Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
Ahhh! Bado dharau tu yaani mwanamme mzima nianze kujitia sijui vipipe vya maji??si kunakuwaga na ile pipe inayotoa maji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahhh! Bado dharau tu yaani mwanamme mzima nianze kujitia sijui vipipe vya maji??si kunakuwaga na ile pipe inayotoa maji?
Swali na jibu vitu viwili tofauti😂Una maanisha kuvimbewa? navyojua kuvimbewa ni kuachia ushuzi kwa njia ya mdomo unao nuka balaaaa. haiingiliani na kujisaidia na ukianza kujisadia tu tyr huwezi cheua tena.
Swali na jibu vitu viwili tofauti😂
Hao ni wagonjwa tu miaka buku wazee wetu walitumia vya kuchuchumaa Leo hii view na shida?Ni choo kinachofaa hasa kwa afya yako.. watu wengi wanafariki chooni hasa vile vya kuchuchumaa.. Prof janabi mfuatilie
Hivyo vya kukaa ukiachia mzigo maji yanakurukia kwenye mkuuundu na puuumbuuuuuu. Huoni ndo vyazo vywa magonjwa hayo? Kwenye hoja Yako ya usafi hata hivyo kama usipokuwa msafi Bado Hali ni ileile Tena ndo mbaya zaidiJamii zisizotumia vyoo vya kukaa zinaongoza kwa magunjwa ya tumbo kama vile typhoid na kipindupindu.
Vyoo va kuchuchumaa vingi ni vichafu na vina harufi mbaya sana. Na kwa asilimia kubwa kinyeai hugonga kwenye plate hasa ukiharisha.
Magunjwa mengi ya kuambukiza husafiri kwenye vitasa vya mlango. Je, haoni kinyeai kutumia kitasa cha mlango?
.
Yote heri ila kikubwa nimechuchumaa mkuuNyie ndio mnaopanda juu kwenye tank ya kuflashia halafu mnaangusha moja moja
Nitakuwa sijamuelewa badoKuvimbiwa ni flatulence.
Sorry ila sijaona point.Hivyo vya kukaa ukiachia mzigo maji yanakurukia kwenye mkuuundu na puuumbuuuuuu. Huoni ndo vyazo vywa magonjwa hayo? Kwenye hoja Yako ya usafi hata hivyo kama usipokuwa msafi Bado Hali ni ileile Tena ndo mbaya zaidi
Mungu akusaidie sana, sema Amina.Nitakuwa sijamuelewa bado
AminaMungu akusaidie sana, sema Amina.
Hujabanwa mavi wewe! Ukibanwa mavi hata ukiwa wima mavi yanatoka yenyeweMimi nikikaa nnya haitoki kabisa. Ila nikichuchumaaa natoa mzigo wa kueleweka Hadi pa kumwagia maji hapaonekani. Kuchuchumas Raha sana sana.
Choo cha kukaa ni choo km cha kuchuchumaa ila kinachowasumbua watanzania walio wengi ni USHAMBA!Kaka wewe sawa na mimi, Hata ikitokea nitalazimika, kuna namna sitakaa moja kwa moja .
Anhaa...!!Choo cha kukaa ni choo km cha kuchuchumaa ila kinachowasumbua watanzania walio wengi ni USHAMBA!
Sioni kama tatizo ni kukaaa tatizo ni maji Yale maji maji kuruka na hio namna unayotaka kukaaa😂😂Kaka wewe sawa na mimi, Hata ikitokea nitalazimika, kuna namna sitakaa moja kwa moja .
Umewahi kubahatika kutoka walau nje ya Tanzania? Bila shaka hujawahi ndiyo maana unaanzisha thread kama hii. Nasema hivi kwa sababu Bongo watu wanadhani choo ni lazima kiwe kichafu sana na inzi kwa wingi. Kwa taarifa yako Ulaya hakuna vyo vya kuchuchumaa. Infact ni kuanzia hapo airpot, ukishaingia kwenye ule ukumbi wa kuondokea, kwenye ndege, na unakokwenda kote ni vyoo vya kukaa. Uzuri ni kuwa majuu watu ni wastaarabu na wanajua maana ya hygyne. Na kwa Tanzania kuna watu wengi tu nyumbani wana vyoo vya kukaa. Kama umezaliwa mbugani huko mnakokata magogo vichakani hili linaweza kuwa jambo la ajabu kwako.
Kabisaaa wakae tu huko kwao maporini kwan lazma waje daslam tena wanye kwenye vichaka washikwe mamba hv dunia ya Leo una dought kuhusu choo vya kisasa jaman kweli tz ina mbumbumbu wenyew waeupe wamevigawa kati ya Asia na Europe toilets ww unataka mbibi wa watu akajikunje ni kweli ww hubiwez ila hata hyo floor kuiosha iwe safi imekushindaHoja ya hovyo sana hii, nadhani Mods waisukumie kule kwenye Jokes. Yaani hata mkeo mmeshindwa kushea hiko choo? Wewe ni mlugaluga uliyezoea kujisaidia kama ng'ombe. Samahani lakini.