Hivi ukiwa kada wa CCM ni lazima uwe kilaza?

Hivi ukiwa kada wa CCM ni lazima uwe kilaza?

Katika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
Screenshot_2023-09-20-13-08-19-1.png
 
Katika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
Sio lazima uwe kilaza mkuu ila ukisha ingia tu mfumo wa chama unakulazimisha kuwa kilaza tu

Mle hurusiwi kuwa na mawazo mbadala, kukosoa, ni mwendo wa kushangilia, kusema ndio basi hata kama jambo unaliona halipo sawa, na akili ya kujiondoa ndani ya chama hutoweka ghafla,

Wewe mtu mzima na familia inawezekana vipi kukuna nazi mbele ya umma, kugala gala kwenye mchanga, kulala chini mtu awapite juu ya migongo na mwishowe tenguliwa nyonga,

Kuruhusu kauli ya watu wachache ndani chama kuwa kauli moja kwa niaba ya wanachama wote,
 
Sio lazima uwe kilaza mkuu ila ukisha ingia tu mfumo wa chama unakulazimisha kuwa kilaza tu

Mle hurusiwi kuwa na mawazo mbadala, kukosoa, ni mwendo wa kushangilia, kusema ndio basi hata kama jambo unaliona halipo sawa, na akili ya kujiondoa ndani ya chama hutoweka ghafla,

Wewe mtu mzima na familia inawezekana vipi kukuna nazi mbele ya umma, kugala gala kwenye mchanga, kulala chini mtu awapite juu ya migongo na mwishowe tenguliwa nyonga,

Kuruhusu kauli ya watu wachache ndani chama kuwa kauli moja kwa niaba ya wanachama wote,
Roho mbaya kwao, ukatiri kwao, yaani mimi siku hizi nawaogopa sana
 
Sio lazima uwe kilaza mkuu ila ukisha ingia tu mfumo wa chama unakulazimisha kuwa kilaza tu

Mle hurusiwi kuwa na mawazo mbadala, kukosoa, ni mwendo wa kushangilia, kusema ndio basi hata kama jambo unaliona halipo sawa, na akili ya kujiondoa ndani ya chama hutoweka ghafla,

Wewe mtu mzima na familia inawezekana vipi kukuna nazi mbele ya umma, kugala gala kwenye mchanga, kulala chini mtu awapite juu ya migongo na mwishowe tenguliwa nyonga,

Kuruhusu kauli ya watu wachache ndani chama kuwa kauli moja kwa niaba ya wanachama wote,
Kumbe
 
Back
Top Bottom