Hivi ukipewa masharti ya utajiri ufanye mapenzi na ndugu yako utakubali?

Hivi ukipewa masharti ya utajiri ufanye mapenzi na ndugu yako utakubali?

Ingekuwa ni rahisi hivyo, wengi sana wangekuwa matajiri.

Hizi Imani kwenye vitu visivyoonekana zinapumbaza sana watu.

Unapoteza nguvu nyingi sana kuamini hadithi eti kafara za kutajirika, kuiba nyota, mwisho hujui hata nidhamu ya pesa ipoje umejaza hadithi tu kichwani.
Kulala na dada yako ni rahisi?
 
Ingekuwa ni rahisi hivyo, wengi sana wangekuwa matajiri.

Hizi Imani kwenye vitu visivyoonekana zinapumbaza sana watu.

Unapoteza nguvu nyingi sana kuamini hadithi eti kafara za kutajirika, kuiba nyota, mwisho hujui hata nidhamu ya pesa ipoje umejaza hadithi tu kichwani.
Kulala na dada yako ni rahisi?
 
Hivi kwa kweli Mungu Hawezi kukupa utajiri? Mpaka kufikia hatua hii?
Dunia uwanja wa fujo mkuu, kuna wanaopata maisha hayo straight tu na wengi wengi kwa njia wanazozijua wao ikiwemo mauaji, unyang'anyi, ufisadi, shirki etc

Kwa hiyo kipindi unamuuliza Mungu kwa nini asiwape watu utajiri, kuna wengi tu hata hofu ya Mungu hawana Ila wanatoboa kuliko wanaoshinda kwa mwamposa
 
Hivi kwa kweli Mungu Hawezi kukupa utajiri? Mpaka kufikia hatua hii?
Dunia uwanja wa fujo mkuu, kuna wanaopata maisha hayo straight tu na wengi wengi kwa njia wanazozijua wao ikiwemo mauaji, unyang'anyi, ufisadi, shirki etc

Kwa hiyo kipindi unamuuliza Mungu kwa nini asiwape watu utajiri, kuna wengi tu hata hofu ya Mungu hawana Ila wanatoboa kuliko wanaoshinda kwa mwamposa
 
Dunia uwanja wa fujo mkuu, kuna wanaopata maisha hayo straight tu na wengi wengi kwa njia wanazozijua wao ikiwemo mauaji, unyang'anyi, ufisadi, shirki etc

Kwa hiyo kipindi unamuuliza Mungu kwa nini asiwape watu utajiri, kuna wengi tu hata hofu ya Mungu hawana Ila wanatoboa kuliko wanaoshinda kwa mwamposa
Kwa mwamposa mbona pale umejaa usanii tu. Imagine unanunua mafuta sijui maji, lakini je utajiri wao hua unadumu kwa miongo kadhaa?
 
Back
Top Bottom