Hivi umewahi kuhisi kuna upendeleo wa baadhi ya watoto kwenye familia yenu?


Nilijua tu utakuja kuutetea mkono...
 
Je unahitaji mtoto?
 
Hili la kupendelewa mostly inategemea sana na aina ya familia na unatoa nini
 
Dada yangu ndiye First born na mtoto aliyependwa zaidi na marehemu Baba pia ni mtoto anayependwa zaidi hata sasa pengine sekunde hii na Mama lakini hii haijawahi kutusumbua na wala hatujawahi kukwazika kabisaaa mimi na kaka yangu mkubwa kwasababu tunajua yeye ndiye mtoto pekee wa kike katika familia licha ya kuwa wa kwanza.
 
Mkono for mamii; wewe si huwa unaukumbuka tu ukiwa na nanhiiii[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Kwamba natamani niuambie maswahibu ya wanaume!!!

Ila hii ipo sana tu, unakuta mzazi anavutiwa na mtoto flani, inaweza kuwa kwa tabia nzuri, akili darasani, upole n.k

Tatizo hapa tunachanganya upendeleo au treatment na upendo. Wanao inabidi uwafanyie vitu sawa hata kama kuna namna umejikuta kuna mmoja mambo yake yanakuvutia zaidi.
 
Its very true na haka katundu ndo kadekaji hasa sasa unabaki kushangaa.

Huyu sasa chautundu ndo nilitakiwa niambiwe nampendelea.

🤣🤣
 
Eeeh yaani unatamani uusimulie mkono, ukuelewe afu ukupe ushauri mweeh.

Yes treat your kids equally


 
Binafsi sijawahi experience upendo wala upendeleo wa aina yeyote ,Tena ukizingatia watoto wa mwisho kwenye familia karibia kila kitu tunajipambania kwenye maisha iwe ni katika shida na raha na katika kila jambo linalo husu maisha yangu huwa najiona pekee yangu ,mtoto wa mwisho hata chakula unasahaurika .
 
Aisee pole sana. Familia nyingi last borns ndiyo wanapata mteremko; eti mama asahau kumpa chakula last born weeeh. Tena wakati mwingine, kuna vyakula mnaambiwa hivi muachieni mtoto.
 
Ubaya wa hii inatokea automatic Wala hupangi kuwa nitampenda huyu.Unajikuta tu mtoto flani anaugusa moyo zaidi kwa chochote.
Mimi binafsi ukoo mzima walikuwa wakinisema bibi ananipenda Mimi mno kuzidi wajukuu wote na kiukweli ilikuwa hivyo nikiugua bibi halali ikibd mpaka anisikie kwa simu.Lakini wakiugua wengine pole za kawaida.
Bibi alinipenda mno na nimeenda kumzika mwezi wa Saba huko home.Hapo napo alihitaji nifike kipindi yupo hoi na ndio alikata roho siku mbili mbele baada ya Mimi kuwasili.
Kwa hyo wazazi hiyo Hali ipo na ni ngumu ku control
 
So kupenda kitu au mtoto sana ni jambo tu hutokea hasa mtoto anayegusa interest za mzazi maana yakobo alipendwa na mamake vile alikuwa mpole na mtaratibu asiye na fujo, ndio maana mamake alimwibia Siri ya kupatiwa baraka, Esau alipendwa na babake vile alikuwa mwindaji hodari, so upendo huwa na kasababu hasa ukigusa interest ambayo ni core value ya mzazi au watu.
Hyo ya kuolewa ni Siri yangu
 
You have said it all. Ila Yakobo naye alizidi, full time alikuwa anashinda hemani na mama yake! Aisee unaonekana husomi Bible juujuu tu, you go into details. Wala sifichi, nakuja PM [emoji3]
 
ni kweli lakini kama unavyojua, katika kila kitu negative kuna kitu positive cha kuchukua. Mimi ilinibidi nichukue every lesson na imenisaidia, siwezi kusema haikuniathiri ila imenijenga pia kwa kiasi flani japokuwa watoto wengi wa namna hiyo huishia pabaya kwa kutafuta belongingness nje ya familia
 

tatizo huwa sio hata kusamehe ila ile bond na mzazi inakuwa hafifu au inapotea kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…