Hivi unafahamu pesa ya Tanzania inachapishwa Ujerumani?

Ni peru , wale ndio mamaster wa hiyo biashara na michezo ya counterfeiting au kuchapisha noti fake ,FBI wenyewe wanawagwaya kuna noti za USd wanachapisha halafu wanaziingiza pale Marekani mpaka FBI wanabaki midomo wazi .
Inaaminika kwa level waliyofikia wanaweza kutengeneza noti yoyote ile dunia hii kinyemela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…