EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
vip ikiw hilo ndio yai lenye uwezo pekeee na lishatotoaSi bora huyo uhakika wa mayai kuwepo ni 💯
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vip ikiw hilo ndio yai lenye uwezo pekeee na lishatotoaSi bora huyo uhakika wa mayai kuwepo ni 💯
Ndio basiii 🤣vip ikiw hilo ndio yai lenye uwezo pekeee na lishatotoa
hapo ndio kichapiw kutakapoanzia maan atasem ngoja nikajarib kw yule alienipa mimbaNdio basiii 🤣
Acha kelele weweNa sisi wanawake tusio na watoto hatuwataki nyie mliozaa, mkatafute wazazi wenzenu muendeleze familia… Shubhamiti 😏
ngoja ajeIntelligent businessman
atakwambia KATAA NDOA.
Ironical comment[emoji1787]Niwe mkweli Kama Sina watoto, na mwanamke ana mtoto 1 and she is worth it. Basi oa kaka.
Sometimes enjoy maisha kwa kuwa baraka kwa wengine..
Mzee wangu Ushimen kataa ndoa [emoji2][emoji38]
Mke Mwema anatoka kwa bwanaMwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Mm nilijifanya najua kupenda nikaishi na mwenye nzao mbili...mateso niliyopata Siri yangu...nilimwachia Kila kitu Ili kunusuru nafsi yangu.Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!
Kama umemwoa utakuja uniambie ..Mungu atupe uzimaKama anakuheshimu, anakujali na kukupenda kweli, si vibaya..huwezi kuwa jumuisha single mothers wote kwa kauli moja, bali wapo wenye haiba zao nzuri tu na wanajiheshimu, isipokuwa walikutana na Wanaume wasio na malengo ya muda mrefu na wao..
Yanakuaga matamu balaaKiongozi Kama umeoa basi Mungu akutangulie sana ila kama bado amini amini nakuambia utanasa kwa single mom.
Utajuaje kama atazaa nje akiwa ndani ya ndoa?.Kwamba mwanamke aliyezaa kabla ya ndoa hafai sio? Hivi kati ya kuoa mwanamke aliyezaa na anayekuheshimu,na kuoa mwanamke ambaye hajazaa na akakuzalia mtoto wa nje ndani ya ndoa yako,kipi ni Bora?
[emoji419][emoji419]Ikiwezekana mods huu uzi ufungwe hapaSingle mother hawakawii kupasha kiporo na baba mtoto wake. Amini hili usijipe moyo sijui anakupdnda.
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKOIronical comment[emoji1787]
Hatuwezi kuoa wanawake waliozaa, kupewa watoto sio wetu, ikitokea ndani yandoa nahuku hufahamu Haina madhara, lakini pale utakapogundua halafu ukaendelea kumchekea aliekupa mtoto sio wako unakua Mpumbavu pro Max.Halafu unakuta wewe mwenyewe umelelewa na baba sio wako, hata sura ya baba yako mzazi huijui maskini..!!
Nyie ndio mnaokuja kupewa watoto sio wenu kwa ulimbukeni wenu
Tayari nini jirani?? 😂😂😂Hatuwezi kuoa wanawake waliozaa, kupewa watoto sio wetu, ikitokea ndani yandoa nahuku hufahamu Haina madhara, lakini pale utakapogundua halafu ukaendelea kumchekea aliekupa mtoto sio wako unakua Mpumbavu pro Max.
Jirani kwani vipi wewe tayari?.
Hata kwenye mpira tu mechi 1st leg hua haianzii na 1 - 0 labda 2nd leg ndo inaweza kuanza na 1 - 0 (aggregate)Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali?
Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto
Labda kama unapasha tu !!!
Hata kama una watoto kumi nje ya ndoa oa mwanamke ambaye hajazalishwa!!
Mwanamke aliyezaa nje ya ndoa ana pepo la aliyemzalisha utasikia unajua yule baba yake na mwanangu alikuwa ananifanyia hivi alikuwa vile upuuzi upuuzi tu..!!!
Siwezi kuoa mwanamke ambaye amezaa aende kwa mumewe aliyemzalisha mtoto wa kwanza.!!