Hivi unajisikiaje unapotumia choo cha kukalia?

Hivi unajisikiaje unapotumia choo cha kukalia?

Usha



Ushamba ni ujinga. Tafuta hela kijana kila kitu utaona rahisi.
Halafu nikipata Hela ninunue nisichopenda? Mbona picha nimepiga kwenye room ya wageni na hicho ndo choo Chao au hiki nilinunua kwatumia mchanga mkuu?
Umewahi kubahatika kutoka walau nje ya Tanzania? Bila shaka hujawahi ndiyo maana unaanzisha thread kama hii. Nasema hivi kwa sababu Bongo watu wanadhani choo ni lazima kiwe kichafu sana na inzi kwa wingi. Kwa taarifa yako Ulaya hakuna vyo vya kuchuchumaa. Infact ni kuanzia hapo airpot, ukishaingia kwenye ule ukumbi wa kuondokea, kwenye ndege, na unakokwenda kote ni vyoo vya kukaa. Uzuri ni kuwa majuu watu ni wastaarabu na wanajua maana ya hygyne. Na kwa Tanzania kuna watu wengi tu nyumbani wana vyoo vya kukaa. Kama umezaliwa mbugani huko mnakokata magogo vichakani hili linaweza kuwa jambo la ajabu kwako.
Mkuu una uhakika mbuzi ukimpeleka ulaya utageuka kuwa farasi?

Hapa sijazungumzia uchafu kama unavyodai wewe. Pia nipo nafanya kazi na watu Toka mataifa mbalimbali hasa Canada, Australia nk tuna tumia vyoo vya kukaa na visafi masaa 24!

Lakini Bado sijawahi vutiwa na choo Cha namna hii na sio kwamba situmii kuna muda hunibidi tu mfano umeenda semina kwenye maukumbi makubwa ya kisasa nk vyoo ni aina tu ya kukaa hapo hunibidi kutumia.


Narudi hata kama kingekuwa Cha dhahabu au Almasi Bado nisingevutiwa nacho (kukaa) napenda kuchuchumaa mkuu. Ova.

Sio kwamba kwangu Sina ninacho ila ilinibidi niweke Kwa wageni maana sipendi.
 
Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.


View attachment 3167543
Mtu akiwa na maupele, au fungus, gono, UTI na wewe unazoa vilevile, uchafu mkubwa sana hivi vyoo
 
Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.


View attachment 3167543
Wasukuma wenzangu ndio tunapinga hivi vyoo, tumezoea kumaliza haja mashambani, hakuna namna tuzoee ndio dunia inakoenda huko.
 
Inategemea choo kinatunzwaje,vingine vinakua visafi,muda wote wahudumu wa usafi wanafisafisha na dawa na kupulizia perfume,aisee yaani kuna wakati usingizi ukinibana ofsin nakimbilia hapo na kukaa na kusinzia au nachat kabisaa.
Kama kwenu kuna vyoo visvyo na matunzo naomba uvikwepe.
 
Inategemea choo kinatunzwaje,vingine vinakua visafi,muda wote wahudumu wa usafi wanafisafisha na dawa na kupulizia perfume,aisee yaani kuna wakati usingizi ukinibana ofsin nakimbilia hapo na kukaa na kusinzia au nachat kabisaa.
Kama kwenu kuna vyoo visvyo na matunzo naomba uvikwepe.
Labda niweke sawa mim,i hata kikiwa cha pekee yangu ile style ya kukaa ndo huninyima raha hayo ya usafi wala sijaongelea.
 
Heshima yenu wakuu!

Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.

Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.

Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.

Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa

Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.

Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.


View attachment 3167543
Mkuu unajipunja maisha ujue!

Choo cha chumbani mwako unaogopa kupachika cha kukaa!

Yaani mimi bila hicho sinyi najibana hadi nirudi nyumbani kwangu.

Kabla ya sifa zingine, choo hicho ni 'sound proof'.

Hata kama unaendesha zako, unapoanza kupiga piano taatratatata, hata ukiwa karibu na 'wasoni', hupati aibu maana sauti yote inamezwa unapokuwa umekaa juu ya sinki la choo, makalio na mapaja huzuia sauti isitoke nje.

Kingine, ukaaji wa kuning'inia unapojisaidia juu ya sinki, kinyesi chote hukamuliwa na kuisha kabisa katika rectum, si rahisi kupata bawasili.

Kuogopa kutumia choo cha kukaa ndani ya chumba chako ni sawa na kuogopa kivuli chako mwenyewe.
 
Back
Top Bottom