Hivi ukipenda ni lazima unyanyasike?

Hivi ukipenda ni lazima unyanyasike?

Kuna mdada nilianza kulipenda Na kumuonesha mapenzi miezi michache iliyopita, likawa linanipotezea, halinijali wala nini, mara ooh liko busy, ila kwa vile mm Saa ingine mm hutumia ubongo kuwaza, kwa body language za yule mdada niligundua pale sina mtu, sahivi nikiwa na hamu ya kuongea nae nampigia simu kinafiki huku namzomea, ili kumjulia hali, Saa ingine anapokea saa ingine hapokei simu, nikasema ningependa kijinga, si mwanzo wa kunywa sumu Evelyn Salt Beesmom
Hadi hapo tu ni kwamba haupindui
 
Nibalance shobo"
Ndio ukizingatia wewe ni mwanamke basi tabu tupu!! Mwanamke kupenda kupitiliza sio poa sana ujue bora wewe upendwe kupitiliza haya huyo wa kukupenda kupitiliza sasa ndio changamoto!!
Mapenzi kizungumkuti!
 
Una kirangi kizuri kweli ila tatizo kwangu mwembamba nikikaa juu Yako kesi ya mauaji itanihusu chibonge mimi

Kwendraa!
Sitaki sifa Mimi, ninachotaka nimeshakuambia hapa niliponamalizia huu waraka alafu muda mchache ujao utatrend, Beesmom wa JF
 
Hapo huyo itakua ana mtu mwingine alomuweka kwa moyo au anayempenda kwa dhati!
Ndio yule jamaa ambae unamlengeshea mbususu anaremba kuila ?????
Huyo hakupendi dada tuliza akili kwanza usifanye maamuzi ya kupata mwingine kwa hasira au haraka ya kulipiza
 
Nalikuwa nampenda tu,namwona mpole sana nami ndo ugonjwa wangu....ila shida anaonekana ana mpenzi mwingine Ivo anashindwa kubalance....na ni kama kutokuwa na interest kumeegemea kwangu
Achana nae.

We utakonda kwa mawazo mwenzio yake yanamuendea.
 
Beesmom Hio nayo ni changamoto kubwa kwa wanaume ya kushindwa kubalance wapenzi wao yani amuache nani ampotezee nani so anahang hang nao ivoivo mwanamke mwenye akili timamu ataeshtuka mapema ndio atajiengua mwenyewe kwa jitihada zake!
 
Kabinti kale nilikapendaga sana moyoni bila kujijua na nikiwa na Kila sababu ya kutokumfanya wangu-cha ajabu mpaka huruma nilikuwa nakaonea , nikaja kugundua imekuwa ngumu kutenganishana ndiyo nateseka kwa Sasa hivi.

Aiseee mapenzi yamechanganyikana na mateso- ni mateso bila chuki Sasa hivi 😅😅😅😅
Usiteseke
Watu wapo wengi sana duniani hapa
Ukiona mateso yanazidi raha potezea
 
Back
Top Bottom