Hivi ukiwa kada wa CCM ni lazima uwe kilaza?

Hivi ukiwa kada wa CCM ni lazima uwe kilaza?

Katika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
Wanakuwa hivi
b5e4983e1120b0ec8310af281fd86231.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM wanajua shida za watu ,wanajua wanachofanya na nini wanatakiwa wafanye katika kuwatumikia wananchi.

lakini kwa makusudi kabisa wameamua kuwa wabinafsi wachoyo wezi ,wazurumaji, wanaojilimbikizia mali kupita kiasi yaani utajili walio nao haulingani na vipato vyao na umri wao.
wamekuwa wauaji wakati mwingine bila wao kujua lakini kwa kukusudia.
lakini njia pekee ni kuwapora chama chao kwakuwa ndipo tutakapoweza angalau kuokoa vyakwetu.
upinzani bado hawajui wanatafuta nini na inawezekana njaa zinaweza kuwa sehemu ya vikwazo kwao.
Usiwasimgizie upinzani, mara ngapi wameitisha maandamano kupinga umbumbumbu na dhulma za CCM na haujatokea? Wananchi wanaojielewa huunga mkono maandamano kupinga dhulma, wewe hutokei halafu unalaumu Nini?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Katika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
watu na viatu hata hili ni lakuchafukwa kweli?
 
Katika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
Unaahirisha kufikiri kwa nafsi kwakufuata mkumbo kama afanyavyo mnyama aitwae nyumbu
 
Back
Top Bottom