Hivi umewahi kumpiga girlfriend wako?


We nae inabd uliwe tu unaomba msamaha wa nini sasa ...hamna uanaume hapa
 
Bas zamani nlikua na mawazo kama yako......ila sa iv nikikumbuka jinsi nlivyojenga kwa shida afu nimwachie mwanamke kisa utopolo wake bora nimnawe makofi tuu!
Hahah mimi nina mdomo mchafu yaani nikimgombeza analia bila kupigwa...sasa mtu analia bila kupigwa,ukipiga si anakufa.Plus nina vitimbi ambavyo nikifanya yeye mwenyewe ataiacha nyumba na kuondoka bila kupigwa
 
Hahah mimi nina mdomo mchafu yaani nikimgombeza analia bila kupigwa...sasa mtu analia bila kupigwa,ukipiga si anakufa.Plus nina vitimbi ambavyo nikifanya yeye mwenyewe ataiacha nyumba na kuondoka bila kupigwa
[emoji23][emoji23]
 
Mimi ni mzuri sana wa ku walk[emoji124] away, sitaki shari kabisa, nina hasira mimi mwenyewe najiogopa, kukutokea shida na my baby huwa nakimbia kabisa, nitarudi baadae hasira zimeshuka
 
Hahah mimi nina mdomo mchafu yaani nikimgombeza analia bila kupigwa...sasa mtu analia bila kupigwa,ukipiga si anakufa.Plus nina vitimbi ambavyo nikifanya yeye mwenyewe ataiacha nyumba na kuondoka bila kupigwa
vitimbi gani hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…