Hivi ukipenda ni lazima unyanyasike?

Hivi ukipenda ni lazima unyanyasike?

Nipo pumziko ya week moja standard 7 wanahitimu Alhamisi hivyo maticha twala bata. Mwenye nafasi aje anichukue kesho Jumatatu tafadhali.

Turudi kwenye mada, najua kupenda kupo tena kunachukua nafasi kubwa moyoni. Sasa nilitaka nijue, kuwa kumpenda mtu ni fimbo? Yaani ni lazima uteseke, udharaulike, unyanyasike na huyo umpendaye?

Yaani ana dalili zote hakupendi na una dalili zote unaforce mapenzi na kuaminika kwake, je, ni lazima unyanyasike ndiyo uprove unapenda? Yaani huwezi kusepa ila unaweza kuvumilia dharau, kwani lazima upitie hayo?
Pole Ticha, we kula bata ukimaliza urudi ukafundishe, shule zinafunguliwa next wee
Naamini umpendae sio student
 
Moja ya kitu ambacho wazazi wengi wali/wanafeli ni kutowafundisha watoto wao toka wakiwa wadogo kuwa sio kila kitu ukipendacho unakistahili /kinafaa uwe nacho vipo vitu/kitu tunapenda lakini tuna viacha viende maana sio sahh kwetu au havistahili upendo wetu. Na matokeo yake ndio kama haya ya kuforce upendo au mapenzi usipo pendwa
 
Moja ya kitu ambacho wazazi wengi wali/wanafeli ni kutowafundisha watoto wao toka wakiwa wadogo kuwa sio kila kitu ukipendacho unakistahili /kinafaa uwe nacho vipo vitu/kitu tunapenda lakini tuna viacha viende maana sio sahh kwetu au havistahili upendo wetu. Na matokeo yake ndio kama haya ya kuforce upendo au mapenzi usipo pendwa
Nimeacha Sasa jaman
 
Moja ya kitu ambacho wazazi wengi wali/wanafeli ni kutowafundisha watoto wao toka wakiwa wadogo kuwa sio kila kitu ukipendacho unakistahili /kinafaa uwe nacho vipo vitu/kitu tunapenda lakini tuna viacha viende maana sio sahh kwetu au havistahili upendo wetu. Na matokeo yake ndio kama haya ya kuforce upendo au mapenzi usipo pendwa
Hivi mapenzi ya Sasa ni kupewa mbususu na kutoa Hela? Au upendo unaozungumziwa ni upi
 
Hivi mapenzi ya Sasa ni kupewa mbususu na kutoa Hela? Au upendo unaozungumziwa ni upi
Sahv Ata tamaa za kingono huitwa mapenzi na hapo ndipo unakuta mmoja ana tamaa ya pesa na mwingine tamaa ya ngono wanaungana wanahesabu wapo kwenye mahusiano ya mapenzi kumbe ni biashara.
Mkipendana,mbususu na pesa huja automatically
 
Nipo pumziko ya week moja standard 7 wanahitimu Alhamisi hivyo maticha twala bata. Mwenye nafasi aje anichukue kesho Jumatatu tafadhali.

Turudi kwenye mada, najua kupenda kupo tena kunachukua nafasi kubwa moyoni. Sasa nilitaka nijue, kuwa kumpenda mtu ni fimbo? Yaani ni lazima uteseke, udharaulike, unyanyasike na huyo umpendaye?

Yaani ana dalili zote hakupendi na una dalili zote unaforce mapenzi na kuaminika kwake, je, ni lazima unyanyasike ndiyo uprove unapenda? Yaani huwezi kusepa ila unaweza kuvumilia dharau, kwani lazima upitie hayo?
Kila kitu chaitaji kiasi, ukiforce sna ndo unapo umia ,ukiona anakusumbua kua humble Kaa tulia fanya mambo mengine yatakayo kusaidia kumtoa akilini mwako
 
Mapenzi yanatakiwa yawe 50-50 effort
Ukiona wewe ndio unatumia nguvu nyingi ujue hupendwi. Kila mtu anachukia cheap things, ukijishusha na kujirahisisha sana kwa kuamini ndio mapenzi lazima uchezee za uso. Ni issue ya kisaikolojia tu mtu kutothamini kitu anachoweza kuki access anytime tena for free kabisa.

Mapenzi hayatakiwi yakutese, yanatakiwa yakupe furaha, hopes n.k, ukiona unateswa na mapenzi fahamu kua haupo sehemu sahihi, ila ukiwa sehemu sahihi vitu vina flow vyenyewe tu bila kutumia nguvu kabisa.

Haijalishi mtu unampenda kiasi gani lazima na wewe muhusika utambue thamani yako "You have mass you occupy space You matter [emoji4]"
Cha muhimu upunguze kujionea huruma, uwe mtu wa kuchukua maamuzi magumu ukiona sehemu hakuna love just move on.

Watu weupe wana msemo wao unasema

"In three words I can sum up everything I have learned about life IT GOES ON"
099668bd45d2a1ee741d6e72b6bbc6ae.jpg
 
Back
Top Bottom