Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio dhambi kabisa ndio
Basi mwambie atoe hofuAti nisikiguse... Nisikuangalie... Nisikuongeleshe...
Nilipie nikupe usepe...
Ikikiukwa hata moja atakupasua wewe ati...
Pole Ticha, we kula bata ukimaliza urudi ukafundishe, shule zinafunguliwa next weeNipo pumziko ya week moja standard 7 wanahitimu Alhamisi hivyo maticha twala bata. Mwenye nafasi aje anichukue kesho Jumatatu tafadhali.
Turudi kwenye mada, najua kupenda kupo tena kunachukua nafasi kubwa moyoni. Sasa nilitaka nijue, kuwa kumpenda mtu ni fimbo? Yaani ni lazima uteseke, udharaulike, unyanyasike na huyo umpendaye?
Yaani ana dalili zote hakupendi na una dalili zote unaforce mapenzi na kuaminika kwake, je, ni lazima unyanyasike ndiyo uprove unapenda? Yaani huwezi kusepa ila unaweza kuvumilia dharau, kwani lazima upitie hayo?
Nimeacha Sasa jamanMoja ya kitu ambacho wazazi wengi wali/wanafeli ni kutowafundisha watoto wao toka wakiwa wadogo kuwa sio kila kitu ukipendacho unakistahili /kinafaa uwe nacho vipo vitu/kitu tunapenda lakini tuna viacha viende maana sio sahh kwetu au havistahili upendo wetu. Na matokeo yake ndio kama haya ya kuforce upendo au mapenzi usipo pendwa
Hivi mapenzi ya Sasa ni kupewa mbususu na kutoa Hela? Au upendo unaozungumziwa ni upiMoja ya kitu ambacho wazazi wengi wali/wanafeli ni kutowafundisha watoto wao toka wakiwa wadogo kuwa sio kila kitu ukipendacho unakistahili /kinafaa uwe nacho vipo vitu/kitu tunapenda lakini tuna viacha viende maana sio sahh kwetu au havistahili upendo wetu. Na matokeo yake ndio kama haya ya kuforce upendo au mapenzi usipo pendwa
Sahv Ata tamaa za kingono huitwa mapenzi na hapo ndipo unakuta mmoja ana tamaa ya pesa na mwingine tamaa ya ngono wanaungana wanahesabu wapo kwenye mahusiano ya mapenzi kumbe ni biashara.Hivi mapenzi ya Sasa ni kupewa mbususu na kutoa Hela? Au upendo unaozungumziwa ni upi
Mkipendana,mbususu na pesa huja automatically
Sasa anza kuwafundisha wanao kupitia changamoto zako nao yasije wakutaNimeacha Sasa jaman
Kila kitu chaitaji kiasi, ukiforce sna ndo unapo umia ,ukiona anakusumbua kua humble Kaa tulia fanya mambo mengine yatakayo kusaidia kumtoa akilini mwakoNipo pumziko ya week moja standard 7 wanahitimu Alhamisi hivyo maticha twala bata. Mwenye nafasi aje anichukue kesho Jumatatu tafadhali.
Turudi kwenye mada, najua kupenda kupo tena kunachukua nafasi kubwa moyoni. Sasa nilitaka nijue, kuwa kumpenda mtu ni fimbo? Yaani ni lazima uteseke, udharaulike, unyanyasike na huyo umpendaye?
Yaani ana dalili zote hakupendi na una dalili zote unaforce mapenzi na kuaminika kwake, je, ni lazima unyanyasike ndiyo uprove unapenda? Yaani huwezi kusepa ila unaweza kuvumilia dharau, kwani lazima upitie hayo?
Uwe na safari njema🤣🤣Ninaporaruka means nishaamua kusepa jumla
Daaah umeamua ubadili na picha kabisa...🤣🤣🤣Nishapona