thundercat8
Senior Member
- Nov 25, 2015
- 172
- 384
Tuanze na wewe, ulale na mzazi wako vipi imekaa sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 Baba ako nae akili kama zako wote divisheni zeroNimerithi kutoka kwa baba 😂😂
Utajiri una ushetani ndani yake. Wengi wa kwa mwamposa wanahitaji nyumba, gari na milo isiyokuwa na shida..Kwa mwamposa mbona pale umejaa usanii tu. Imagine unanunua mafuta sijui maji, lakini je utajiri wao hua unadumu kwa miongo kadhaa?
Utajiri una ushetani ndani yake. Wengi wa kwa mwamposa wanahitaji nyumba, gari na milo isiyokuwa na shida..Kwa mwamposa mbona pale umejaa usanii tu. Imagine unanunua mafuta sijui maji, lakini je utajiri wao hua unadumu kwa miongo kadhaa?
Kabisa na hakuna atakaekuambia tobo lake lilikuwa ni lipi maana kuna baadhi walipiga mishe haramu ndio wakapata mitaji mikubwa ya kusimamisha biashara halaliKweli mkuu utajiri una siri kubwa sana.
OkayHakuna mwanaume timamu anayesex na mwanaye ama mamaye hilo na pinga kama unabisha mtaje?
OkayHakuna mwanaume timamu anayesex na mwanaye ama mamaye hilo na pinga kama unabisha mtaje?
On howMungu anatoa utajiri sana tu ila utajiri wake siyo rahisi kama unavyodhani!.
Dhaifu?Yaani uwe tajiri kwasababu dhaifu sana hizi.
NoTuanze na wewe, ulale na mzazi wako vipi imekaa sawa?
Watu wanalambana kila siku bila hayo masharti.Haki ya nani, utajiri una siri kubwa sana wakuu, imagine unapewa masharti ya aina hii, serious?
Kumbe hizi v8, harrier, prado, Toyota, jeep ndo zinapatikana kwa haya madudu?
Baba angu alifaulu form foo.😂😂😂😂 Baba ako nae akili kama zako wote divisheni zero
Mfano mdogo;On how