Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa inasaidia kuwala / kuwapata wanawake bila kutumia nguvu na automatic hao wanawake kwako wanakua wamefata pesa tuna sio mapenzi! Means wanapenda pesa zako tuTafuteni pesa.Money is not everthing in a relationship. Money is the only thing.
Ukiwa na pesa hutanyanyasika kimapenzi.Utegemezi ndio unaleta manyanyaso.Hasa wanaume akijua umempenda na unamtegemea basi atakunyanyasa.Economic freedom is the key.Hatakushobokea ovyo.
Thread closed!!Mapenzi 1 mstari wa 3
Usipende kupitiliza utajitesa bure
Mapenzi 1 mstari wa 15
Wenye mapenzi ya dhati walikuwa adam na hawa wengine kaa mguu pande mguu sawa
Naelewa lkn sijaamanisha hivo ni kuwa kupenda iwe kiasi maanayake usipendwe kupitiliza nowdays watu hawathamini upendo Tena Wana mambo mengi yanayowaingiza kwenye mahusiano sio upendo Wala mapenzUkiweza ignore and override unakuwa huna tofauti na malaya,, utaenda mbali zaidi na hutaweza kurudi, mapenzi yatakuwa sio hisia tena yatakuwa ka mchezo and trust me si nzuri in a long run
Mtafute have an honest conversation kuhusu hilo swala uone anasemaje,Nifanye nn,niendelee kuumia?
🤦Naelewa lkn sijaamanisha hivo ni kuwa kupenda iwe kiasi maanayake usipendwe kupitiliza nowdays watu hawathamini upendo Tena Wana mambo mengi yanayowaingiza kwenye mahusiano sio upendo Wala mapenz
Angalia hata hapa MMU vinavyojadiliwa ndo taswira halisi ya vijana na fikra zao kuhusu mahusiano na ndoa why nipende sana na nikipenda sana hatmayake nin nipende Ili niumie
🤣🤣🤣Unataka jamii iniue
Asante sana Kwa ushauri 🤝Mtafute have an honest conversation kuhusu hilo swala uone anasemaje,
pima points anazosema kama zina uzito au la tafuteni wote why anafanya anayotafanya,, tafutieni ufumbzi then muendelee,,
akifanya tena means hakumaanisha chochote alichokisema hapo we ondoka tu, itauma kama ulimpenda kweli,,
Jipe muda wa healing make sure huna kinyongo nae anza date tena with all your heart
Hv kupenda au kupendwa kupitiliza ni kupiNaelewa lkn sijaamanisha hivo ni kuwa kupenda iwe kiasi maanayake usipendwe kupitiliza nowdays watu hawathamini upendo Tena Wana mambo mengi yanayowaingiza kwenye mahusiano sio upendo Wala mapenz
Angalia hata hapa MMU vinavyojadiliwa ndo taswira halisi ya vijana na fikra zao kuhusu mahusiano na ndoa why nipende sana na nikipenda sana hatmayake nin nipende Ili niumie