Hivi unaanzaje kuwashtaki Qnet?

Hivi unaanzaje kuwashtaki Qnet?

Kwenye fursa za kweli watu hawaambiani..
Ni mwendo wa kimya kimya tu mpaka mnampachika mtu Ufreemason, na ukimgasi sana atakwambia kwa Yesu ndio kila kitu, towa sadaka fanya ibada usichoke kutowa sadaka, ndio kashakutupa huyo.

Hupewi kodi ya mafanikio mpaka ustragle sana ndio automatically code zinafunguka na unaingizwa kwenye chain ya brotherhood.
 
Sister angu nilimshauri Sana Hawa watu MATAPELI, alliance hao, akanambia yaan ww siku ukiniona nimefanikiwa ndo utaamin, akapeleka laki Tano za kuniunga nikaona karudi na fuko limejaa madawa[emoji23].

Kazi ikawa kwake kuzitembeza na kuziuza kwa watu Ili arudishe pesa yake na faida.

Hadi Leo ninapoandika hapa huu ni mwaka wa nne hakumpata mteja hata mmoja [emoji23],dawa zenyewe gharama. Kweli, amebaki navirutibisho tu anawapa wanae[emoji23][emoji23]
Angenipa mm nimuuzie
 
Kuna wale madogo wa mbezi walikuwa wanahojiwa...mmoja akasema yeye amenunua centa kwa million tano, mi nikajua hiyo centa ni gari...
Kumbe chakula!![emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongo nimecheka mbavu cna hapa.
 
Sister angu nilimshauri Sana Hawa watu MATAPELI, alliance hao, akanambia yaan ww siku ukiniona nimefanikiwa ndo utaamin, akapeleka laki Tano za kuniunga nikaona karudi na fuko limejaa madawa[emoji23].

Kazi ikawa kwake kuzitembeza na kuziuza kwa watu Ili arudishe pesa yake na faida.

Hadi Leo ninapoandika hapa huu ni mwaka wa nne hakumpata mteja hata mmoja [emoji23],dawa zenyewe gharama. Kweli, amebaki navirutibisho tu anawapa wanae[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
... kabisa kabisa, Kishimbe wa Kishimbe ni msukuma! ... shida ni kwamba mimi ni msukuma born town, yaani nimezaliwa mtaa wa Karuta, Mwanza city, Primary school Nyakabungo, Secondari Mwanza seko, High school Tambaza .... !
UTANIPATA WAPI?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yani mtoto wa down town,kaluta pale kwa mama mkaanga samaki kitambo kile au kwa shehe riyami
 
Sister angu nilimshauri Sana Hawa watu MATAPELI, alliance hao, akanambia yaan ww siku ukiniona nimefanikiwa ndo utaamin, akapeleka laki Tano za kuniunga nikaona karudi na fuko limejaa madawa😂.

Kazi ikawa kwake kuzitembeza na kuziuza kwa watu Ili arudishe pesa yake na faida.

Hadi Leo ninapoandika hapa huu ni mwaka wa nne hakumpata mteja hata mmoja 😂,dawa zenyewe gharama. Kweli, amebaki navirutibisho tu anawapa wanae😂😂
Angalau hao wanakuachia virutubisho , Q-Net wanakuchapa kitu kinaitwa Total Loss
 
Yalishapita hayo, siku hizi kuna biashara huria, tena siku hizi Serikali ndio mteja mkuu wa biashara ya kulanguliwa bei.

Hao Toyota wanawauzia serikali magari kwa bei mbaya ambapo serikali ingenunuwa wenyewe kiwandani Japan ingeokowa mabilioni ya pesa za walipa kodi.
Madalali ndio wanatuumiza tena ni hao hao wanaojifanya wana huruma sana na sisi
 
Wakati wa Mchonga na Sokoine (RIP) Mwaka 1984 serikali ilikuja na kamata kamata ya wafanyabiashara waliokuwa wanauza bidhaa zaidi ya bei kikomo.. Wakaitwa WALANGUZI na kitendo chenyewe kikaitwa ULANGUZI

Mashushushu wa serikali walitawanywa nchi nzima kuwakamata walanguzi.. Ni kosa kisheria kumuuzia mtu kitu juu ya bei kikomo. Qnet wanaweza kushtakiwa kwa hilo
ASANTE MKUU! 😅
 
Mbongo akikuitia fursa basi ujuwe wewe ndio fursa yenyewe.

Kwenye michongo ya pesa wabongo ni ngumu sana kukupa code.
😅😅😅😅😅😅😅😅😅✨⚡💥
 

Attachments

  • 1656152878519.png
    1656152878519.png
    14.9 KB · Views: 8
Back
Top Bottom