Hivi ukipewa masharti ya utajiri ufanye mapenzi na ndugu yako utakubali?

Hivi ukipewa masharti ya utajiri ufanye mapenzi na ndugu yako utakubali?

Haki ya nani, utajiri una siri kubwa sana wakuu, imagine unapewa masharti ya aina hii, serious?

Kumbe hizi v8, harrier, prado, Toyota, jeep ndo zinapatikana kwa haya madudu?

Ushahidi mwingine wa wazi elimu ya juu wangali likizo
 
Watu wanapiga mama zao mkuu
Watu wapiga watoto wao
Watu wanapiga .....
Afu siyo sababu ya masharti ya kupata utajiri.
Ni uchafu tu,uchafu Kila pahala.
Bado haujiulizi kwanini mwanaume anaamua kujivua heshima ya uanaume wake na kuamua kulalwa nyuma? Je tuite ni masharti? Hapana,ni sababu nyakati hizi ni za uharibifu🙏
Lakini wengi naona wanafanya hivyo kwa sabahu ya masharti ya babu kunoga
 
Hakuna wanadamu wenye akili timamu anaweza huo uchafu ,mpenzi tu ni kwa ajili ya tamaa tu ya miili yetu
 
Watu wanapiga mama zao mkuu
Watu wapiga watoto wao
Watu wanapiga .....
Afu siyo sababu ya masharti ya kupata utajiri.
Ni uchafu tu,uchafu Kila pahala.
Bado haujiulizi kwanini mwanaume anaamua kujivua heshima ya uanaume wake na kuamua kulalwa nyuma? Je tuite ni masharti? Hapana,ni sababu nyakati hizi ni za uharibifu🙏
Hakuna mwanaume timamu anayesex na mwanaye ama mamaye hilo na pinga kama unabisha mtaje?
 
Ingekuwa ni rahisi hivyo, wengi sana wangekuwa matajiri.

Hizi Imani kwenye vitu visivyoonekana zinapumbaza sana watu.

Unapoteza nguvu nyingi sana kuamini hadithi eti kafara za kutajirika, kuiba nyota, mwisho hujui hata nidhamu ya pesa ipoje umejaza hadithi tu kichwani.
 
Back
Top Bottom