Hivi unaanzaje kuoa mwanamke aliyezaa?

Hivi unaanzaje kuoa mwanamke aliyezaa?

Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Unauliza unaanzaje kuoa mwanamke aliyezaa?

Process ni ile ile tu, kama ambavyo unaoa yule ambae hajazaa.
 
Watu tunajitaidi babe mama zetu wasituzidi hata kilo, sembuse hilo la kuzidiwa kuleta mtoto duniani.

All that experience and pain from other man, who is not you utaweza kumsaulisha kweli?

Aloo, kwangu mm big no. Mwanamke mwenye mtoto tuwaachie wanaume wenye watoto au walio oa 😀
 
Back
Top Bottom