Jamaa uamuzi wa kumpiga aliona ni sahihi kwa upande wake, ila mie binafsi sijawahi kunyanyua mkono wangu na kumpiga mwanamke.Kumbe dalili sio kwamba amemkubalia.. kwa nini usipiganie penzi lako na uhakikishe anaahirisha kumkubalia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haa,buti la van damme .Ulitaka kuuaTupe na Experience alizingua nini?[emoji23]
Mimi niliiba simu yake nikazama kwenye Messages. Kufanya upembuzi nikakuta anachati na mwamba anamsifia eti ni mtamu! [emoji23][emoji23]
Nikamuuliza huyu nani? Akabaki kimya! Nilimrukia buti kama la Van damme [emoji2]. Nilimpiga mpaka akazima.
Eti akataka kunipeleka Polisi, baadaye familia ikaongea na familia yao wakayamaliza. Ikapita kama mwezi hivi tukaja kukutana nikamuomba msamaha akakubali tukarudiana [emoji2]
Kisa?Jana kuna mtu nimemtandika makofi,nusra niue
Komamanga wewe..🤣Nimewahi kum'bonda boifrendi ..akaenda kunisemea kwa mama ake..dada zake wakaja kunichamba Hadi nikazimia.
Na huku upo dah!Dah naogopa kupigwa, nakumbuka nilikua nikiona nimemuudhi mwenzangu kanuna na kuna dalili zisielewi kama kipigo kinanukia hivi, nilikua namkumbatia kwa nguvu namkiss shavuni, anaishia kucheka na kunisema unajidai mjanja wakati muogaaa😂😂
Tena ndiye yulee aliyenipa kibuti heavy😂Na huku upo dah!
😂Tena ndiye yulee aliyenipa kibuti heavy😂
Hahahah!hizi mbinu za kupooza vita wkt wa mabomu yanarushwa umezitolea wapi?....itabidi tukupeleke Afghanistani huko.Dah naogopa kupigwa, nakumbuka nilikua nikiona nimemuudhi mwenzangu kanuna na kuna dalili zisielewi kama kipigo kinanukia hivi, nilikua namkumbatia kwa nguvu namkiss shavuni, anaishia kucheka na kunisema unajidai mjanja wakati muogaaa😂😂
Sasa vita huiwezi mkuu na ukizembea unapigwa kweli, ni kujiongeza tu hadi ilikua akiona amekasirika anaanza kucheka tu maana anajua kitakachofuata ni bonge la kiss na kumbato😂😂Hahahah!hizi mbinu za kupooza vita wkt wa mabomu yanarushwa umezitolea wapi?....itabidi tukupeleke Afghanistani huko.
Usiwe na roho mbaya hivyo mkuu, mtoe Mara moja mojaMimi nilimkata makofi hata kaa asahau sababu alizidisha dharau na sipendagi ujinga na mahusiano yakafa hapo hapo. Sasa hivi ni single mother full kunipigia simu anaomba hela ya maziwa ya mtoto.Sipokeagi wala sijibu text zake.
Naamini huyo alikuwa under 16. Like how mwanaume akasemee kwa Mama!Nimewahi kum'bonda boifrendi ..akaenda kunisemea kwa mama ake..dada zake wakaja kunichamba Hadi nikazimia.
Hahahaa MangiMimi nilimkata makofi hata kaa asahau sababu alizidisha dharau na sipendagi ujinga na mahusiano yakafa hapo hapo. Sasa hivi ni single mother full kunipigia simu anaomba hela ya maziwa ya mtoto.Sipokeagi wala sijibu text zake.
Na mwanamke kama wewe ni ngumu Sana kupigwa. Wanaume wengi hatuna hasira za juu kwa mwanamke anayejishusha.Dah naogopa kupigwa, nakumbuka nilikua nikiona nimemuudhi mwenzangu kanuna na kuna dalili zisielewi kama kipigo kinanukia hivi, nilikua namkumbatia kwa nguvu namkiss shavuni, anaishia kucheka na kunisema unajidai mjanja wakati muogaaa[emoji23][emoji23]
Njoo nikufundisheNaomba nisipigwe eh Mungu nisaidie .