Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sana Da'Vinci kwa mifano hai, ila hapo mwishoni pamenichekesha, enwei, msalimie 'roho yako' I'm praying akuwe smart kama kaka yake..!Ukweli ni kwamba hakuna mzazi anayependa Watoto wote wapo watoto kadhaa lazima awapende zaidi. Upendo haugawanyiki wapo utakaowapenda kwakua ni uzazi wako na wapo utawapenda zaid, nitatoa mifano.
-Bibi yangu.
Katika watoto waote 11 mtoto mmoja tu ndio anapendwa zaidi kuliko hata sisi wajukuu hatupendwi kama huyo bamdogo apendavyo. Hivi ukipika uji nani wa kupewa sufuria alambe kama sio mtoto mdogo ila siku hiyo bibi alimpatia mwanae huyo sufuria la uji alambe wakati bamdogo nae ana mtoto mdogo.
-Mimi mwenyewe
Katika wadogo zangu yupo mmoja wa kike ndio roho yangu. Inawezekana ndio binaadamu namba moja ninaempenda zaid kwa ajili yake niko tayari kumfanyia lolote na vile napenda Watoto wa kike hafu kwetu hamna kizazi cha watoto wa kike,picha yake Ndio wallpaper yangu kwenye simu😎😎
-Mungu
Tunaambiwa Mungu hana Upendeleo ni kweli ila kuna viumbe Mungu anawapenda zaidi.
1. Yesu ndio kiumbe namba moja kuliko kiumbe chochote mbele za Mungu.
2. Kwa binaadamu Daudi ndio Mwanadamu aliyependwa na anayependwa na Mungu kuliko mtu yoyote katika hiatoria ya ulimwengu. Zamani ulikua hata ukiongopa hapo hapo unakufa ila Daudi alikua anachezea sharubu za Mungu awezavyo. Kaua watu wengi, kaiba wake za watu wengi, Kasema uongo sana na madhambi mengine kibao
Ila adhabu pekee aliyopewa ni kutokumjengea Mungu Hekalu, sasa hiyo ni adhabu au alipunguziwa usumbufu.
Mungu azidi kukupigania ndugu yangu, akakujaze faraja ya kweli itokayo kwake, hilo nalo litapita, jipe moyo mkuu...!Nafanya kila kitu kwa wazazi wangu lakini mama hanikubali kabisa na mimi ndie pekee nina mwekekeo na ni last born. Kidogo mzee alikua hana shida before hajatangulia mbele ya haki, Allah amrehemu.
Kuna mabro chenga, lakin ndio kila kitu. Nikihoji chochote juu ya kutowajibika na kukaa tu pale home kusubiri mim niweke mambo sawa, mama anachukia na sipendi awe anajisikia vibaya.
Licha ya kujitahdi kupambana kwa ajili ya faimilia pale ambapo nitakua sina response nnayoipata ukiwa huna kifua unaweza kulia.
Sijali na wala siwaonyeshi kwamba nahisi hivyo. I'm taking care of them at my best ili kupata baraka za Muumba. Mapenzi ya mtu/mzazi ni hisia binafsi na huwezi lazimisha mpendwe sawa. Maisha yanaendelea.
you have to be thankful hata kuipata hiyo nafasi ya kudeka deka, wenzio wanaitamani na hawaipati ujue, Heshima imfikie Baba yako hakika.!Mimi last born kwenye familia yetu , upendeleo nimepata lkn si ule wa kubagua wengine kwasababu ya ule mtoto wa mwisho hata Kaka zangu na dada zangu walikuwa wananipenda vile vile
mzee alisema yeye hataki kulaumiwa na mtoto yeyote Kama elimu wote nitahakikisha mnasoma na kweli mzee katusomesha watoto wake wote hadi elimu ya dini isipokuwa dada yetu wa kwanza yy alikataaga kusoma alimwambia anataka kuolewa .
Na kitu ambocho nimegundua katika watoto sita wa mzee mm ndio nilikuwa mtoto mtulivu tofauti na ndungu zangu wao walivyokuwa wadogo walikuwa watukutu ,walipiga watoto wenzao kwhy zile shuruba za kipigo kwa mzee sikuzipata hata mabrother walikuwa hawanipigi bali ilikuwa ukinigusa umelikoroga.
Changamoto niliyoipata walikuwa wananichukulia mtoto muda wote hata nilivyo fika 19-20 walini treat Kama bado mtoto😆😆 .
A huge Amen to that, na Mungu azidi kukusaidia uendelee kuwa Baba bora kaka mkubwa.!Udhaifu mkubwa sana kwa mzazi kuonyesha upendo wa wazi kwa mtoto mmoja na kuwa ignore wengine. My two kids nitahakikisha hakuna atakayejua ni yupi anapendwa zaidi ya mwenzake. I'll balance my love kwao.
aaaw'...!Nashukuru wazazi wangu waliweza kubalance hiyo hali. Tupo wa 4 lkn sijawahi hisi nani anapendwa zaidi. Tumekuwa treated equally kwenye kila kitu.
Now nina Mtoto mmoja tu mapenzi yote yapo kwake.
Ule upendo huwa haufichiki BAK ujue, mzazi anajikaza weeh' ila anateleza tu na ghafla dunia inajua fav child ni yupi,
Basii vitoto vinavyojua vinapendwa huwa vinajua kudeka, huwa huvimbi kweli Cvez.??Honestly mimi ndio my mom favorites hata wadogo zangu wanajua hilo sio kwamba wao hawapati upendo. But me and my mom we have been through a lot, by the time wanazaliwa mambo yapo kwenye reli. Funny thing imefikia hatua wakitaka kitu kwa bi mkubwa wakihisi anaweza kukataa, wanakuja kwangu kwanza wakiamini hua mama hachomoi nikimwambia.
Tunaanzanje kwa mfano?Na hamkuwahi kujiskia unyonge labda..??
Ila daudi alipendwa Sana na MUNGU japokuwa alikuwa mtata sanaUkweli ni kwamba hakuna mzazi anayependa Watoto wote wapo watoto kadhaa lazima awapende zaidi. Upendo haugawanyiki wapo utakaowapenda kwakua ni uzazi wako na wapo utawapenda zaid, nitatoa mifano.
-Bibi yangu.
Katika watoto waote 11 mtoto mmoja tu ndio anapendwa zaidi kuliko hata sisi wajukuu hatupendwi kama huyo bamdogo apendavyo. Hivi ukipika uji nani wa kupewa sufuria alambe kama sio mtoto mdogo ila siku hiyo bibi alimpatia mwanae huyo sufuria la uji alambe wakati bamdogo nae ana mtoto mdogo.
-Mimi mwenyewe
Katika wadogo zangu yupo mmoja wa kike ndio roho yangu. Inawezekana ndio binaadamu namba moja ninaempenda zaid kwa ajili yake niko tayari kumfanyia lolote na vile napenda Watoto wa kike hafu kwetu hamna kizazi cha watoto wa kike,picha yake Ndio wallpaper yangu kwenye simu[emoji41][emoji41]
-Mungu
Tunaambiwa Mungu hana Upendeleo ni kweli ila kuna viumbe Mungu anawapenda zaidi.
1. Yesu ndio kiumbe namba moja kuliko kiumbe chochote mbele za Mungu.
2. Kwa binaadamu Daudi ndio Mwanadamu aliyependwa na anayependwa na Mungu kuliko mtu yoyote katika hiatoria ya ulimwengu. Zamani ulikua hata ukiongopa hapo hapo unakufa ila Daudi alikua anachezea sharubu za Mungu awezavyo. Kaua watu wengi, kaiba wake za watu wengi, Kasema uongo sana na madhambi mengine kibao
Ila adhabu pekee aliyopewa ni kutokumjengea Mungu Hekalu, sasa hiyo ni adhabu au alipunguziwa usumbufu.
Amen Dear.Haha..!
Nimejifunza jambo, kumbe machozi yako yakiwa yanaonekana sana inafika pahala hayashtui tena..? Jeez'..! Mungu akubariki uzidi kuwa Mama bora.!
nisiwe muongo huwa siwezi kuvumilia nikiona mtoto hata wa miaka mitatu kasoro ananyonyeshwa😁😁😁Mimi ni litoto la mwisho na nilipendelewa kwa kila kitu. Kunyonya kwenyewe nilinyonya mpaka nikiwa na miaka saba yaani niko nachunga ndama na akili zangu kabisa lakini kichwani napiga akili kuwa nikifika tu home napata lishe ya uhakika kutoka kwa maza. Nakumbuka kulikuwa na mzee mmoja mkorofi sana alikuja pale home ndo akachimba mkwara eti hili litoto mtakuja kuliharibu hili (shwaini zake!). Na kuanzia siku ile ndo nikapotezea kunyonya. Mpaka mama amekuja kuzeeka mpaka kufariki tuko marafiki sana. Imagine anakata roho mi niko mbali lakini niko naye kwenye simu ananiaga.
Hali hii nadhani mwenyewe imeniathiri kiasi fulani (tender heart, huruma sana, kutokuwa na kifua; na mengine mengi tu) ila pia sikujua lakini baadhi ya ndugu zangu hasa wale wawili ninaowafuata wana reservations na mimi na hatuko karibu kivile no matter how hard I try. Wanasema everything came easy for me kwa vile nilikuwa mtoto mpendwa wa familia. Kwa wanangu najitahidi sana kuwa fair japo kuna katoto kamoja yaani nakapenda mpaka basi. Mungu na Atusaidie wazazi tusilete madhara na kupanda mbegu za uhasama; na hata kuacha makovu ya kudumu kwa malaika hawa tuliobarikiwa nao - hasa katika kizazi hiki cha mabroila [emoji1545][emoji1545][emoji1545].
Bahati nzuri hadeki..ni mpambanaji balaa. Anajua kupambania kile anachokiamini, she is only 17 but namuona kama kamtu mzima flani hivi. Kanajua kunikosha sana haka katoto hakajawahi kuniangushaaaaw'...!
Mshukuru Mungu ulipata wazazi bora kabisa..! I can't imagine kanavyodeka kenyewe..!
Amen Dear.
It applies to most things in life actually.
Kitu kikiwa common una adapt tu, hakuna maajabu.
Haikusumbua kabisa maana Mimi na last born tukawa kipenzi cha baba,naona Mzee nae aligundua mkewe ana mpenda sana bro.ndio alikuja kutulia saivi katika watoto yeye ndo msomi zaidi na kazi pesa nzuri,wakati alikua ndo mkorofi zaidi ya wote,nundani baraka sana kama amekuja kutulia ukubwani, hivi ninyi hiyo hali haikuwasumbua kabisa.?