Hivi unajua unaweza kutumia akili kidogo tu ukapata pesa nyingi?

Hivi unajua unaweza kutumia akili kidogo tu ukapata pesa nyingi?

Nahisi wengi wataipenda idea ya vibanda vya Tigopesa but nataka niwaambie muangalie na location mtakazoenda kuplan kuvipangisha.

Mfano, tuchukulie Kariakoo ndiko hasa biashara ya pesa chini ya miamvuli hufanyika kwa wingi ila huwezi kuweka kibanda katikati ya mtaa au makutano ya mtaa manispaa wakakuelewa, lazima watakutoa tu mie nadhani labda vibanda vya biashara nje ya mji ndiyo itakuwa haimuumizi mtu kichwa.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
kwenye vibanda hapo utatakiwa kugawana pesa na mwenye eneo maana ukiweka kibanda kwenye eneo la mtu lazima umlipe

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli kuhusu kodi ya eneo utakayolipishwa na mwenye eneo

ndio itakupa jibu la bei ya kupangisha kibanda chako,kwa mfano

mwenye eneo kakwambia eneo lake anataka 50,000 sawa,unampa.

ukileta kibanda kodi yako unaweka 120,000 - 100,000.

Bei ya kodi ya kibanda inapatikana baada ya ww kujua kodi ya eneo.
 
Nahisi wengi wataipenda idea ya vibanda vya Tigopesa but nataka niwaambie muangalie na location mtakazoenda kuplan kuvipangisha.

Mf:tuchukulie Kariakoo ndiko hasa biashara ya pesa chini ya miamvuli hufanyika kwa wingi ila huwezi kuweka kibanda katikati ya mtaa au makutano ya mtaa manispaa wakakuelewa,lazima watakutoa tu mie nadhani labda vibanda vya biashara nje ya mji ndo itakuwa haimuumizi mtu kichwa.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ni kweli huwezi peleka kibanda ktkat ya mji,japo pia inawezekana.

kuweka kibanda nnje ya ofisi ya mtu pembeni kwenye kibaraza chake

wewe ni shahidi kariakoo vipo vibanda vingi tu vimeungwa na frem za watu

sema shida inayowashinda watu kat kat ya mji ni KODI za eneo maana

utaambiwa eneo hili kwa mwezi 150,000,sasa hebu niambie utaempangishia

utampa kodi ya sh ngapi ili upate yako na kumlipa mwenye eneo? mjini nafasi zipo

ila si kwa kuzipangisha,kule unachukua nafasi kisha ufanye kazi mwenyewe hauwezi kuwa "middle man"
 
Back
Top Bottom