Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute hata yeye mtoto wa single mother, kuna kijana alikuwa ataoa model sasa alichompa Mungu kichwa changu ndiyo titi lake moja, halafu akiuzwa anacheka utasikia huyo hapo [emoji1][emoji1][emoji1]Kama anakuheshimu, anakujali na kukupenda kweli, si vibaya..huwezi kuwa jumuisha single mothers wote kwa kauli moja, bali wapo wenye haiba zao nzuri tu na wanajiheshimu, isipokuwa walikutana na Wanaume wasio na malengo ya muda mrefu na wao..
Wanajua mke nikama vile kwenda sokoni kuchagua embe, tena wanapata wenza wabofu mpaka unajiuliza ha ha ha haWatoto ni wengi sana mitandaoni, wanafikiri maisha ni kama hesabu kwamba moja na moja jibu ni mbili.
Tena mwenye mtoto zaidi ya mmojaKiongozi Kama umeoa basi Mungu akutangulie sana ila kama bado amini amini nakuambia utanasa kwa single mom.
Nawao wakawatafute walio zaa nao waendelee familia yaoVipi kuhusu kuolewa na mwanaume aliyezaa una maoni gani mkuu?
Kuna kitu kizito kimekupiga Utosini?Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Una ushauri wa kipumbavu! Kwa nini uwe halali kwa mwanaume na iwe haramu kwa mwanamke? Utakuwa linyanyasaji wewe lione kwanza!Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
mkuu, uko kwenu wanaume wanazaa?Vipi kuhusu kuolewa na mwanaume aliyezaa una maoni gani mkuu?
Always there is mistake Women do wakati wanakutana na hao waliowaacha. There is always a Red Flag ambayo wana ignore kwa maslahi yao.Kama anakuheshimu, anakujali na kukupenda kweli, si vibaya..huwezi kuwa jumuisha single mothers wote kwa kauli moja, bali wapo wenye haiba zao nzuri tu na wanajiheshimu, isipokuwa walikutana na Wanaume wasio na malengo ya muda mrefu na wao..
Ila tu usizalishe wadogo zetu alafu uwatelekeze nakwambiaje utawaoa wotree na mahali utatoa.Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
😂😂😂😂😂Honeeeeeeeeeeeeyyyyyyyyyyyyyyyyyyy😂 huku mitandaoni mnajifanya hamuwataki ila huko nje kutwa kuwanunulia watoto wao vijizawadi ili muwapate. Mimi binafsi sichagui chaka maana dini inasema tuwe na huruma kwa watoto wa kike.
Hahaaa..... Da vinci anataka wana demokrasiaDuh! wewe jamaa unapata dhambi ujue.
Kuna wengine hawakutaka ilikuwa shetani tu kawapoteza ndio wakaishia kuwa na watoto, wengine wameteleza lakini ni ma-waifu matirio kabisa.
Na kingine wanakuwa mamejufunza mengi ya kimaisha kwahiyo ukibahatika ukampata alietulia utafika nae mbali sana.
Unawaita 'wapigania uhuru' sawa ng'ang'ania hao 'wanamageuzi' wako.
Wakati mwingine wanawake wanasingiziwa kutokuzaa kumbe tatizo lipo Kwa mwanaume nikwasababu yeye habebi mimba, hujiulizi kwanini wengi wao wanabebeshwa watoto si wao jiulize wakati mke anatafuta mimba yeye alikuwa wapi, mke huamua Kutoka nje huenda shida ipo upande wapili, mwambie kupima [emoji1][emoji1] hawataki hata kulisikiahuko tuendako wanawake waliozaa huenda wakawa kipaumbele kwenu
asilimia kubwa ya wanawake kwa sasa kubeba ujauzito ni mtihani kutokana na haya madawa ya uzazi wa mpango na aina ya maisha tuishiyo
unakuta mtt wa std 7 mpaka sec anatumia p2 na mengineyo
mpaka aje kufikia umri wa kuolewa kizazi hakina uwezo wa kushika mimba
ukiangalia umri umeenda unaamua kukimbilia kwa single mom angalau akupatie katoto ushanasa na
huduma unatoa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Technically nakuelewa sana.Nina mke tayari nilioa 2015 akiwa mbichi kabisa tuna watoto wawili
Nimekuja kushauri kwa sababu ndugu zangu na washikaji zangu baadhi wana changamoto hii na naona migogoro ya wake zao huu ni usumbufu
Tukifanya hivyo wote tatizo litaisha wadada wataogopa kuzalishwa ovyo kama kuku!!
Kabisa...wanarudia rudia mada zile zile mradi apate attentionNiilchogundua wanaume wa jf wanapenda sana kupewa attention Yani wanajua wakiazisha mada za kupondawanawake watapata comment nyiingi