanza kutafuta upendo mahali pasipo Sahihi....wanaamini wasioaminika ....naumia kweli yaanMapenzi yanatakiwa yawe 50-50 effort
Ukiona wewe ndio unatumia nguvu nyingi ujue hupendwi. Kila mtu anachukia cheap things, ukijishusha na kujirahisisha sana kwa kuamini ndio mapenzi lazima uchezee za uso. Ni issue ya kisaikolojia tu mtu kutothamini kitu anachoweza kuki access anytime tena for free kabisa.
Mapenzi hayatakiwi yakutese, yanatakiwa yakupe furaha, hopes n.k, ukiona unateswa na mapenzi fahamu kua haupo sehemu sahihi, ila ukiwa sehemu sahihi vitu vina flow vyenyewe tu bila kutumia nguvu kabisa.
Haijalishi mtu unampenda kiasi gani lazima na wewe muhusika utambue thamani yako "You have mass you occupy space You matter [emoji4]"
Cha muhimu upunguze kujionea huruma, uwe mtu wa kuchukua maamuzi magumu ukiona sehemu hakuna love just move on.
Watu weupe wana msemo wao unasema
"In three words I can sum up everything I have learned about life IT GOES ON"View attachment 2375815
Aya bhnaOoooh kumbe tatizo sia hisia tatizo ni machaguzi ya wenza utakao kuwa nao
Kuna binti nilimfuata, nikamueleza hisia zangu zote, aliishia kunitukana hadharani. Kwa aibu nilirudi gheto, nikanywa maji nikalala bila kula.Nipo pumziko ya week moja standard 7 wanahitimu Alhamisi hivyo maticha twala bata. Mwenye nafasi aje anichukue kesho Jumatatu tafadhali.
Turudi kwenye mada, najua kupenda kupo tena kunachukua nafasi kubwa moyoni. Sasa nilitaka nijue, kuwa kumpenda mtu ni fimbo? Yaani ni lazima uteseke, udharaulike, unyanyasike na huyo umpendaye?
Yaani ana dalili zote hakupendi na una dalili zote unaforce mapenzi na kuaminika kwake, je, ni lazima unyanyasike ndiyo uprove unapenda? Yaani huwezi kusepa ila unaweza kuvumilia dharau, kwani lazima upitie hayo?
Umetisha bro. Maneno yamenipa nguvu. Pamoja sana.Mapenzi yanatakiwa yawe 50-50 effort
Ukiona wewe ndio unatumia nguvu nyingi ujue hupendwi. Kila mtu anachukia cheap things, ukijishusha na kujirahisisha sana kwa kuamini ndio mapenzi lazima uchezee za uso. Ni issue ya kisaikolojia tu mtu kutothamini kitu anachoweza kuki access anytime tena for free kabisa.
Mapenzi hayatakiwi yakutese, yanatakiwa yakupe furaha, hopes n.k, ukiona unateswa na mapenzi fahamu kua haupo sehemu sahihi, ila ukiwa sehemu sahihi vitu vina flow vyenyewe tu bila kutumia nguvu kabisa.
Haijalishi mtu unampenda kiasi gani lazima na wewe muhusika utambue thamani yako "You have mass you occupy space You matter [emoji4]"
Cha muhimu upunguze kujionea huruma, uwe mtu wa kuchukua maamuzi magumu ukiona sehemu hakuna love just move on.
Watu weupe wana msemo wao unasema
"In three words I can sum up everything I have learned about life IT GOES ON"View attachment 2375815
🤣ikawa zamu yakeKuna binti nilimfuata, nikamueleza hisia zangu zote, aliishia kunitukana hadharani. Kwa aibu nilirudi gheto, nikanywa maji nikalala bila kula.
Wiki moja baadae, yeye ndo akaanza kuteseka. Tena zaidi yangu!
Mapenzi bhana[emoji23]
The best way to get someone attention is to stop give them yours.Kuna binti nilimfuata, nikamueleza hisia zangu zote, aliishia kunitukana hadharani. Kwa aibu nilirudi gheto, nikanywa maji nikalala bila kula.
Wiki moja baadae, yeye ndo akaanza kuteseka. Tena zaidi yangu!
Mapenzi bhana[emoji23]
Napitia hiki kipindi. Nitachukua huu ushauri aisee.Mad Max Beesmom
Ndugu zanguni katika JF, jifunzeni sana ku balance shobo mta enjoy sana. Pendeni ila zitambueni thamani zenu.
Miaka kadhaa nyuma wakati msichana mmoja ninayempenda ananifanyia visa pembeni kulikua na wasichana wanne tofauti (hawajuani kabisa) wote walikua wananitaka kimahusiano. Indicators zote na mazingira yote ya kua nayo walinitengenezea lakini sikutoka nao wala sikutaka kuwaumiza yani nitoke nao wakati siwapendi hivo nikawapotezea juu kwa juu.
Ila kila nilipokua nakaa peke yangu nikawa najiuliza kama wanawake wanne wananitaka tena demand yangu kwao ni kubwa sana basi mimi ni wa thamani sana sasa kwanini huyu mmoja ninayempenda nimpe nafasi ya kuniumiza, kunitesa na kuninyanyasa.
Long story short, nilimpotezea na it was my best decision ever. So tujifunze kuthamini thamani zetu no matter what.
*Suffering is not a punishment is a result.
Mim Mungu anisamehe tu kwa kweli.Nipo pumziko ya week moja standard 7 wanahitimu Alhamisi hivyo maticha twala bata. Mwenye nafasi aje anichukue kesho Jumatatu tafadhali.
Turudi kwenye mada, najua kupenda kupo tena kunachukua nafasi kubwa moyoni. Sasa nilitaka nijue, kuwa kumpenda mtu ni fimbo? Yaani ni lazima uteseke, udharaulike, unyanyasike na huyo umpendaye?
Yaani ana dalili zote hakupendi na una dalili zote unaforce mapenzi na kuaminika kwake, je, ni lazima unyanyasike ndiyo uprove unapenda? Yaani huwezi kusepa ila unaweza kuvumilia dharau, kwani lazima upitie hayo?
Kila la heri mkuuNapitia hiki kipindi. Nitachukua huu ushauri aisee.
Kusema kweli madame siwez yani mtu aniletee kisebengo anabwagwa navuta mtoto wa mama mkwe mpya maisha yenyewe kidunchu haya🤣u mean huwez kuteseka na mapenzi cute?
Ccy nakwambia sitak mchezoNimekwama mwenzio🤣🙌