Usalama barabarani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 867
- 1,066
Ushamfanyia usaili na kumuona kwa picha kabisa 😳😳😳!! 😁😁!?Una kirangi kizuri kweli ila tatizo kwangu mwembamba nikikaa juu Yako kesi ya mauaji itanihusu chibonge mimi
Kweli umevurugwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamfanyia usaili na kumuona kwa picha kabisa 😳😳😳!! 😁😁!?Una kirangi kizuri kweli ila tatizo kwangu mwembamba nikikaa juu Yako kesi ya mauaji itanihusu chibonge mimi
You eat kuku, I must eat samakiMasharti gan hayo ndugu
Basi Ngoja nami nikazoon kwanza avatar 😁!Nimeangalia avatar yake....huyu pia huweka picha halisi
Hadi hapo tu ni kwamba haupinduiKuna mdada nilianza kulipenda Na kumuonesha mapenzi miezi michache iliyopita, likawa linanipotezea, halinijali wala nini, mara ooh liko busy, ila kwa vile mm Saa ingine mm hutumia ubongo kuwaza, kwa body language za yule mdada niligundua pale sina mtu, sahivi nikiwa na hamu ya kuongea nae nampigia simu kinafiki huku namzomea, ili kumjulia hali, Saa ingine anapokea saa ingine hapokei simu, nikasema ningependa kijinga, si mwanzo wa kunywa sumu Evelyn Salt Beesmom
Ndio ukizingatia wewe ni mwanamke basi tabu tupu!! Mwanamke kupenda kupitiliza sio poa sana ujue bora wewe upendwe kupitiliza haya huyo wa kukupenda kupitiliza sasa ndio changamoto!!Nibalance shobo"
Una kirangi kizuri kweli ila tatizo kwangu mwembamba nikikaa juu Yako kesi ya mauaji itanihusu chibonge mimi
Hapo huyo itakua ana mtu mwingine alomuweka kwa moyo au anayempenda kwa dhati!Hakika
Asante bro,nishalivua pendo....inatoshaHapo huyo itakua ana mtu mwingine alomuweka kwa moyo au anayempenda kwa dhati!
Ndio yule jamaa ambae unamlengeshea mbususu anaremba kuila ?????
Huyo hakupendi dada tuliza akili kwanza usifanye maamuzi ya kupata mwingine kwa hasira au haraka ya kulipiza
Achana nae.Nalikuwa nampenda tu,namwona mpole sana nami ndo ugonjwa wangu....ila shida anaonekana ana mpenzi mwingine Ivo anashindwa kubalance....na ni kama kutokuwa na interest kumeegemea kwangu
🤣🤣🤣Usinikasirikie bhana,pleasee
Shida ni kwamba unaonekana unampenda sana huyo jamaa!Asante bro,nishalivua pendo....inatosha
UsitesekeKabinti kale nilikapendaga sana moyoni bila kujijua na nikiwa na Kila sababu ya kutokumfanya wangu-cha ajabu mpaka huruma nilikuwa nakaonea , nikaja kugundua imekuwa ngumu kutenganishana ndiyo nateseka kwa Sasa hivi.
Aiseee mapenzi yamechanganyikana na mateso- ni mateso bila chuki Sasa hivi 😅😅😅😅