sijui nani
JF-Expert Member
- Jan 5, 2016
- 297
- 308
Hii ndo shida ya kulazimisha ndoa.Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Ili kuwaje sasa mpk unaoa mtu ambae humpendi au nyie ndio mlioletewa hiyo mizigo mpka mlangonoDuh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
[emoji23][emoji23][emoji23]"unaxemaje"'xina la kuxhangia ! maixha yamebana xana axha nipambane!'
espy
Fact kabisaKwanini ule kiapo cha kuishi milele na mtu usiempenda? Hapa ndo siwaelewi kabisa binadamu. Mtu anakwambia kabisa simpendi gf/bf wangu ila nitaolewa nae tu. Utumwa wa nafsi siwezi kuishi na mtu nisiempenda tena under one roof ndo kabisaa. Ndo maana kuna watu wako2 kwenye ndoa wana kila kitu ila hawana furaha sababu ya kukurupuka kuweka wenza wasiowapenda ndani.
Ni bora utumie muda wako duniani kutafuta unaempenda kuliko kujiingiza kwenye ndoa usiyokua nayo na furaha. Huwa naamini hell and heaven ziko duniani. Kwanini uishi kwenye ndoa2 ya mateso (hell) kabla hujaenda kuhukumiwa kwa Mungu baadae. Watu wengi tuna pressure sana na ndoa. Tunaamini ndoa ni kila kitu.Fact kabisa
Usiwe na presha mambo mazuri tu...Ni bora utumie muda wako duniani kutafuta unaempenda kuliko kujiingiza kwenye ndoa usiyokua nayo na furaha. Huwa naamini hell and heaven ziko duniani. Kwanini uishi kwenye ndoa2 ya mateso (hell) kabla hujaenda kuhukumiwa kwa Mungu baadae. Watu wengi tuna pressure sana na ndoa. Tunaamini ndoa ni kila kitu.
Hahahha dah km hali ndio iko hivi acha niendelee kuwepo kuwepo tu.Aisee ni kweli kuna wakati unamuangalia mkeo na kujiambia nilibugi step.
Duuh wanaeume wana siri, penginw mkeo nae anakuchukulia the way unavyomchukulia na ana mtu wanaependana kiasi kwamba anatamani hata azae nae aupengine hata hao watoto ni mchepuko wake,what goes round always comes aroundDuh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
Aisee imeniuma Sana unamkosea sana mkeo sio kwamba hafeel hicho unafanya anaumia ila anakaa kimya kama huwezi kurekebisha muache eti I hate my wife wewe khaaaaaDuh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
YANI HII UNGEWEKA THREAD YAKE...ANYWAY MIMBA SASA NI YAKO UMEMPA AU MWINGINE KAMPA BAADA YA KUMPIGA CHINI...PIA ISHU YA NDOA KULIKONI ....NDIO MAANA KUOA SIJAAMUA KABISA MAANA NAONA KUBUGI STEP NI KWINGI SANA...TAFADHALI TUPE INSIDE CHALLENGES MKUUDuh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
HAHAHA HII KALI HEAVEN SENT DUHMmh yani unaolewa ila unaishia kuwa bi harusi afu mke ni mwingineeee
HII HATA MIMI IMENCHEKESHA SIJUI ALIWAZA NINI HUYU MDADA HEAVEN SENT..ILA ANA IQ KUBWA SANA[emoji1] Nimecheka kama mazuri.
Nimependa hii, unaolewa na kuishia kuwa bi harusi...lol
Up mzigo umekua saiaz Ila mwanzo alikua MTU na heshima sake tu,na kumtongoza nilisotea ez km 6 mpaka ughaili wik,hutum at a meseji lakini unaliamusha tena ukimwita anakuja kama chakula mtakula vizuli tatizo nilikua nikiomba mzigo hanipi,kwaiyo elewa sjaletewa km unavozani Bali niliyatafuta mwenyewe matatizo yanayonitesa kwa sasa.Ili kuwaje sasa mpk unaoa mtu ambae humpendi au nyie ndio mlioletewa hiyo mizigo mpka mlangono
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125]HAHAHA HII KALI HEAVEN SENT DUH
HII HATA MIMI IMENCHEKESHA SIJUI ALIWAZA NINI HUYU MDADA HEAVEN SENT..ILA ANA IQ KUBWA SANA