Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kuna tangazo moja la biashara Marwkani.Kukulea kwa shida hayo ni matatizo yao, sidhani kama kuna uhusiano na wewe kuwasaidia.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Baba Mzee kaka na mtoto wake kijana wanataka kuaguza chakula mgahawani.
Baba anataka alipe yeye, akiona huyu kijana bado hajajiimarisha kwenye kazi na kuweka akiba ya kutisha, si sawa alipe yeye.
Mtoto naye anataka alipe yeye, akisema huyu baba ni mstaafu, hana kazi, chanzo chake cha mapato ni pensheni tu.
Wote wanalindana, wanagombea kulipa.
Kila mtu anamfikiria mwenzake na kumuonea huruma.
Hivyo ndivyo inavyotakuwa.
Afrika utakuta mtu kijana hana uwezo, kazi ndiyo kwanza anaanza, hapohapo anabandikwa mzigo wa kutunza wazee ambao wenyewe walicheza ujanani hawakujiandaa na maisha ya uzeeni.