Hivi umeshawahi kujiuliza kuhusu Namba Saba

Nyie mnaosema binadamu ana matundu saba tu jasho huwa mnatolea kupitia tundu lipi kati ya hayo saba?
Hivyo hatuwezi weka kwenye level ya matundu chief
 
Wrong Tena,
Mwanamke ana matundu nane? Pale chini ukimkagua mwanamke vizuri utaona Kuna matundu matatu.
Mchunguze waif utanishukuru.
 
Saba Cha mtoto.
Mambo iko arobaini.
Za mwizi arobaini,
Mwanamke akijifungua siku ya arobaini ndio mashine inarudi katika Hali ya kawaida na unaweza kupakua mzigo.
Tunafunga siku arobaini.
Tangu jumatano ya majivu mpaka pasaka Ni siku arobaini.
 
Saba Cha mtoto.
Mambo iko arobaini.
Za mwizi arobaini,
Mwanamke akijifungua siku ya arobaini ndio mashine inarudi katika Hali ya kawaida na unaweza kupakua mzigo.
Tunafunga siku arobaini.
Tangu jumatano ya majivu mpaka pasaka Ni siku arobaini.
Roho Mtakatifu alishuka siku ya.....
 
Saba inatajwa kama ni namba ya utimilifu katika imani za kiroho.

Hata sadaka ukitoa 700,7000,70,00 n.k ina ngu zaidi.

Sameheni 7*70
 
Ni mawazo yako tu,hizo mbingu 7 wewe uliziona wapi.Namba ni ubunifu na majina ya siku ni ubunifu wa Mwanadamu hauna maana yoyote.so acha nadharia zisizokuwa na kichwa wala miguu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…