technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Bora ubaki bila kuoa Ila sio kuoa mwanamke mwenye mtoto.Intelligent businessman
atakwambia KATAA NDOA.
Mkuu siyo tu ataacha, bali ataoa mwenye watoto wanne. Waswahili walisema kua uyaone.Ukikua utaacha.
Watoto ni wengi sana mitandaoni, wanafikiri maisha ni kama hesabu kwamba moja na moja jibu ni mbili.Mkuu siyo tu ataacha, bali ataoa mwenye watoto wanne. Waswahili walisema kua uyaone.
Uko sawa kiongozi?Wajinga sana, mabinti wabichi wapo ila mtu anangangania wapigania uhuru tena aliyezalishwa
Fatilia watu wote wakubwa na waliofanikiwa ndoa zaoWajinga sana, mabinti wabichi wapo ila mtu anangangania wapigania uhuru tena aliyezalishwa
Wajinga sana, mabinti wabichi wapo ila mtu anangangania wapigania uhuru tena aliyezalishwa
Nina mke tayari nilioa 2015 akiwa mbichi kabisa tuna watoto wawiliMkuu siyo tu ataacha, bali ataoa mwenye watoto wanne. Waswahili walisema kua uyaone.
Haijalishi. Kuoa 2015 hakumaanishi ''umekua''. Subiri tu kuna siku utajua namaanisha nini.Nina mke tayari nilioa 2015 akiwa mbichi kabisa tuna watoto wawili
Nimekuja kushauri kwa sababu ndugu zangu na washikaji zangu baadhi wana changamoto hii na naona migogoro ya wake zao huu ni usumbufu
Tukifanya hivyo wote tatizo litaisha wadada wataogopa kuzalishwa ovyo kama kuku!!