Hivi unajisikiaje kushindwa kuwatunza wazazi wako?

Hivi unajisikiaje kushindwa kuwatunza wazazi wako?

To yeye

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
35,686
Reaction score
86,968
Yaan wamekulea kwa shida, wamekusomesha kwa shida ila kaz uliyopata na tayari una familia inayokutegemea then hiyo familia yako ikakufanya ukashindwa kutunza wazazi au kuwasaidia wazazi, huenda kuna muda wanakusaidia wewe kwa kidogo walichonacho kwa sababu wanaona magumu yako.

Unajisikiaje eti? 😭😭😭😭😭
 
Yaan wamekulea kwa shida,wamekusomesha kwa shida ila kaz uliyopata na tayari una familia inayokutegemea then hiyo familia yako ikakufanya ukashindwa kutunza wazazi au kuwasaidia wazazi ....huenda kuna muda wanakusaidia wewe kwa kidogo walichonacho kwa sababu wanaona magumu yako.Unajisikiaje eti? [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kusaidia wazazi ni kitu kizuri.

Ila, kila mtu inabidi ajipange kuweza kujisaidia yeye mwenyewe.

Ukitegemea kusaidiwa na mwanao, vipi mwanao akifariki kabla yako?
 
Kusaidia wazazi ni kitu kizuri.

Ila, kila mtu inabidi ajipange kuweza kujisaidia yeye mwenyewe.

Ukitegemea kusaidiwa na mwanao, vipi mwanao akifariki kabla yako?
Fadhira Mkuu,huwezi acha mzazi ataabike nawe upo hai
 
Yaan wamekulea kwa shida,wamekusomesha kwa shida ila kaz uliyopata na tayari una familia inayokutegemea then hiyo familia yako ikakufanya ukashindwa kutunza wazazi au kuwasaidia wazazi ....huenda kuna muda wanakusaidia wewe kwa kidogo walichonacho kwa sababu wanaona magumu yako.Unajisikiaje eti? 😭😭😭😭😭
Mbona umetoa na machozi kabisa? Kama mtu ana uwezo ni muhimu kuwasaidia. Tatizo tukishakaa mijini tunawasahau kabisa waliobaki vijijini. Ila wazazi pia inategemea waliwaleaj watoto wao sababu Kuna wazazi nao utakuta walikwepa majukumu.

Mtu anabaki kusema tu yule ni baba yangu sababu ni mzazi wake lakini ukiangalia ni sababu mzazi hakuwekeza ipasavyo kwa watoto.
 
Mbona umetoa na machozi kabisa? Kama mtu ana uwezo ni muhimu kuwasaidia. Tatizo tukishakaa mijini tunawasahau kabisa waliobaki vijijini. Ila wazazi pia inategemea waliwaleaj watoto wao sababu Kuna wazazi nao utakuta walikwepa majukumu. Mtu anabaki kusema tu yule ni baba yangu sababu ni mzazi wake lakini ukiangalia ni sababu mzazi hakuwekeza ipasavyo kwa watoto.
Huyo anakuwa na sababu ya kutowakumbuka, lakini wengi wamefika hapo walipo kwa msaada wa wazazi wao....ivo lazima wawakumbuke
 
Huyo anakuwa na sababu ya kutowakumbuka,lakini wengi wamefika hapo walipo kwa msaada wa wazazi wao....ivo lazima wawakumbuke
Ndio pia inategemea na roho ya mtu sababu Kuna watu hawakupata matunzo makubwa kwa wazazi lakini bado wanawasaidia. Tatizo nadhani ni kujisahau kwa vijana.
 
Yaan wamekulea kwa shida,wamekusomesha kwa shida ila kaz uliyopata na tayari una familia inayokutegemea then hiyo familia yako ikakufanya ukashindwa kutunza wazazi au kuwasaidia wazazi ....huenda kuna muda wanakusaidia wewe kwa kidogo walichonacho kwa sababu wanaona magumu yako.Unajisikiaje eti? 😭😭😭😭😭
Iko hivi:

Si wajibu wa mtoto kumtunza mzazi, ila ni wajibu wa mzazi kumtunza mtoto. Waafrika hapo ndo uwa tunafeli. Unamsomesha mtoto ili aje akusaidie, yaani kukusaidia kwa maana ya kuanza kukuhudumia kiuchumi.

Kama unamwandaa mtoto wako aje kukusaidia wewe, kizazi chake kitasaidiwa na nani?!. Pambana. Kama unamsomesha mtoto aje kukusaidia labda aje kukusaidia kuendesha biashara zako. Sio umwandae mtoto kumbebesha taabu zako za kiuchumi. Nae anazake.
 
Iko hivi:

Si wajibu wa mtoto kumtunza mzazi, ila ni wajibu wa mzazi kumtunza mtoto. Waafrika hapo ndo uwa tunafeli. Unamsomesha mtoto ili aje akusaidie, yaani kukusaidia kwa maana ya kuanza kukuhudumia kiuchumi.

Kama unamwandaa mtoto wako aje kukusaidia wewe, kizazi chake kitasaidiwa na nani?!. Pambana. Kama unamsomesha mtoto aje kukusaidia labda aje kukusaidia kuendesha biashara zako. Sio umwandae mtoto kumbebesha taabu zako za kiuchumi. Nae anazake.
Dàa,jamani....tusifikie huko....daa
 
Fadhira Mkuu,huwez acha mzazi ataabike nawe upo hai
Hiyo umesema wewe, si kila mtu ataona hivyo.

Na kuna wazazi wengine hawana mahusiano mazuri na watoto wao.

Kuna wazazi wengine wamewatelekeza watoto wao mpaka ukubwani ndio wakajitokeza, na hao nao watoto wana wajibu wa kuwalipa fadhila?

Nakwambia hivi, usikae kubweteka kutegemea mtoto wako atakutunza uzeeni.

Inatakiwa ujiandalie maisha ya uzeeni mazuri mwenyewe.

Mtoto akiweza kujytynza sawa, asipoweza sawa.

Kwa sababu kuna wengine wana nia ya kutunza wazazi lakini uwezo hawana.

Usimfanye mtoto juwa ni bima au mafao ya uzeeni.

Ulimwengu huo ushapita.

Unatakiwa kujiandaa mwenyewe.
 
Yaan wamekulea kwa shida, wamekusomesha kwa shida ila kaz uliyopata na tayari una familia inayokutegemea then hiyo familia yako ikakufanya ukashindwa kutunza wazazi au kuwasaidia wazazi, huenda kuna muda wanakusaidia wewe kwa kidogo walichonacho kwa sababu wanaona magumu yako.

Unajisikiaje eti? [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Vipi kama na wewe bado hujawa vizuri kiuchumi?

Hao wazazi watafanyaje?? Watapata wapi msaada?

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Yaan wamekulea kwa shida, wamekusomesha kwa shida ila kaz uliyopata na tayari una familia inayokutegeme 👉"then hiyo familia yako ikakufanya ukashindwa kutunza wazazi au kuwasaidia wazazi", 👈 huenda kuna muda wanakusaidia wewe kwa kidogo walichonacho kwa sababu wanaona magumu yako.

Unajisikiaje eti? 😭😭😭😭😭
Si afadhali huyo wa familia. Kuna jamaa alishindwa kumtumia mama yake hela ya kufanyiwa oparation ya uvimbe tumboni.

Kisa alikuwa ashamuahidi demu wake kuwa atamkatia ticket ya ndege aende kwao akale Xmass na mwaka mpya.
Mwisho wa siku mama wa watu kafariki kwa kukosa kufanyiwa hiyo oparation baada ya kukosekana mtu wa kumlipia na yule jamaa demu alipoondoka mawasiliano yao au uhusiano wao ukawa umekufa maana demu alikuwa kicheche balaa.
 
Back
Top Bottom