zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Hivi kuna Choo cha kusimamia? si vyote vya kukalia ingawa mikao inatofautianaChoo cha hovyo hicho siwezi tumia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna Choo cha kusimamia? si vyote vya kukalia ingawa mikao inatofautianaChoo cha hovyo hicho siwezi tumia
Mkuu ngozi ya kede ni ngumu mno na haiwezi chanika asee labda za wanaume wa dar wanaozipakaKuna thread nimeona jamaa anasema tuwe makini tusipasuke makende.
Kafanye utafitiHivi kuna Choo cha kusimamia? si vyote vya kukalia ingawa mikao inatofautiana
Sijakibeza mkuu. kwa mchango wako unamaanisha kama ukiwa mzima wa afya hakuna ulazimna huoChoo cha kukaa nikizuri kama unamatatizo ya miguu...kwayo usikibeze
Naweza kubaliana nawewe heri matumizi ya sizidi wewe na mke wako na sio publicHavina shida kabisa ilimradi usichangie tu na wamatumbi wengine 🤔
Lugha katikati picha View attachment 3167561
Huyu kala mapera as
Choo cha shimo unakaa mkao wa kuchuchumaa ila kuna Choo kingine unakalia sink ndio unakunya mkao unakua km umekaa kwenye kiti cha OfisiKafanye utafiti
Mtama mwekundu kabisa ule hadi upigwe bomba ama uchokonoe ni balaaaHahaha kala ugali wa mtama huyo mapera mzigo unaporomoka kama zege lililokorogwa poroporoporo
Heshima yenu wakuu!
Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.
Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.
Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.
Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa
Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.
Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.
View attachment 3167543
Ushamba ni ujinga. Tafuta hela kijana kila kitu utaona rahisi.Heshima yenu wakuu!
Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.
Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.
Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.
Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa
Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.
Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.
View attachment 3167543
Umewahi kubahatika kutoka walau nje ya Tanzania? Bila shaka hujawahi ndiyo maana unaanzisha thread kama hii. Nasema hivi kwa sababu Bongo watu wanadhani choo ni lazima kiwe kichafu sana na inzi kwa wingi. Kwa taarifa yako Ulaya hakuna vyo vya kuchuchumaa. Infact ni kuanzia hapo airpot, ukishaingia kwenye ule ukumbi wa kuondokea, kwenye ndege, na unakokwenda kote ni vyoo vya kukaa. Uzuri ni kuwa majuu watu ni wastaarabu na wanajua maana ya hygyne. Na kwa Tanzania kuna watu wengi tu nyumbani wana vyoo vya kukaa. Kama umezaliwa mbugani huko mnakokata magogo vichakani hili linaweza kuwa jambo la ajabu kwako.Nakubaliana nawewe huwa nawaza huenda vile vyoo ni special kwa wazee wasio weza kuchuchumaa na kukata gogo. na kinakuwa special kwa mtu mmoja.
Sas mkuu mwenzio amekinunua lakini hajakipenda unamuita mshamba atafute hela , vp akizipata anunue vingi ili avipende?Usha
Ushamba ni ujinga. Tafuta hela kijana kila kitu utaona rahisi.
Mimi siwezi brother...... Mfn Kuna kumbi zile kubwa unakuta vipo na watu wako foleni kupata huduma,,Nakubali
Mimi siwezi brother...... Mfn Kuna kumbi zile kubwa unakuta vipo na watu wako foleni kupata huduma,,
Mimi Huwa nawaza hapa kakaa mwanaume mwenzangu kaweka makalio na mapaja yake na mara zote huona kinyaa kukitumiaMimi siwezi brother...... Mfn Kuna kumbi zile kubwa unakuta vipo na watu wako foleni kupata huduma,,
Umewahi kubahatika kutoka walau nje ya Tanzania? Bila shaka hujawahi ndiyo maana unaanzisha thread kama hii. Nasema hivi kwa sababu Bongo watu wanadhani choo ni lazima kiwe kichafu sana na inzi kwa wingi. Kwa taarifa yako Ulaya hakuna vyo vya kuchuchumaa. Infact ni kuanzia hapo airpot, ukishaingia kwenye ule ukumbi wa kuondokea, kwenye ndege, na unakokwenda kote ni vyoo vya kukaa. Uzuri ni kuwa majuu watu ni wastaarabu na wanajua maana ya hygyne. Na kwa Tanzania kuna watu wengi tu nyumbani wana vyoo vya kukaa. Kama umezaliwa mbugani huko mnakokata magogo vichakani hili linaweza kuwa jambo la ajabu kwako.
Mkuu umeshakuwa ni utamaduni wetu, tunadhani choo ni lazima iwe sehemu chafu. Majuu watu wanaingia na bia vyooni na unakuta ni kusafi kweli kweli.Huwa najiuliza sana hili swali, hivi kwanini Tanzania au Africa vyoo public vinakuwa vichafu kiasi kwamba huwezi kujisaidia.
Ukisafiri na mabus hivi vyoo kwenye mahoteli mabus yanasimama dah yaani ni hatari tupu, siku moja nikazidiwa nikaingi Choo cha stand pale Magufuri terminal dah haja yote ilikata aisee halafu sasa Choo cha kulipia.
Sijui tunakwama wapi aisee.
Mimi siwezi nshazoea kutumia maji mengi sasa hapo sijui unajiosha.... vp ?Mimi Huwa nawaza hapa kakaa mwanaume mwenzangu kaweka makalio na mapaja yake na mara zote huona kinyaa kukitumia