Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hayo mawazo mabovu ya kijinga. Akizaa kuna tatizo gani? Sasa wewe unadhani sifa kuzaa hovyo na kuwataka wakaolewe na waliowazalisha mbona wewe hukuwaoa hao kumi uliozaa nao? Hovyo kabisa.Bora ubaki bila kuoa Ila sio kuoa mwanamke mwenye mtoto.
Vijana oeni hao single mothers hakuna mwanamke mwenye mwanaume mmoja hata kama hajazaa.