Hivi unaanzaje kuoa mwanamke aliyezaa?

Hivi unaanzaje kuoa mwanamke aliyezaa?

Sasa kama yeye kazalisha nje na hajawaoa nani anaoa hao? Nayeye lazima apate aliyezalishwa akaachwa, Mungu lazima akupe wakufafana naye, huwezi pata malaika ikiwa wewe ni shetani lazima Mungu akulengeshe hapo hapo ili mgawane stress
 
Halafu unakuta wewe mwenyewe umelelewa na baba sio wako, hata sura ya baba yako mzazi huijui maskini..!!
Nyie ndio mnaokuja kupewa watoto sio wenu kwa ulimbukeni wenu
 
Kama anakuheshimu, anakujali na kukupenda kweli, si vibaya..huwezi kuwa jumuisha single mothers wote kwa kauli moja, bali wapo wenye haiba zao nzuri tu na wanajiheshimu, isipokuwa walikutana na Wanaume wasio na malengo ya muda mrefu na wao..
Ukute hata yeye mtoto wa single mother, kuna kijana alikuwa ataoa model sasa alichompa Mungu kichwa changu ndiyo titi lake moja, halafu akiuzwa anacheka utasikia huyo hapo [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Watoto ni wengi sana mitandaoni, wanafikiri maisha ni kama hesabu kwamba moja na moja jibu ni mbili.
Wanajua mke nikama vile kwenda sokoni kuchagua embe, tena wanapata wenza wabofu mpaka unajiuliza ha ha ha ha
 
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Kuna kitu kizito kimekupiga Utosini?
 
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Una ushauri wa kipumbavu! Kwa nini uwe halali kwa mwanaume na iwe haramu kwa mwanamke? Utakuwa linyanyasaji wewe lione kwanza!
 
Kama anakuheshimu, anakujali na kukupenda kweli, si vibaya..huwezi kuwa jumuisha single mothers wote kwa kauli moja, bali wapo wenye haiba zao nzuri tu na wanajiheshimu, isipokuwa walikutana na Wanaume wasio na malengo ya muda mrefu na wao..
Always there is mistake Women do wakati wanakutana na hao waliowaacha. There is always a Red Flag ambayo wana ignore kwa maslahi yao.

Then baadae wanakuja kutulaumu sisi tunaopiga Vita Single Moms.
 
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?

Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?

Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?

Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto

Labda kama unapasha tu !!!

Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!

Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!

Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Ila tu usizalishe wadogo zetu alafu uwatelekeze nakwambiaje utawaoa wotree na mahali utatoa.
 
Duh! wewe jamaa unapata dhambi ujue.

Kuna wengine hawakutaka ilikuwa shetani tu kawapoteza ndio wakaishia kuwa na watoto, wengine wameteleza lakini ni ma-waifu matirio kabisa.
Na kingine wanakuwa mamejufunza mengi ya kimaisha kwahiyo ukibahatika ukampata alietulia utafika nae mbali sana.

Unawaita 'wapigania uhuru' sawa ng'ang'ania hao 'wanamageuzi' wako.
Hahaaa..... Da vinci anataka wana demokrasia
 
huko tuendako wanawake waliozaa huenda wakawa kipaumbele kwenu
asilimia kubwa ya wanawake kwa sasa kubeba ujauzito ni mtihani kutokana na haya madawa ya uzazi wa mpango na aina ya maisha tuishiyo
unakuta mtt wa std 7 mpaka sec anatumia p2 na mengineyo
mpaka aje kufikia umri wa kuolewa kizazi hakina uwezo wa kushika mimba
ukiangalia umri umeenda unaamua kukimbilia kwa single mom angalau akupatie katoto ushanasa na
huduma unatoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati mwingine wanawake wanasingiziwa kutokuzaa kumbe tatizo lipo Kwa mwanaume nikwasababu yeye habebi mimba, hujiulizi kwanini wengi wao wanabebeshwa watoto si wao jiulize wakati mke anatafuta mimba yeye alikuwa wapi, mke huamua Kutoka nje huenda shida ipo upande wapili, mwambie kupima [emoji1][emoji1] hawataki hata kulisikia
 
Nina mke tayari nilioa 2015 akiwa mbichi kabisa tuna watoto wawili

Nimekuja kushauri kwa sababu ndugu zangu na washikaji zangu baadhi wana changamoto hii na naona migogoro ya wake zao huu ni usumbufu

Tukifanya hivyo wote tatizo litaisha wadada wataogopa kuzalishwa ovyo kama kuku!!
Technically nakuelewa sana.

Unatoa funzo kwa kuumia Lugha Ngumu ili wasichana wawe makini waache kuzaa zaa hovyo.

Mwanzo wanasema nitalea tu mwenyewe. Lakini kweli wanapata shida sana.
 
Back
Top Bottom