Hivi unajisikiaje unapotumia choo cha kukalia?

Hivi unajisikiaje unapotumia choo cha kukalia?

Hoja ya hovyo sana hii, nadhani Mods waisukumie kule kwenye Jokes. Yaani hata mkeo mmeshindwa kushea hiko choo? Wewe ni mlugaluga uliyezoea kujisaidia kama ng'ombe. Samahani lakini.
Siku zote Hela yangu haiwezi kuniendesha mkuu. Hayo yte utasema lkn siwezi kunya huku nimekaa Huwa sijisikii huru kabisa. Achana hata na mke wangu hata ningekuwa mwenyew tu siwezi kunya huku nimekaa sijisikii amani na uhuru kama kuchuchumaa! Ng'ombe hajawahi ugua kipindupindu mkuu. Samahani lkn😹
 
Mi mwenyewe hiki kilinishinda hasa wakati wa kujitawaza, mpaka utakakate vzr ushachezea kinyesi mpaka basi😏
Kuna watu kufika USA na SA basi tulikomea mwakareli wanatuona nyani tu. Lkn wangejua kuwa Bado haisadii kitu hata wakitujengea vya kukaa tutapanda juu yake tukate gogo Kwa uhuru zaidi Wala wasingebweka humu😂😂😂
 
Kabisaaa wakae tu huko kwao maporini kwan lazma waje daslam tena wanye kwenye vichaka washikwe mamba hv dunia ya Leo una dought kuhusu choo vya kisasa jaman kweli tz ina mbumbumbu wenyew waeupe wamevigawa kati ya Asia na Europe toilets ww unataka mbibi wa watu akajikunje ni kweli ww hubiwez ila hata hyo floor kuiosha iwe safi imekushinda
Aliyekuambia Daslam ndo Kuna vyoo vya kukaa pekee yake ninani?

Dar mlichotuzidi ni mashoga tu.
 
Siku zote Hela yangu haiwezi kuniendesha mkuu. Hayo yte utasema lkn siwezi kunya huku nimekaa Huwa sijisikii huru kabisa. Achana hata na mke wangu hata ningekuwa mwenyew tu siwezi kunya huku nimekaa sijisikii amani na uhuru kama kuchuchumaa! Ng'ombe hajawahi ugua kipindupindu mkuu. Samahani lkn😹
Nakushauri jipe muda tu, kuna kaustaarabu kakianza kukuingia baadhi ya fikra zako automatically zitabadilika. Jipe muda ila nakushauri usikaze fuvu saaana, acha kanafasi ka kujifunza zaidi.
 
Nakushauri jipe muda tu, kuna kaustaarabu kakianza kukuingia baadhi ya fikra zako automatically zitabadilika. Jipe muda ila nakushauri usikaze fuvu saaana, acha kanafasi ka kujifunza zaidi.
Sawa mkuu kama ikibidi nitakunya huku nimekaa lakin kwa sasa subiri kwanza
 
Sawa mkuu kama ikibidi nitakunya huku nimekaa lakin kwa sasa subiri kwanza
Nakubaliana na wewe unaposema kunya ni starehe, sasa swali langu starehe unaipataje ukiwa umechuchumaa kama vile umedakwa kwa kukatiza kwenye kambi ya jeshi?

Halafu unakataa kuinjoy starehe hiyo hiyo ukiwa umekaa. Wewe unaweza kusafiri kwenye gari ukiwa umechuchumaa?
 
Wazee Duniani uko Vyoo vya Kuchuchuma Ni nadra sana, Huwa nawaza Hivi vyoo vya Kuchuchuma Pengine Vimekuwepo africa kwa sababu ya Mazingira magumu na Hygiene Mbovu ndio mana vimekuww Distributed public kwa sababu vyoo vya Kukaa Vinahitaji maji ya Kutosha Kuflash, Nimeona watu wanasema vyoo ivi ni kwa ajili ya Walemavu hio sio Kweli Mataifa Mengi yaliyoendelea Ni Vyoo vya Kukaa hata Bongo tu hapo Kuanzia Airport kule hakuna mambo ya Vyoo vya Kuchuchuma
 
Nakubaliana na wewe unaposema kunya ni starehe, sasa swali langu starehe unaipataje ukiwa umechuchumaa kama vile umedakwa kwa kukatiza kwenye kambi ya jeshi?

Halafu unakataa kuinjoy starehe hiyo hiyo ukiwa umekaa. Wewe unaweza kusafiri kwenye gari ukiwa umechuchumaa?
Nadhani mazoea ndo yaliyonifanya nione kukuchumaa ni bora zaidi kuliko kukaa.
Kingine ni kile kinyaa tu cha kuwaza hapa fln nae hukaa na kunya aisee hiki kitu kikinijia tu hata choo kiwe kisafi namna gani. mkuu kwa upande wa usafi hapa ofisini napofanyia kazi wala siyo jambo la kuuliza asee. ni choo ambacho hata waziri wa...... huwa akija anatumia hikihiki na viogozi wengine wakubwa. mfano sinki la kukojorea ukivua na kutoa mshendende tu tiyari maji yanatoka automatic ukifunga hivyohivyo vyoo hata ukiweka godoro utalala. kwa kifupi tu panavutia sana. shida ni kukaa na hilo niliosema la kinyaa.
 
kwa sababu vyoo vya Kukaa Vinahitaji maji ya Kutosha Kuflash
Halafu hiyo dhana nadhani ni potofu. Nadhani vyoo vya shimo vinahitaji maji zaidi. Kumwagilizia kikombe kimoja baada ya kutumia choo ndiyo maana vyoo vinanuka.
 
Nadhani mazoea ndo yaliyonifanya nione kukuchumaa ni bora zaidi kuliko kukaa.
Kingine ni kile kinyaa tu cha kuwaza hapa fln nae hukaa na kunya aisee hiki kitu kikinijia tu hata choo kiwe kisafi namna gani. mkuu kwa upande wa usafi hapa ofisini napofanyia kazi wala siyo jambo la kuuliza asee. ni choo ambacho hata waziri wa...... huwa akija anatumia hikihiki na viogozi wengine wakubwa. mfano sinki la kukojorea ukivua na kutoa mshendende tu tiyari maji yanatoka automatic ukifunga hivyohivyo vyoo hata ukiweka godoro utalala. kwa kifupi tu panavutia sana. shida ni kukaa na hilo niliosema la kinyaa.
Ukitumia choo cha kukalia cha public fanya mambo mawili.

Kwanza mwagia maji hapo sehemu ya kukalia, halafu tumia toilet paper kupangusa. Baada ya hapo tandaza toilet paper hapo sehemu ya kukalia halafu kalia hizo toilet paper. Hivyo ndiyo mimi nafanya siku zote.
 
Wazee Duniani uko Vyoo vya Kuchuchuma Ni nadra sana, Huwa nawaza Hivi vyoo vya Kuchuchuma Pengine Vimekuwepo africa kwa sababu ya Mazingira magumu na Hygiene Mbovu ndio mana vimekuww Distributed public kwa sababu vyoo vya Kukaa Vinahitaji maji ya Kutosha Kuflash, Nimeona watu wanasema vyoo ivi ni kwa ajili ya Walemavu hio sio Kweli Mataifa Mengi yaliyoendelea Ni Vyoo vya Kukaa hata Bongo tu hapo Kuanzia Airport kule hakuna mambo ya Vyoo vya Kuchuchuma
Mkuu sikatai kabisaa wala kubishana na yeyote yule. unaweza kukaa kwa sababu tu mfumo umekulazimu hivyo.yaani ni sawa na wewe ukienda china nasikia hawatuymii sukari kule iwe kwenye chai au mboga {sijui kama ni kweli}.

Ukienda mazingira kama hayo bila shaka utakula tu kwa sababu haina mbadala.

mimi ukiweka choo cha kukaa kwa usafi wote unao ujua wewe na pia ukaweka cha kuchuchumaa nitaenda cha kuchuchumaa mkuu.

Ni sawa na mtu awe anapenda mieleka mwingine anapenda boxing yote heri siwezi mpinga ni chaguo lake
 
Back
Top Bottom