Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Wanakuwa hiviKatika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app