Hivi unajisikiaje unapotumia choo cha kukalia?

Hivi unajisikiaje unapotumia choo cha kukalia?

Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.


View attachment 3167543
Ukishafika 60's and above ndio vinakuwa na umuhimu

Kuna wakati utafika hamtaweza tena kuchuchumaa na wife

Ila kiukweli kwenye public haifai, mtaambukizana majibu na magonjwa ya ngozi kama si mba

Kama upo mahali pa lazima sana kutumia bas nenda na spirit na pamba unapafuta kwnz kbl hujajikalisha
 
Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.


View attachment 3167543
Waulize wanaume wa dar
 
Huwa nawaza mengi sana hunichukua hadi dk 1 nafanya maamzi nitumie au nisitumie
Nilikuwaga najisemea kuwa mimi ni mshamba, kumbe akili zangu ziko sawa. Hivyo vyoo hapana kabisa.

Ni heri niende kwa jirani nikamalize shughuli.

Kuchuchumaa ndio style ya kila mnyama. Hakuna mnyama anashisha akiwa amekaa. Sijawahi ona.
 
Nilikuwaga najisemea kuwa mimi ni mshamba, kumbe akili zangu ziko sawa. Hivyo vyoo hapana kabisa.

Ni heri niende kwa jirani nikamalize shughuli.

Kuchuchumaa ndio style ya kila mnyama. Hakuna mnyama anashisha akiwa amekaa. Sijawahi ona.
Sahihi kabisa mkuu
 
Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.


View attachment 3167543
Mamake, mi nilivyo mdhaifu na kunya....hapa nalala tu mpaka niamshwe. Nakiri kuwa hakuna starehe zaidi ya kunya, nani anabisha?
 
Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tayari kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tayari nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.
Jamii zisizotumia vyoo vya kukaa zinaongoza kwa magunjwa ya tumbo kama vile typhoid na kipindupindu.
Vyoo va kuchuchumaa vingi ni vichafu na vina harufi mbaya sana. Na kwa asilimia kubwa kinyeai hugonga kwenye plate hasa ukiharisha.
Magunjwa mengi ya kuambukiza husafiri kwenye vitasa vya mlango. Je, haoni kinyeai kutumia kitasa cha mlango?
.
 
Back
Top Bottom