Nadhani ni moja ya kanuni zaoKatika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
Kukosea kawaida haina Kada wa ccm wala chadema, kama ungekuwa kukosea unakuwa kilaza basi tuko wengi sanaKatika mkutano wao leo alisikika kada mmoja akisema vyama vya upinzani ni wapiga kelele kama mbu wakati ana ongea pia baada ya kusema visima anasema vichimba ama kweli ccm makada wao ni mapapai na ni viazi kabisa
Ni noma wanatisha kama ukomaa.....kuna kijiwe chao siku moja nilikaa aisee mambo waliyoongea siku ile niliogopa sana..kumbe tunaishi na mashetani binadamuWe acha tu mkuu, achana nao na wala usiwe na mazoea nao
HeheThat's a major prerequisite.. (Jocking... Not) 🤣
Ndo hivyo,Ni noma wanatisha kama ukomaa.....kuna kijiwe chao siku moja nilikaa aisee mambo waliyoongea siku ile niliogopa sana..kumbe tunaishi na mashetani binadamu