Hivi unajisikiaje unapotumia choo cha kukalia?

Hivi unajisikiaje unapotumia choo cha kukalia?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tayari kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tayari nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.


IMG_20241202_200816_201.jpg
 
Mnapo futa michango ya watu wametumia mb zao halafu wewe dk0 unafuta sio sawa hili ni jukwa huru. Nakumbuka hapo nyuma Tuliandamwa sana kuwa Papa karuhusu ndoa za jinsia Moja kejeri na mtusi yalikuwa sehemu yetu hasa sisi wakatoriki lkn kamwe hamkufuta Uzi wowote wenye namna hiyo!!

Sasa sisi tukiuliza maswali yanayositahiki kujibiwa Kwa hoja na Kwa USHAHIDI mnaona tuna zarau dini yenu sio poa.


Urudisheni watu wachangie wanavyojua au mjitokeze wenyewe mtujibu hapa na muwe Tyr kujibu maswali yetu vilevile.

Ahsantee
 
Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.


View attachment 3167543
Ama kweli ukifa mkeo asiolewe.
 
Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.


View attachment 3167543
nadhani hivi vyoo vilikusudia kuwasaidia wagonjwa, wazee wasiojiweza kuchuchumaa na walemavu, kama vile ilivyo kwa bajaji ni maalumu kwajili ya hao:pulpTRAVOLTA:
 
Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.


View attachment 3167543
Mi mwenyewe hiki kilinishinda hasa wakati wa kujitawaza, mpaka utakakate vzr ushachezea kinyesi mpaka basi😏
 
Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.


View attachment 3167543
Choo hiki hutaona umuhim wake had uje uugue sana au uvunjike mguu ...
 
Back
Top Bottom