Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mimi nakuona huko ila Mungu ataninusuruWatu tumechukiwa bila sababu Hadi timefukuzwa nyumbani na tumefuta undugu.
Saa hizi ndugu yangu ni mke wangu na watoto wangu tu, full stop
Mimi ni litoto la mwisho na nilipendelewa kwa kila kitu. Kunyonya kwenyewe nilinyonya mpaka nikiwa na miaka saba yaani niko nachunga ndama na akili zangu kabisa lakini kichwani napiga akili kuwa nikifika tu home napata lishe ya uhakika kutoka kwa maza. Nakumbuka kulikuwa na mzee mmoja mkorofi sana alikuja pale home ndo akachimba mkwara eti hili litoto mtakuja kuliharibu hili (shwaini zake!). Na kuanzia siku ile ndo nikapotezea kunyonya. Mpaka mama amekuja kuzeeka mpaka kufariki tuko marafiki sana. Imagine anakata roho mi niko mbali lakini niko naye kwenye simu ananiaga.
Hali hii nadhani mwenyewe imeniathiri kiasi fulani (tender heart, huruma sana, kutokuwa na kifua; na mengine mengi tu) ila pia sikujua lakini baadhi ya ndugu zangu hasa wale wawili ninaowafuata wana reservations na mimi na hatuko karibu kivile no matter how hard I try. Wanasema everything came easy for me kwa vile nilikuwa mtoto mpendwa wa familia. Kwa wanangu najitahidi sana kuwa fair japo kuna katoto kamoja yaani nakapenda mpaka basi. Mungu na Atusaidie wazazi tusilete madhara na kupanda mbegu za uhasama; na hata kuacha makovu ya kudumu kwa malaika hawa tuliobarikiwa nao - hasa katika kizazi hiki cha kisasa [emoji1545][emoji1545][emoji1545].
Amen, T.G.I.F, wale wenzangu na Mimi wapenda weekend tunaijua ile feeling ya Ijumaa,
Natumaini mpo salama, nimejikuta najiuliza hichi kitu maana ni situation ambayo nimekutana nayo sana kwa watu wengi, kuna ile namna unahisi kabisa kwamba kwenye familia yetu yenye watoto kadhaa, kuna kipenzi cha Baba na pia kuna kipenzi cha Mama, na kuna wale wanabaki wanajua kabisa Mimi siye miongoni mwao..!
Nilikuwa nazungumza na mtu wangu wa karibu siku moja, akanitamkia like 'I was not their best'...! yaani hapo si kwa Baba wala Mama, nilijiskia vibaya mno mno, na hakika ukitazama watoto waliokosa upendo wa hivyo kwa kushuhudia kabisa kuwa wenzie wanakirimiwa kuwaliko kuna namna hawako sawa kabisa kabisa tofauti na yule mtoto aliyepokea upendo wa kumtosha na kumjaziliza..!
Bado sijakuwa mzazi I don't even know how it feels, hivyo natamani nijue, unapenda watoto wote ni kweli lakini kuna yule ambaye anagusa kabisa mtima wako moja kwa moja (nimeongea na wazazi wengi na wamekiri hili), hivi hakuna namna unaweza ficha hili wenzie wasijue na wakajiskia vibaya.?
Ama umewahi pitia ile hali katika ukuaji wako ya kujua wewe ndiye unapendelewa zaidi ama ni kinyume na hapo kuliko wenzio, na ulijiskiaje.??
Natamani wajuzi wa malezi na wazazi waliweke hili sawa ili tujifunze, maana kuna kizazi chenye watu wenye tabia za ajabu sana kinazidi kutengenezwa hivi sasa na hakuna anayewaza kuhusu hili kabisa..! Kuna watu unaweza walaumu kwa tabia wanazokuonyesha ukaishia kuwalaumu na kuwachukia kumbe ni MALEZI yao tu maskiini ndiyo yamewafikisha walipo..!!
Anyways Karibuni..!
Hizi lawama akina Mama tunazipataga sana. Sisemi hazipo lakini sometimes ni unfounded kabisa jamani hatuwabagui watoto wetu.
Ila sasa kuna vitu vidogo vidogo vinavyoweza kuleta taswira hii.
Mfano Mimi mtoto wangu mkubwa hakunisumbua kabisa katika malezi pamoja na kuwa sikuwa very experienced. Hata kulia hakuwa mlizi. So sikuzoeaga kabisa sauti yake akilia. Ni mpole by nature na sio mkorofi.
Hili toto dogo lilikuwa nyweeeee nyweeeeee na sasa wamekuwa kidogo. So ikitokea leo hii amelia hata I won't bother much nishazoea naona ni deko tu. Hili ni litubdu, likorofi na ngumi nje ila mwepesi kushtaki.
Lakini mkubwa akilia wallah it drives me crazy. I hate the sight of tears on my sons face. I hate to the core the sound of my elder son crying na ni mwepesi sana kureact sababu nahisi ameonewa na hapo ndo utaona familia zetu za kiafrika zikisema unampemdelea mtoto mmoja 🙄🙄🙄🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Siyo kwa Essau na Yakobo tu ambapo Essau alipendwa na baba, Yakobo akapendwa na mama.Sina mtoto wala nini ila Kuna watoto wa ndugu zangu ila nampenda mtoto mmoja sana kuliko wengine and I Feel we share some kind of bond, na yeye hunipenda hivo hivo, so same na wazazi wanapenda watoto wote ila Kuna wanaowapenda zaidi kuliko wengine I think sio dhambi hutokea tu hyo Hali hata kwenye bible ukisoma jinsi Esau na mdogo wake kila mtu alipendwa mwingine na baba mwingine na mama.
I think kwangu sio dhambi hutokea tu damu kuendana Ile deep waswahili husema
Mengine yote sijasoma kwa sababu hayanihusu [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3591][emoji3591][emoji3591] Umeelezea kwa ufasaha sana utafikiri unatetea dissertation ya uzamivu. Hongera [emoji122][emoji122][emoji39]
Nafanya kila kitu kwa wazazi wangu lakini mama hanikubali kabisa na mimi ndie pekee nina mwekekeo na ni last born. Kidogo mzee alikua hana shida before hajatangulia mbele ya haki, Allah amrehemu.Amen, T.G.I.F, wale wenzangu na Mimi wapenda weekend tunaijua ile feeling ya Ijumaa,
Natumaini mpo salama, nimejikuta najiuliza hichi kitu maana ni situation ambayo nimekutana nayo sana kwa watu wengi, kuna ile namna unahisi kabisa kwamba kwenye familia yetu yenye watoto kadhaa, kuna kipenzi cha Baba na pia kuna kipenzi cha Mama, na kuna wale wanabaki wanajua kabisa Mimi siye miongoni mwao..!
Nilikuwa nazungumza na mtu wangu wa karibu siku moja, akanitamkia like 'I was not their best'...! yaani hapo si kwa Baba wala Mama, nilijiskia vibaya mno mno, na hakika ukitazama watoto waliokosa upendo wa hivyo kwa kushuhudia kabisa kuwa wenzie wanakirimiwa kuwaliko kuna namna hawako sawa kabisa kabisa tofauti na yule mtoto aliyepokea upendo wa kumtosha na kumjaziliza..!
Bado sijakuwa mzazi I don't even know how it feels, hivyo natamani nijue, unapenda watoto wote ni kweli lakini kuna yule ambaye anagusa kabisa mtima wako moja kwa moja (nimeongea na wazazi wengi na wamekiri hili), hivi hakuna namna unaweza ficha hili wenzie wasijue na wakajiskia vibaya.?
Ama umewahi pitia ile hali katika ukuaji wako ya kujua wewe ndiye unapendelewa zaidi ama ni kinyume na hapo kuliko wenzio, na ulijiskiaje.??
Natamani wajuzi wa malezi na wazazi waliweke hili sawa ili tujifunze, maana kuna kizazi chenye watu wenye tabia za ajabu sana kinazidi kutengenezwa hivi sasa na hakuna anayewaza kuhusu hili kabisa..! Kuna watu unaweza walaumu kwa tabia wanazokuonyesha ukaishia kuwalaumu na kuwachukia kumbe ni MALEZI yao tu maskiini ndiyo yamewafikisha walipo..!!
Anyways Karibuni..!
Watu tumechukiwa bila sababu Hadi timefukuzwa nyumbani na tumefuta undugu.
Saa hizi ndugu yangu ni mke wangu na watoto wangu tu, full stop
Pole sana mkuu, ila ndugu zako ni hao watoto wako tu. Mkeo ni mshirika wako wa maisha na sio ndugu yako.Pi
Pole sana, ungetupa kiundani hii.
SurePole sana mkuu, ila ndugu zako ni hao watoto wako tu. Mkeo ni mshirika wako wa maisha na sio ndugu yako.
Amen, T.G.I.F, wale wenzangu na Mimi wapenda weekend tunaijua ile feeling ya Ijumaa,
Natumaini mpo salama, nimejikuta najiuliza hichi kitu maana ni situation ambayo nimekutana nayo sana kwa watu wengi, kuna ile namna unahisi kabisa kwamba kwenye familia yetu yenye watoto kadhaa, kuna kipenzi cha Baba na pia kuna kipenzi cha Mama, na kuna wale wanabaki wanajua kabisa Mimi siye miongoni mwao..!
Nilikuwa nazungumza na mtu wangu wa karibu siku moja, akanitamkia like 'I was not their best'...! yaani hapo si kwa Baba wala Mama, nilijiskia vibaya mno mno, na hakika ukitazama watoto waliokosa upendo wa hivyo kwa kushuhudia kabisa kuwa wenzie wanakirimiwa kuwaliko kuna namna hawako sawa kabisa kabisa tofauti na yule mtoto aliyepokea upendo wa kumtosha na kumjaziliza..!
Bado sijakuwa mzazi I don't even know how it feels, hivyo natamani nijue, unapenda watoto wote ni kweli lakini kuna yule ambaye anagusa kabisa mtima wako moja kwa moja (nimeongea na wazazi wengi na wamekiri hili), hivi hakuna namna unaweza ficha hili wenzie wasijue na wakajiskia vibaya.?
Ama umewahi pitia ile hali katika ukuaji wako ya kujua wewe ndiye unapendelewa zaidi ama ni kinyume na hapo kuliko wenzio, na ulijiskiaje.??
Natamani wajuzi wa malezi na wazazi waliweke hili sawa ili tujifunze, maana kuna kizazi chenye watu wenye tabia za ajabu sana kinazidi kutengenezwa hivi sasa na hakuna anayewaza kuhusu hili kabisa..! Kuna watu unaweza walaumu kwa tabia wanazokuonyesha ukaishia kuwalaumu na kuwachukia kumbe ni MALEZI yao tu maskiini ndiyo yamewafikisha walipo..!!
Anyways Karibuni..!
Nimesoma kila kitu Mtumishi mwema. As usual, you are the best. Blessings [emoji1545]Sasa hayo ya ufasaha umeyaonaje wakati hujasoma yote?[emoji53][emoji53]
Basii wanao wana bahati sana kuwa na Mama wa aina yako, maana wengi wanapitia maisha ya upendeleo nje nje maskiini..!!Upendeleo huwa unakuwepo, kuna ule ambao it is obviously tu last born huwa anapendelewa kuliko wenzie, ukiachana na lb huwa kuna mtoto unakuta anakuwa na vitabia vizuri lazma wazazi au mzazi ampendelee....
Mi binafsi sijioni nahisi sina nnaempenda kuliko wenzie, naona nawapenda sawa, ila mwenzangu namuona anaupendo zaidi kwa first born kwa sababu ni mtoto mpole hana utundu.