Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili suala nimeanza kulizingatia Kwa kweli. Maana nishakutana na watatu wote hawawezi kuzaa maana fibroids zimewamaliza hivyo Sasa nawafikiria singo Maza Kwa ukaribu sana [emoji23]Si bora huyo uhakika wa mayai kuwepo ni [emoji817]
Inaonekana Mkapa alikupiga mashine ukathibitisha hana mbegu[emoji23]Fatilia watu wote wakubwa na waliofanikiwa ndoa zao
Except Mkapa tu na yeye ni vile hakuwa na mbegu
Ila the rest walioa fresh girl wabichi kabisa.
Ni utoto sana kuingia kwenye ndoa na demu kashafumuliwa malinda yote hana duh so sad!!!
Kwani mkuu?Uko sawa kiongozi?
Hata hao mabinti wabichi wanaoza Kila kukicha Si Bora uchukue walokauka?Wajinga sana, mabinti wabichi wapo ila mtu anangangania wapigania uhuru tena aliyezalishwa
NAKAZIAMwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Ni wanaume wapumbavu pekee ndio wanaofanya maisha na single mazaWajinga sana, mabinti wabichi wapo ila mtu anangangania wapigania uhuru tena aliyezalishwa
Wewe ni single Mather??Inaonekana Mkapa alikupiga mashine ukathibitisha hana mbegu[emoji23]
Nakutafuta maryjSi bora huyo uhakika wa mayai kuwepo ni 💯
😂 Nambie, nipo.Nakutafuta maryj
Exclusive😂 Nambie, nipo.