Wanakuwa hiviKatika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
Ukiwa CCM automatically Kun kitu kinapungua kichwaniKatika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
Kabisa naunga mkono hoja 👍👏
Naunga mkono hoja 👍👏Ukiwa CCM automatically Kun kitu kinapungua kichwani
Naunga mkono hoja 👍👏Bila kuwa kilaza bado hujawa mwanaccm kamili wewe ni mpinzani uliyejivika ngozi ya CCM.
Usiwasimgizie upinzani, mara ngapi wameitisha maandamano kupinga umbumbumbu na dhulma za CCM na haujatokea? Wananchi wanaojielewa huunga mkono maandamano kupinga dhulma, wewe hutokei halafu unalaumu Nini?CCM wanajua shida za watu ,wanajua wanachofanya na nini wanatakiwa wafanye katika kuwatumikia wananchi.
lakini kwa makusudi kabisa wameamua kuwa wabinafsi wachoyo wezi ,wazurumaji, wanaojilimbikizia mali kupita kiasi yaani utajili walio nao haulingani na vipato vyao na umri wao.
wamekuwa wauaji wakati mwingine bila wao kujua lakini kwa kukusudia.
lakini njia pekee ni kuwapora chama chao kwakuwa ndipo tutakapoweza angalau kuokoa vyakwetu.
upinzani bado hawajui wanatafuta nini na inawezekana njaa zinaweza kuwa sehemu ya vikwazo kwao.
watu na viatu hata hili ni lakuchafukwa kweli?Katika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
Unakatwa na kumegwa na msigwawatu na viatu hata hili ni lakuchafukwa kweli?
imekuingia kidogo eehUnakatwa na kumegwa na msigwa
Muulize aliyekuzaa nduguimekuingia kidogo eeh
una kill mbaya sanaMuulize aliyekuzaa ndugu
Unaahirisha kufikiri kwa nafsi kwakufuata mkumbo kama afanyavyo mnyama aitwae nyumbuKatika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
NAKAZIAni badala ya kusema.... na sio baada ya kusema... tumeelewana wewe BAVICHA
Wew ndo papai aka kiazi cha ccm hata kuandika uweziuna kill mbaya sana
Usipende kukazia kaka ipo siku utakazwaNAKAZIA
Chawa wa mamaUnaahirisha kufikiri kwa nafsi kwakufuata mkumbo kama afanyavyo mnyama aitwae nyumbu
unayaporomosha kwa mpangolio kamandaWew ndo papai aka kiazi cha ccm hata kuandika uwezi
Kama matusi yanakupunguzia njaa basi endelea kutukana kwasababu yanakuwa na faida mwilini.Usipende kukazia kaka ipo siku utakazwa