Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

Hapa mnaotaman kuwa viongozi tuone experience
Ningeenda kutembea dubai na kufungua account binafsi, baada ya hapo ningeenda Kwa Kamala Haris kuomba msaada wa fedha bila kusahau uchina na korea kwa ajili ya ujenzi wa midaraja na mibarabara, baada ya kupokea msaada ningepeleka fungu sudan na kenya kusaidia janga la njaa bila kusahau waathirika wa tetemeko uturuki
 
[emoji1787][emoji1787]Sio lazima umfunge Mzee Wa watu . ,,,
Unataifisha Mali zote za huyo muuza unga na kuhakikisha hapati kamwe NAFASI ya kisiasa katika nchi hii.
Ni kweli ila kwa jinsi alivyoidhalilisha nchi yetu aisee, anastahili kunyongwa tu. Dogo hana faida yeyote na hiii nchi, anatutia hasara tu
 
Kama kuna mwanamke JF naomba asichangie chochote kwenye huu uzi. Hapa tunaongea serious.
 
Kila nikiwaza mimi kuwa raisi najikuta nacheka tu mwenyewe maana sijui yani [emoji3][emoji3] wacha nisikomenti maana
Mzee unatuua mbavu unataka uraisi kwa njia gani🤣🤣 amka ndoton. Ukiona choo ndotoni usikitumie huo ni mtego😀😀
Nourhan angekuwa raisi angepitisha mbege kuwa pombe ya taifa na Kura yangu angepata. .
 
Mzee unatuua mbavu unataka uraisi kwa njia gani[emoji1787][emoji1787] amka ndoton. Ukiona choo ndotoni usikitumie huo ni mtego[emoji3][emoji3]
Nourhan angekuwa raisi angepitisha mbege kuwa pombe ya taifa na Kura yangu angepata. .
[emoji3][emoji3]
 
Gily njoo msikie Dad [emoji23]mpaka ma desginer wa suit alienda kuwauliza suit ipi itampendeza [emoji23]
Mh haya mambo wewe acha tu .
Nimekumbuka mbali sana leo nikiwa morogoro kwenye kilele cha siku ya mfanyakazi pale Raisi aliposema hata yeye mfanyakazi namba moja eti nyongeza ya mshahara katika viwango vya asilimia 23.3 , yeye sio mnufaika [emoji848]
 
1. Ningetaka Afrika iwe moja na nchi zote zitoe sovereignty yake kwa AU ili wananchi waweze kwenda popote Afrika visa free kujitafutia fursa.

2. Katiba mpya

3. Kuboresha miundo mbinu. Hapa ningependa kuwe na Highway system kwa barabara za mikoa (tatu kwenda na tatu kurudi) ila isiwe na zebra wala taa ili kupunguza ajali na muda wa kusafiri.

4. Ningetilia mkazo kuhusu mipango miji, ningepima nchi nzima, neno uswazi liwe historia kwa kizazi kijacho.

5. Ningefumua mfumo wa elimu, uendane na hali ya usasa. Pia ningehakikisha mwanafunzi akifikisha miaka 19 awe ashamaliza chuo aanze kutumikia taifa.

6. Hakuna kulipa kodi mwaka nzima baada ya kufungua biashara yako.
 
Mzee unatuua mbavu unataka uraisi kwa njia gani🤣🤣 amka ndoton. Ukiona choo ndotoni usikitumie huo ni mtego😀😀
Nourhan angekuwa raisi angepitisha mbege kuwa pombe ya taifa na Kura yangu angepata. .
😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
🤣😂ule
Mh haya mambo wewe acha tu .
Nimekumbuka mbali sana leo nikiwa morogoro kwenye kilele cha siku ya mfanyakazi pale Raisi aliposema hata yeye mfanyakazi namba moja eti nyongeza ya mshahara katika viwango vya asilimia 23.3 , yeye sio mnufaika [emoji848]
Uzi wako wa teuzi mbona siuoni
 
Back
Top Bottom