Hivi unajisikiaje unapotumia choo cha kukalia?

Hivi unajisikiaje unapotumia choo cha kukalia?

Ukitumia choo cha kukalia cha public fanya mambo mawili.

Kwanza mwagia maji hapo sehemu ya kukalia, halafu tumia toilet paper kupangusa. Baada ya hapo tandaza toilet paper hapo sehemu ya kukalia halafu kalia hizo toilet paper. Hivyo ndiyo mimi nafanya siku zote.
Kwa hapa bongo walivyo wachafu vile nitatoka nawaza kama nimekalia mavi. Ushauri mzuri nimeuchukua.
 
Kwa hapa bongo walivyo wachafu vile nitatoka nawaza kama nimekalia mavi. Ushauri mzuri nimeuchukua.
Sahihi kabisa, vyoo vya kibongo ni vichafu mno. Unakuta maji yapo kwenye ndoo haujui yamechotwa wapi, ukiyatumia unaweza ota majipu. Wengine tukitaka kujisaidia unataka uvue suruali utundike ili unye vizuri raha mstarehe na wakati unajisafisha suruali isilowe! Ukitaka kuvua unakuta sakafu chafu, ukiangalia hamna pa kutundika.
 
Sahihi kabisa, vyoo vya kibongo ni vichafu mno. Unakuta maji yapo kwenye ndoo haujui yamechotwa wapi, ukiyatumia unaweza ota majipu. Wengine tukitaka kujisaidia unataka uvue suruali utundike ili unye vizuri raha mstarehe na wakati unajisafisha suruali isilowe! Ukitaka kuvua unakuta sakafu chafu, ukiangalia hamna pa kutundika.
Hipo siku tutakuja kuwafikia wazungu asee. Hawa jamaa kwenye usafi na madawa ya kuua bacteria wanajari sana asee nenda vyoo vya kulipia pamoja na kwamba unatoa hela yako lkn vile vyoo havitamaniki kabisa na havifai kwa matumizi. yaani unachuchuma huku unaona cheche za mavi zimezagaa ovyoo kabisa. madawa ndo hamna kabisaa choo inanukaa mbaya.
 
Hipo siku tutakuja kuwafikia wazungu asee. Hawa jamaa kwenye usafi na madawa ya kuua bacteria wanajari sana asee nenda vyoo vya kulipia pamoja na kwamba unatoa hela yako lkn vile vyoo havitamaniki kabisa na havifai kwa matumizi. yaani unachuchuma huku unaona cheche za mavi zimezagaa ovyoo kabisa. madawa ndo hamna kabisaa choo inanukaa mbaya.
Hiyo safari ni ndefu saaana
 
Kuna siki nilinunua dawa ya kusafisha mwili stendi kwa wale wajanja wa mji wanakua na kisipika na wanweka yai watotoleshe.yai halitotolewi na dawa utanunua.aisee mwamba alinipa tahadhari kua kama umepanga unashea choo itakula kwako.bahati sikua nashea choo nlikua kwa apartment.nilihalisha usiku kucha .choo changu cha kukaa kilinisaidia sana nl8kua nakaaa nashusha mzigo mpaka usingizi unanipitia hapo hapo.je ki gekua cha kuchuchumaa ingekua aje.
 
Kwahiyo Neno kaa na chuchumaa Yana fanana? Yaani ukiambiwa chuchumaa halafu ukakaa utakuwa uko sawa?
Matumizi yake ni sawa ...ni kama kunywa maji na soda vyote ni vinywaji ingawa vina sifa tofauti...

Ushauri wangu kwako punguza ushamba toka nje ya box uenjoi maisha
 
Back
Top Bottom