HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wazazi huona ufahari kuhudumiwa.Huu mpango wa kufanya watoto pensheni kiufupi ni ujima.
Usipotoa wanakulaani na kukusemea maneno mabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazazi huona ufahari kuhudumiwa.Huu mpango wa kufanya watoto pensheni kiufupi ni ujima.
Waambie wao watafute hela za kuwapa wajukuu
Mambo ya Kiafrika haya.Sawa ila kama upo wewe mwanao ni vizuri na hata kama mzazi ni billionea hela ya mtoto ni tamu sana
Haya mawazo ni ya ubinafsi sana na ndiyo yanatufanya tuzidi kuwa masikini.Wazazi huona ufahari kuhudumiwa.
Usipotoa wanakulaani na kukusemea maneno mabaya
Haijalishi kidogo ampacho mama yake niraha sana hujui tuMambo ya Kiafrika haya.
Sasa tuseme mzazi bilionea, mtoto kapuku, halafu bado anaona hela ya mtoto tamu?
Huu kama si ubinafsi ni nini?
Kwa mfano huna hao wazazi nikimaanisha walisha tangulia mbele ya haki je kaka ndie mlezi au jirani, na isitoshe kuna watu hawajui nini maana ya mzazi. Unadhani atasaidia nini?.Yaan wamekulea kwa shida, wamekusomesha kwa shida ila kaz uliyopata na tayari una familia inayokutegemea then hiyo familia yako ikakufanya ukashindwa kutunza wazazi au kuwasaidia wazazi, huenda kuna muda wanakusaidia wewe kwa kidogo walichonacho kwa sababu wanaona magumu yako.
Unajisikiaje eti? [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hata nyonyadamu ujue huwa anaona raha sana.Haijalishi kidogo ampacho mama yake niraha sana hujui tu
kuna watu watalaumu ccm
kuna watu watalaumu ccm
Hapana.Unakamoyo kauchoyo kimtindo Mkuu...