Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Ama kweli ukifa mkeo asiolewe.Heshima yenu wakuu!
Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.
Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.
Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.
Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa
Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.
Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.
View attachment 3167543
Nakubaliana nawewe huwa nawaza huenda vile vyoo ni special kwa wazee wasio weza kuchuchumaa na kukata gogo. na kinakuwa special kwa mtu mmoja.Choo cha hovyo hicho siwezi tumia
NakubaliNapita mbali kama naona nyoka... For sure sijawahi kitumia
nadhani hivi vyoo vilikusudia kuwasaidia wagonjwa, wazee wasiojiweza kuchuchumaa na walemavu, kama vile ilivyo kwa bajaji ni maalumu kwajili ya haoHeshima yenu wakuu!
Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.
Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.
Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.
Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa
Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.
Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.
View attachment 3167543
Una maanisha kuvimbewa? navyojua kuvimbewa ni kuachia ushuzi kwa njia ya mdomo unao nuka balaaaa. haiingiliani na kujisaidia na ukianza kujisadia tu tyr huwezi cheua tena.Kwaio ukipata constipation utachuchumaa kwa masaa mangap?
Huyu kala mapera aseeLugha katikati picha View attachment 3167561
As long as it takes.Kwaio ukipata constipation utachuchumaa kwa masaa mangap?
Nakubaliana kabisa nawewe mkuunadhani hivi vyoo vilikusudia kuwasaidia wagonjwa, wazee wasiojiweza kuchuchumaa na walemavu, kama vile ilivyo kwa bajaji ni maalumu kwajili ya hao
Mi mwenyewe hiki kilinishinda hasa wakati wa kujitawaza, mpaka utakakate vzr ushachezea kinyesi mpaka basi😏Heshima yenu wakuu!
Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.
Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.
Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.
Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa
Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.
Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.
View attachment 3167543
Choo hiki hutaona umuhim wake had uje uugue sana au uvunjike mguu ...Heshima yenu wakuu!
Kwanza kabisa nipo Tyr kuambiwa Mimi ni mshamba Nisawa kabisa.
Lakini sijawahi vutiwa Wala kufurahishwa na matumizi ya choo Cha kukaa.
Huenda kuishi kwangu Kwa zaidi ya miaka 20 bila kutumia choo Cha namna hii huenda ndio sababu kuu ya kunifanya Mimi nisipende matumizi ya choo Cha namna hii.
Imagine choo kinatumika zaidi ya watu15 halafu wote wanakaa hapa Kwa kweli Mimi binafisi Huwa naenda kilipo choo Cha kuchuchumaa
Nipo Tyr nisafiri kama fungo kujisaidia nikiwa nime relax kabisa.
Kipindi najenga nilinunua Kwa ajiri ya choo Cha ndani kwangu lkn badae nikabadiri maamzi Tena nikaona Bora hiki kiwe Cha wageni Mimi na wife tuendelee kuchuchumaa. Ova.
View attachment 3167543